Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli anatarajia kuwa mgeni rasmi katika sherehe za kukabidhi kombe kwa bingwa wa ligi kuu ya Vodacom kwa msimu wa 2017/2018. Rais...
Kwangu huyu ni bonge la striker nguvu anazo mipira ya juu yupo safi sijaona kosa la kocha wa france kwa huyu jamaa hii ni faida kwa watu wafupi kama wakina greizman kufaidika na huduma yake...
Habari zenu!
Iwapo Rais Magufuli atakwenda kuwapa kombe Simba la Ubingwa 2018, tukio hili litakuwa ajabu ya dunia ama tunaweza kuita kituko cha karne katika soka.
Sisi wadau wa soka tunajua Karia...
#FA Chelsea mabingwa kombe la FA England baada ya kuifunga Man United bao 1-0 katika mchezo wa fainali uliopigwa Uwanja wa Wembley jijini London.
#FACup2018 Timu ya ChelseaFC wakabidhiwa Kombe...
ABBASI TARIMBA KURUDI KUWA MWENYEKITI WA YANGA SC
Aliyekuwa mwenyekiti wa timu ya Yanga Sc na mwanzilishi wa wazo la Yanga kampuni, ndugu abbasi tarimba anaweza akarud tena kama Mwenyekiti wa...
Kama kawaida wanaJF hakuna kinachotupita. Ligi kuu Tanzania Bara inaelekea ukingoni huku Simba ikijichukulia ubingwa kwa rekodi ya bila kufungwa.
Tukiwa tunaelekea ukingoni kabisa mwa ligi kuu...
More than 200 street-connected children from across the world have come together in Russia for their own boys and girls international football tournaments, festival of arts and Congress for their...
Fernando Torres apewa heshima zote Atletico ashindwa kujizuia na kulia mbele ya Umati.[emoji22]
Torres alianza mpira akiwa na miaka 11 akiichezea Atletico Madrid team ya watoto 1995-2001 na...
Kocha wa Brazil Tite ametangaza kikosi cha wachezaji 23 watakaoelekea Urusi
Brazil squad in full:
Goalkeepers: Alisson (Roma), Ederson (Manchester City), Cassio (Corinthians).
Defenders: Danilo...
KWATA UNIT katika blog yao wameandika hivi:
Kulingana na Ufatiliaji wa karibu wa Ligi Kuu soka ya Tanzania Bara VPL Kwataunit.com inakuletea Kikosi chake Bora cha Msimu kwa wachezaji wa Ndani...
Miaka 22 iliyopita profesa kutoka ufaransa aliwasisli London kuwa manager wa moja ya timu kubwa London..Ilikuwa september 1996 ambapo Arsenal ilimtangaza Wenger kuwa kocha wao na alianza kazi 1...
Mh Rais wetu ulotukuka, tafadhari kama unapita huku au kuna watu wako wanapita huku naamini watakufikishia ombi letu, naomba usikubali kwenda kuwakabidhi simba kombe la ubingwa kesho kwa sababu...
Leo ni fainali ya Kombe la Mkuu wa Majeshi. Mashindano haya yanafanyika Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.
Fuatilia moja kwa moja kupitia kituo cha Television cha ITV Super...
Msemaji wa Simba, Haji Manara amesema mpaka sasa wameshachukua ubingwa bila kufungwa na lengo lililobaki kesho ni kumaliza ligi bila kufungwa mbele ya Kagera Sugar
-Amedai japo kwenye mpira...
Awamu ya pili na mashindano yanayohusisha timu bora za Afrika Mashariki-SportPesa Super Cup yanatarajiwa kuanza Juni 3-10, 2018 nchini Kenya kwenye uwanja wa Kimataifa wa Moi uliopo Kasarani.Timu...
Kwa kiasi kikubwa. (87℅) ushindi wa Simba umechangiwa na uwepo Wa mfadhali (Dewji) kwa club na kiasi kikubwa (87%) cha kushindwa kwa Yanga kumechangiwa na kukosekana kwa mfadhili (Manji) Wa club...
Siku kama ya leo, miaka 6 iliyopita maeneo ya taa za chang'ombe, kiungo fundi mnyarwanda, Patrick Mutesa Mafisango alifariki Dunia, baada ya kutokea ajali ya gari.
Wapenzi wa soka, unakumbuka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.