Mimi ni mpenzi wa Klabu ya Simba.Kwa kuwa klabu yetu inaendeshwa kibiashara na kisasa naushauri uongozi wa klabu kurekebisha Nembo ya klabu iwe ya Kimataifa.Mapungufu ya nembo hiyo ni pamoja na...
Leo nilienda kuiangalia timu yetu ya Taifa ilipokuwa inamenyana na Uganda. Kuna baadhi ya kero nilizokutana nazo naomba niwashirikishe.
1. Watu wanapiga kelele hovyo hovyo kiasi kwamba kuna limtu...
Leo timu bora kabisa katika ukanda huu wa CECAFA, Rwanda ilikua dimbani dhidi ya timu bora Africa yenye ukuta wa Berlin Ivory Coast katika mechi za kuwania kucheza AFCON. Matokeo ni timu ya Rwanda...
Salamu wanamichezo.
Leo ndo ile siku tuliyokua tukiisubiri kwa hamu sana, pale Mnyama mkali kabisa mwituni, Simba SC atakapokua akipambana na timu bora kabisa toka nchini Kenya, AFC Leopards mida...
Mpaka sasa TPL imekosa ushindani kabisa.. Ligi imeanza Bingwa kashajulikana mapema naye si mwingine bali ni Simba SC. Njia pekee ya kuwapa changamoto hawa mabingwa watarajiwa, ni kuigawa hii timu...
Habari wadau naombeni mniambie kama Leo tulivyoangalia mechi ya timu yetu dhidi ya Uganda mapungufu yalikuwa wapo? na je kunapengo la mchezaji wa simba lilionekana miongoni mwq wale walioenguliwa...
Limezuka wimbi katika miaka ya karibuni vilabu vyetu vimekua na wasemaji yaan spokesperson/spokesman kawaida.
Swali la kujiuliza je, wanasaidia kukuza soka letu la bongo au wanadidimiza ?
Niweke...
#KIGEZO GANI KIMETUMIKA KUMCHAGUA MLEZI WA SERENGETI BOYS?
Kwa ninavyo jua Mimi kazi huwa rahisi na yenye matokeo chanya zaidi endapo kama
Anaeifanya ni mzoefu wa kazi hiyo au ni mwenye...
Kwa miaka kumi na tano iliyopita, Mshambuliaji wa zamani wa Manchester United na timu ya taifa ya England ambaye kwasasa anakipiga katika klabu ya Everton alikuwa katika fomu ya juu sana.
Ni...
Kwa wale wapenzi wa Soka la Tanzania watakumbuka jinsi Vilabu chini ya FAT vilivyokuwa vinacheza mechi za kujipima nguvu kwa timu au vilabu kutoka nje ya nchi kwa mialiko ya Chama cha Soka FAT...
Ndugu wanajf tujiulizeni maswali kuwa taasisi ya FIFA ni chombo huru? au inafanya mambo yake chini ya taasisi zingine maana sielewi kabisa juu ya ufanyaji kazi wao , haaa linapokuja swala la...
This is Simba na katika hili bado Simba SC ndiyo Washindi. Na tunamtaka Mnaijeria wenu safari ijayo asiishie tu Kuita Wachezaji Saba wa Simba SC bali kutokana na uzuri wa Wachezaji wa Simba SC na...
8 shots vs Leicester City
9 shots vs Brighton
23 shots vs Tottenham
21 shots vs Burnley
Hakuna bahati hapo, mabadiliko yanatokea ndani ya United.
Kuelekea katika international break takwimu za...
1. Chelsea
2. Man city
3. Liverpool
4. Tottenham
Sorry for my best club Man United
Mdau weka na wewe prediction zako hapa halafu tukutane mwakani mwezi wa 4
Ni kweli kwamba Mchezaji Mohamed Banka kutokea Zanzibar ambaye amesajiliwa na Yanga SC amehukumiwa Kifungo cha miaka miwili kwa Kosa la Kutumia dawa za Kulevya aina ya Bangi / Bange. Sitaki...
Ni miaka takribani mitano sasa toka Man Utd walipotwaa ndoo ya Ubingwa wa EPL chini ya uongozi wa Legendary, Sir Alex Ferguson.
Miaka mitano ni mingi sana, hapo ndani ya miaka mitano kumetokea...