Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Klabu ya Manchester City imetwaa ubingwa wa Ligi Kuu Ya Uingereza ( EPL ) baada ya timu iliyokuwa inamfukuzia ya Man Utd kufungwa leo na timu ya West Brom inayoshika mkia katika msimamo wa ligi...
2 Reactions
31 Replies
5K Views
Leo kunafanyika droo ya michuano ya klabu bigwa Ulaya na Michuano ya Europa league. Droo hii kufanyika Nyon, Uswizi Droo ya Europa League inatarajiwa kufanyia saa 13:00 mchana wa leo kwa muda wa...
10 Reactions
166 Replies
22K Views
Kevin De Bruyne(Manchester City) na Mohamed Salah(Liverpool) wanatarajiwa kuchuana vikali kuwania tuzo ya mchezaji bora katika ligi ya mpira wa soka baada ya kutajwa katika orodha ya wachezaji 6...
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Nimefurahi sana kukuta mech za vpl kwenye premierbet leo
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Man U wamelazimishwa wamtangaze bingwa mapema japo walikuwa wanabisha na hawataki. Hii ni baada ya kupokea kipigo cha goli moja kwa bila wakiwa nyumbani Old Trafford kutoka kwa West Brom Albion ...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kocha wa Mabingwa watetezi wa La Liga Zinedine Zidane, amepangua kikosi chake na kuwaacha nyota Cristiano Ronaldo na Gareth Bale kuelekea mchezo wao wa ligi leo dhidi ya Malaga. Zidane amewapa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kuna kila ukweli kuonyesha kuwa changamoto kuu ya Yanga kwasasa ni ukosefu wa udhamini baada ya bw yusuf Manji kuondoka. Kiungwana tumuombe Bwa Manji ainusuru club ya Yanga kifedha ili iweze...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni... hakika kwa matangazo ya mpira wa miguu hakuna kama TBC, toka kipindi cha kina Juma Nkamia, Swedi Mwinyi, Ahmed Jongo, Eziekel Malongo mpaka sasa kipindi...
20 Reactions
83 Replies
16K Views
#1. Manchester United Social Media: 75 million followers (68m facebook, 7m twitter) Tv Viewership: 52 per cent of the Premier League’s entire global TV audiance (premier league averages 3.5 to 4...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
katika pambano la anthony joshua na takam katika round ya pili takam alimpiga kwa kichwa puani joshua kiasi cha kuvuja sana damu, je hii sio foul ambayo joshua angestahili kupata ushindi endapo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Baada ya mechi za robo fainali kuisha za Champions league 2017/2018 tulipata kuona mengi ya kushangaza..Liverpool ilimjeruhi Man city kwa kipigo kikali sana 5-1..City alifungwa nje ndani…Real...
4 Reactions
12 Replies
2K Views
WAKATI homa ya mchezo wa marudiano wa Ligi Kuu Bara kati ya Simba na Yanga ukianza kupamba moto, kiungo wa Simba, Jonas Mkude amedai kuwa kama Kocha Mkuu wa Yanga, Mzambia, George Lwandamina...
2 Reactions
10 Replies
3K Views
RED STAR VS PARTIZAN SIO YA KUKOSA Ukitaja Derby hatari duniani basi hakuna derby hatari kuliko ya Red star Belgrade vs Partizan.Ubora ,utamu na uhatari wa derby hii imechagizwa na masuala ya...
1 Reactions
20 Replies
4K Views
Heshima nyingi sana kwenu wadau na wanazi wa soka hususani ulaya. Tukiwa tunasubiri kuangalia mtanange wa UEFA Leo,naomba niwakumbushe timu hii iliyopotea katika michuano hii na katika La liga...
11 Reactions
74 Replies
7K Views
Baada ya mechi za robo fainali kuisha za Champions league 2017/2018 tulipata kuona mengi ya kushangaza..Liverpool ilimjeruhi Man city kwa kipigo kikali sana 5-1..City alifungwa nje ndani…Real...
1 Reactions
2 Replies
923 Views
Naomba kujuzwa kinachoendelea USIKU WA VITASA nani kampasua nani?....Umeme umekatika huku
3 Reactions
12 Replies
2K Views
Timu za Simba na Mbeya City tayari zimeshaingia uwanja wa Taifa tayari kwa mtanange. Baada ya jana Yanga kushurutishwa sare na walima alizeti, Simba inashika usukani kwa tofauti ya alama tano...
2 Reactions
193 Replies
18K Views
Wakuu nikiangalia ilivo real Madrid na kikosi chake kipana n'a nikizingatia ndio kumbe liliobakia wao msimu huu kugombania maana kuingine hamna nafasi ya kuchukua league ninaona lazma juventus afe...
3 Reactions
99 Replies
9K Views
Nilijaribu kuangalia mechi mbili za kimataifa za kirafiki kati ya timu yetu ya taifa (Taifa stars) .. Dhidi ya Algeria na dhidi ya DRC..Mechi hizi mbili nimezifurahia sana kwa kuwa TFF...
5 Reactions
11 Replies
3K Views
Back
Top Bottom