Nashangaa sana kusikia viongozi eti wakilalamikia mchezaji wa mbeya city aliyepewa kadi nyekundu kaingia kuja kushangilia goli la kusawazisha.Hivyo mnahitaji point za mezani!Mnasikitisha!
Ikijakugundulika kati ya Mechi ya Yanga na Mbeya City jana Kuwa Yule mchezaji wa Yanga alieteleza na Kuanguka Na Yanga kupewa Faulo ya Bureee... iliosababisha Goal kwa Yanga Refa kufungiwa....Au...
Kuhusu Zahera Mwinyi.
1. Kuwa coach katika bara la Africa haihitaji Sana mtu mwenye utaalam mkubwa, Bali anahitajika mtu mzoefu na soka la Africa. "Ukocha ni project"
Katika project kuna Mambo...
Klabu ya Mabingwa watetezi Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga imefunguka na kudai wamekabidhiwa kiwanja chenye takribani hekari 50 Mkoa Dodoma kwa lengo la ujenzi wa 'academy' itakayokuwa inakuza...
habr zenu wana jf
kiukwel liverpool imekua ni timu inayo
fanya vizul katika ligi ya mabingwa ulaya (UEFA) kutokana perfomance yao toka mwanzo
kiukweli they deserve to lift the trophy...
Mimi ni shabiki kwelikweli wa soka. Natamani timu yangu ishinde kila mechi na kila kombe. Lakini pia mimi ni muumini wa haki. Napenda sheria, kanuni na taratibu zifuatwe. Napenda nidhamu ya mchezo...
MTAZAMO WANGU
Wanayanga Tukubali Kwamba UBINGWA Msimu Huu Tumeukosa,
Hivyo Basi Ni Ubora Uongozi Ukawekeza Nguvu, Akili Na Plan Katika Mashindano Ya Kombe La SHIRIKISHO BARANI AFRIKA.
Iwapo...
Patashika ya Ligi Kuu Tanzania Bara Vodacom Premier League (VPL), kuendelea leo katika uwanja wa Samora Mkoani Iringa ambapo Lipuli FC Wanapaluhengo, wakiwa nafasi ya 8 kwa alama 31...
Leo katika pitapita zangu kwenye mitandao nikaingia bbc sports ilinikapige kura ya epl player of the year nimekuta wameshafunga mshindi anatangazwa baadae leo hii tarehe 22 April 2018
Matokeo...
Hii ni baada ya kuingia uwanjani ili kuwatandika bakora wachezaji na makocha wa timu yao , baada ya kutolewa kwenye nusu fainali ya NEDBANK CUP baada ya kuchapwa na timu ya Free State leo hii...
Wadau kuna mdiaspora anataka kununua timu Tanzania. Iwe walau inashiriki ligi daraja la pili ili aipandishe daraja la kwanza na hatimaye ligi kuu. Kama unaijua timu inayoweza kuuzika nijulishe...
Kichwa chajieleza,,
Poleni na majukumu
Nina umri wa miaka 24.
Nina ndoto za kuwa bondia
Mkubwabapa Duniani,
Wazoefu wa hii sanaa tafadhali sana naombeni msaada wenu.
kwanza niwapongeze yanga kwa kuingia hatua ya Makundi ...mmepata pesa lazima tuwapongeze katika hilo!
lakini hii jeuri ya kuitukana ligi yetu VPL kwakuwa tu mmepata hela je ni ujinga au ni ule...
Kama topic inavyojieleza. Naamini wapo baadhi ya magolikipa wanapata clean sheets nyingi si kwa ubora wao bali kutokana na mfumo mzuri wa ulinzi unaotumika na timu zao, pamoja na umahiri wa...
MAMBO bado mazito na mashabiki wa Yanga hawaelewi nini kimetokea hadi kocha, George Lwandamina akaondoka kwenye kikosi cha mabingwa hao watetezi wa Ligi Kuu Bara.
Mabosi nao wamepigwa na mshangao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.