Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Arsene Wenger: Arsenal meneja ataondoka klabuni baada ya miaka 22 kama meneja. Amewashukuru wapenzi wa soka wa klabu hiyo kwa kumpa heshima na ushirikiano miaka hiyo yote. Wenger, 68, kashinda...
1 Reactions
45 Replies
7K Views
Wakuu! Mwenye kujuwa atuambie ni nini kimetokea baina yao? Fundi kama huyu utamuachaje kwenda urussi!!! badala yake anamchukua Higuain....Ndio maana timu inakuwa dependant on single man...
1 Reactions
60 Replies
6K Views
Zikiwa zimesalia siku tisa kuelekea mchezo wa watani wa jadi, wachezaji tegemeo wa kikosi cha kwanza cha Simba mshambuliaji, Emmanuel Okwi na kipa, Aishi Manula, wanahatihati ya kucheza mechi ya...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Dalili za mvua ni mawingu. Picha inaeleza kila kitu. Kwa mara ya kwanza Timu kutoka Afrika kufika fainali kombe la dunia mwaka huu 2018. Usikose fainali za mwaka huu 2018. But First, Let Me...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Manchester United generated the most revenue of any football club in the world last season, according to a report published by Deloitte. United dethrone Real Madrid - who held top spot for 11...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Wadau wa Dstv, kuna makala tamu sana za kombe la Dunia kwanzia miaka ya nyuma ambazo zimeanza jana, mechi za kuvutia na za aina yake zilizowahi kupigwa katika kombe la dunia. Kupitia Chaneli...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Haya magari yanayopaki ndani ya viwanja vya mpira vp kama siku yakatumiwa na wahalifu kushambulia wachezaji?? Maana yanakua mita chache toka kwenye kiwanja..pia haipendezi kabisa hata kwenye...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Unapoangalia mpira kuna matukio mengi yanatokea ila nadhan tukio linalosisimua zaid ni goli linapoingia, kuna magoli yanafungwa kimaajabu au kiustadi mkubwa hadi yanakuachia kumbukumbu...
3 Reactions
115 Replies
10K Views
Baada ya kufunga magoli mawili kati ya matatu Christian Ronaldo amekua akipewa sifa nyingi hasa kwa lile goli la tik tak. Najiuliza nini cha ajabu pale? Mbona ni wengi sana hadi sasa washafunga...
13 Reactions
117 Replies
25K Views
Leo kuanzia mida ya saa nane Mchana ndo zitafanyika draw za champions league na Europer league. Draw hii itafanyika pale Zürich nchini uswisi. Katika UEFA Champions League Timu zinazosubiri...
7 Reactions
280 Replies
39K Views
Sijawahi kuona timu zenye roho mbaya kama Singida United na Mbao FC kwa Yanga. Hakuna kocha wa timu hizi mbili kuja kuifundisha Yanga hata kama Yanga ikose hata kocha msaidizi. Nyambafu.
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Golipa wa Realmadrid, keylor Navas amekua sehemu ya kulaumiwa kwa mashabiki wa Realmadrid na wachambuzi wa soka duniani. Binafsi ni moja kati ya makipa wanaostahili kucheza Realmadrid despite...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu habari zenu? Msimu wa wa 2017/2018 umekuwa msimu mzuri kwa mo salah tofauti na watu walivyodhani. Ronaldo na Messi Sasa wamepata mpizani wa kweli kwenye tuzo za ballon d’or msimu huu na...
2 Reactions
32 Replies
9K Views
Kutana na Daktari Mtarajiwa Anayekipiga Coastal Union Si aghalabu sana kukuta wanasoka wa Tanzania wenye taaluma zao lakini pia wapo wanaosema mshika mbili, moja humponyoka, lakini mbele ya...
3 Reactions
35 Replies
8K Views
KUFUZU KWA YANGA KUTUMIKE KIBIASHARA Ndani ya miaka mitatu Yanga imefanikiwa kuingia katika hatua ya makundi ya kombe la shirikisho barani Afrika mara mbili. Miaka hii mitatu ilikuwa na majira...
3 Reactions
2 Replies
2K Views
DRAW YA CAF CONFEDERATION CUP -Draw ya makundi ya Caf Confederation Cup kufanyika Jumamosi ya April 21 saa8:00 mchana makao makuu ya CAF Cairo Misri -Timu 16 zilizofuzu ni, 1-USM...
3 Reactions
7 Replies
2K Views
Huyu jamaa nimekuja kugundua ni mtu flani wa husda sana,ana chuki na wivu flan hiv wa chini chini anao uficha kwa mgongo wa utani wa utani wa jasi but kiuhalisia hamaanishi hivyo...kwa mfano...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Msemaji wa timu ya soka ya Simba Haji S. Manara, amesema kwamba anaamini kuwa siku moja ndoto yake ya kuwa Rais wa Tanzania itakuja timia, kwani ndio tamanio lake la siku nyingi. Akizungumza...
1 Reactions
17 Replies
7K Views
KIKOSI CHA YANGA LEO 1. Youthe Rostand 2. Hassani Kessy 3. Haji Mwinyi 4. Abdallah Shaibu 5. Kelvin Yondani 6. Papi Tshishimbi 7. Yusuph Mhilu 8. Thabani Kamusoko 9. Obrey Chirwa 10. Raphael...
10 Reactions
275 Replies
23K Views
Mabingwa mara 27 Tz na mabingwa mara 3 mfulilizo,Yanga leo imeweza kufuzu katika hatua ya makundi ya kombe la shirikisho,japokuwa tumefungwa 1-0, lakini ushindi wa nyumba wa goli 2-0 umekuwa na...
3 Reactions
8 Replies
2K Views
Back
Top Bottom