club bingwa mtetezi yanga, imemnasa mganga wa kienyeji wa lipuli fc ambaye aliwasaidia kumbana mbavu mnyama katika mechi zote mbili.
Ikumbukwe kuwa mnyama hajamfunga lipuli katika mechi zote...
Mbeya city itabidi ijilaumu yenyewe kwa uzembe wa kumruhusu mchezaji wake kufanya ujanja na kuingia uwanjani bila ruhusa ya muamuzi na wakifahamu kua ni kosa kwa mujibu wa sheria za mpira wa miguu...
O.lyon v nantes 1
bayern m v frankfurt 1
roma v chievo 1
benefica v tondola 1
jonava v suduva 2
paide v flora 2
real madrd v leganes 1
marbor v triglav 1
emmen v utrecht 1
Good luck
habarini wanajamvi.........
Hivi ili mchezaji akose mechi inayofuata anatakiwa apate kadi za njano tatu mfululizo au hata kwa intervals.?
naombeni msaada kuna ubishi mkali hapa.....
Wengine...
Andrés Iniesta Luján hakuna shabiki wa soka asiyelijua hilo jina kiungo aliyekuwa muhimili wa klabu Barcelona pia na timi yake ya taifa ya Spain.
Barcelona wamepata pengo lengine baada Xavier...
Juzi ilikuwa siku ya vitabu duniani.Hivyo nafikiria mimi na wewe tutengeneze group letu la whatsapp la kusoma vitabu ambalo tutaliita "The Book Readers Forum[emoji432]."
Group letu litakuwa na...
Mimi nilikuwa na 21 wakati huo. Nilikuwa mshabiki wa New Castle United ya kina Ginola , Asprila na Kaka mkuu Allan sheareh.
Ila nilikuwa na mahaba na Arsenal baada ya le professor Wenger kumleta...
napenda kumpongeza sana mwalimu wangu ambaye pia ni mwamuzi Wa Mpira Wa miguu kwa kupata badge ya FIFA..
hongera sana...naamini juhudi na jitihada zako zimekufikisha hapo!
hongera sana...
TIMU YA WANANCHI NA MZIMU WA UWANJA WA SOKOINE MBEYA.
Mwaka 1986, Tukuyu Stars kutoka Bagamoyo, Tukuyu, Rungwe, ilichukua ubingwa wa Tanzania Bara ikiwa ni mara ya kwanza timu kutoka wilayani...
UINGEREZA: Shirikisho la Soka, FA limepokea ofa ya dau la paundi milioni 800 ili kuuza uwanja Wembley ambao ni mkubwa kuliko yote nchini humo
Dau hilo limetolewa na Mmiliki wa klabu ya na Fulham...
Ukiachia mbali kuboronga kwa referee wa mchezo wa jana kati ya Mbeya city na Yanga. Nimeshtushwa na ujasiri wa kiwango cha 'nuclear' ulioneshwa na Mbeya City
Hakika sijawahi hata kudhania kuwa...
Mechi ya Mbeya City na Yanga ilichabangwa Jumapili (juzi). Matokeo yalikuwa 1-1. Uwanja wa Sokoine, Mbeya.
Kumekuwa na malumbano kuhusu hatma ya mchezo. Shida ilianza uwanjani dakika za mwishoni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.