Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Kipindi niko shule headmaster wetu alukuwa anatoa xawadi kwa wanafunzi watatu bora na watatu wa mwisho. Hii ilipelekea wale watatu wa mwisho kupambana sana jukwepa zawado ya nchongo kwa muhula...
0 Reactions
3 Replies
299 Views
Maana ya Betting Betting, au kamari, ni kitendo cha kuweka dau au kubashiri matokeo ya tukio fulani, mara nyingi matokeo ya michezo, kwa matumaini ya kushinda fedha au tuzo nyingine. Betting...
1 Reactions
7 Replies
6K Views
Manguli wa ndondi kutoka Urusi, Artur Beterbiev na Dmitry Bivol watakutana usiku wa leo (Saa 01:15, Jumapili) katika pambano lisilopingika (Undisputed) la Uzani Mwepesi (Light Heavyweight) mjini...
2 Reactions
28 Replies
909 Views
Tuache kufikiria watu watasema nn, lakini namna timu inavyocheza inahitaji ongezeko la wachezaji wenye uzoefu pia aina ya Msuva, Manula, Sureboy katika kuamua matokeo pale hali inapokuwa ngumu...
5 Reactions
25 Replies
635 Views
Hakika mmekuja na Vigelegele mtaondoka na vigelegele 😀 Kusanyiko limeketi likaelezwa namna viwanja vitano, recreation centre sijui swimming pool zitakavyojengwa, Wakashangilia na kupiga makofi...
4 Reactions
11 Replies
712 Views
Embu tuweke utani pembeni. Duniani kote kuanzia vilabu hadi timu za taifa, kuanzia katika soka, basketball hadi American Football na michezo mingine ni kawaida timu kubwa kujilinganisha na mnyama...
7 Reactions
66 Replies
2K Views
Azam acheni ubahili ajirini watangazaji wanaojua Kiswahili na Kifaransa mechi ya Tanzania na Congo ni kifaransa tu hamna mkalimani mnatia aibu Media zingine pia achaneni na watangazaji wajua...
4 Reactions
40 Replies
1K Views
Salaam Big thinkers Kwanza angalia hii picha vizuri kwenye nembo ya CRDB kwanini imewekwa BLACK Then, watalamu wa Branding na marketing tusaidieni kujibu haya maswali. 1. Kwanini CRDB...
2 Reactions
22 Replies
1K Views
Wakuu njoo mtoe ya moyoni katika ubora wa Pogba na ubora wa Kelvin DB. nani unamuona Yuko juu ya mwenzake?
3 Reactions
110 Replies
2K Views
Gen Z naombeni majibu huyu ni mchazaji gani?
0 Reactions
10 Replies
942 Views
Uzuri sanda mnazo wenyewe sisi kazi yetu ni kuwatoa uhai tu Alisikika shabiki mmoja alisema [emoji23][emoji23][emoji23] Baada ya Mimi mchambuzi kutafiti deeply about Simba capability to beat...
3 Reactions
6 Replies
317 Views
Nimejaribu kuzifuatilia kwa ukaribu sana timu zilizopo kwenye kundi la yanga na nimejiridhisha akuna timu inayoweza kumtisha yanga kwa uwezo, current performance, na kiufundi pia! Yanga angeweza...
10 Reactions
18 Replies
1K Views
Hapo vip!! Naomba kuwasilisha Kumbe Simba haikuanzishwa na malofa kama wale wengine.
0 Reactions
45 Replies
1K Views
Kwa jinsi mpira wa Tanzania ulivyo Simba na Yanga ndio zinategemwa kuwa kuwa mhimili wa timu ya taifa, bahati mbaya sana ni kwamba vilabu hivi viwili vimetawaliwa zaidi na wachezaji wa kigeni...
1 Reactions
11 Replies
824 Views
Kenya match zote za timu za taifa honeshwa bure, Uganda match zote za timu za taifa kuoneshwa kwenye channels za bure. Rwanda , Burundi na nk match zote za timu za taifa kuoneshwa kwenye channels...
7 Reactions
31 Replies
1K Views
Kama sielewi hivi watu wa Mpira wanapoona Simba kuwa Pot 1 ni jambo dogo kuliko Rais wa Yanga Hersi Saidi kuwa Mwenyekiti wa vilabu Afrika. Hivi kati ya hayo mambo mawili ni lipi watanzania...
6 Reactions
57 Replies
2K Views
Uongozi wa klabu ya Coastal union umewajulisha rasmi mashabiki na wadau kwamba timu hiyo itautumia Uwanja wa Sheikh Amri Abedi, Arusha kama uwanja wake wa nyumbani kwa michezo yake inayofuata...
4 Reactions
13 Replies
858 Views
Jana siku imeenda vyema sana baada ya Mzize kufanya kweli. Kwakifupi timu ya taifa inazingua, rais Samia anadangwanywa na ameingia kwenye mfumo. Mh. Rais, huna timu ya taifa. Na bado.
9 Reactions
15 Replies
563 Views
Striker force ambaye amezoea kupokea makrosi ya Joyce Lomalisa,Djuma Shaban,Shadrak Boca na Max Nzengeli jana alipoina inakuja krosi ya wakongo akajua yupo kwenye majukumu ya klabu akaitia kunyavu...
5 Reactions
32 Replies
1K Views
Naangalia mechi ya Tanzania na DR Congo yaani picha ni mbaya mno naona Azam tvna hawa washirika wao kwenye kurusha wanatumia tecno. Azam TV inabidi mjitafakari
4 Reactions
54 Replies
2K Views
Back
Top Bottom