Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Kiungo mchezeshaji wa klabu ya Soka ya Barcelona, Andres Iniesta(33) ametangaza kuondoka klabuni hapo ifikapo mwisho wa msimu huu 2017/18 Kiungo huyo raia wa Uhispania aliyeichezea klabu hiyo...
1 Reactions
22 Replies
4K Views
Argentina wametangaza Kikosi chao cha wachezaji 23 wanaoenda Russia-Lcardi is OUT. Mauro Lcardi ndani ya misimu 4 ya serie A - amefunga magoli 98 - msimu huu amefunga magoli 29 - Higuain...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Habari wakuu, napenda kupata maoni ya ni nani ni mchezaji bora wa ligi ya Vodacom Premium League,kutoka katika timu mbalimbali zinazoshiriki ligi hii hapa Tanzania.Naomba unitajie mchezaji mmoja...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Sipendagi kuangalia mechi,wakati matokeo nakuwa najua nani anashinda katika mchezo. Wazee Wa kubet kesho weka hata laki kwa man u.
1 Reactions
20 Replies
2K Views
Simba ilichukua ubingwa miaka 5 mfululizo , yaani 1976,1977,1978,1979,1980. Ilifanya hivyo kwa kujibu mapigo ya Yanga ilivyonyakua taji hilo 1968,1969,1970,1971,1972. Kwa kipindi chote Simba...
0 Reactions
1 Replies
7K Views
Rais wa Ghana Akufo-Addo amemrisha kukamatwa mwenyekiti wa shirikisho la kandanda la Ghana Kwesi Nyantekyi, ambaye pia ni makamu wa rais wa kwanza wa shirikisho la kandanda barani Afrika CAF...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Anaitwa Tony alexander Adam, amezaliwa tar 10 oct 1966 katika kitongoji cha ROMFORD, ENGLAND alianza kucheza Soka katika academy ya arsenal 1980-83 ilipofika mwaka 1983 alipandisha Timu ya...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Tangu tupate Uhuru kumekuwa na wachezaji wengi mahiri wa soka..Je katika wote hao unadhani ni mchezaji yupi anafaa kupewa tuzo ya mchezaji bora wa kitanzania wa wakati wote.. Mimi kwa maoni yangu...
3 Reactions
82 Replies
12K Views
Salaam wakurugenzi, Nimekuwa nikifatilia kwa makini ligi ya vpl toka ianze,hususani timu ya simba. Toka ligi ianze timu ya simba ilianza kufundishwa na Omog, chini ya Omog timu ilicheza mpira wa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Sijajua kwa nini vombo vya habari vina puuzia kikosi hiki cha vijana wa Tanzania. Hii timu iko Russia, lakini, kimya hatupati updates zake. Wanahabari za michezo jishughulisheni. Hii inalitangaza...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
1. Brazil: "imetesa dunia mara tano". 2. Italia: "imechachafya dunia mara nne" 3. Ujerumani: "imetesa dunia mara nne" 4. Argentina: "imetia kibindoni dunia mara mbili" 5. Uruguay: "imetamba...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Huo ndiyo UKWELI! Hata km ni mchungu lkn huo ndiyo UKWELI!Hali halisi hata huku mtaani upande wa pili umekwazika na hawana imani na wewe tena! Tulikisihi uachane na MAHABA ya u-Simba na u Yanga...
1 Reactions
37 Replies
5K Views
Di María - 22 goals Higuaín - 27 goals Messi - 47 goals Icardi - 29 goals Dybala - 26 goals Agüero - 31 goals Safu ya ushambuliaji Argentina imefunga jumla ya magoli 182. Tukutane kwa Putin.
6 Reactions
54 Replies
4K Views
Huyu ni muingereza alizaliwa mwaka 1973, Alianza kuichezea Arsenal ya vijana mwaka 1989 Alikuwepo kwenye kikosi cha Arsenal kilichochukua Taji la First division chini ya kocha Graham, pia...
1 Reactions
15 Replies
1K Views
Habari wanajukwaa, tunategemea kushuhudia mashindano ya kombe la dunia yatakayofanyika huko Urusi hivi karibuni. Mashindano hayo yataonyeshwa moja kwa moja na vituo vya televisheni vya TV 1 pamoja...
1 Reactions
19 Replies
4K Views
Compare and Contrast
0 Reactions
58 Replies
9K Views
Watu wamemkalia kooni Jose Mourinho kiasi ambacho imebidi afanye deactivation ya akaunti yake ya Instagram! Usifanye mchezo kuvumilia mapovu ya mashabiki.
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Back
Top Bottom