Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Klabu za soka za Real Madrid ya Uhispania na Bayern Munich ya Ujerumani zimefuzu kuenda hatua ya nusu fainali katika michuano ya #KlabuBingwaUlaya Pamoja na jana kufungwa goli 3-1, Madrid...
2 Reactions
69 Replies
13K Views
  • Poll Poll
Kabla hujajibu tazama hii video, mahaba yakae pembeni.
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Dunia ina wastani ya washabiki wa mpira wa miguu 1.6 Bilioni kwa takwimu za mwaka 2013. Timu hizi za EPL zimegawana hao mashabiki kama iifuatavyo: EPL Footbal Club Team Fan-base...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Huyu jamaa asaidiwe kwenye uchambuzi wa Soka Makosa ni mengi sana
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kama kuna Watu wamebarikiwa kwa kuwa na ' machale ' ya kuja kupata ' dhahama ' basi ni Kocha wa Yanga Mzambia George Lwandamina kwani ameshaona kwa mwendo huu wa Simba Sports Club katika Ligi Kuu...
6 Reactions
13 Replies
3K Views
Nikisema katoka sayari nyingine huyo ni messi, Nikisema katoka venus mtasema labda Cr7 Sasa nasema hivi huyu kiumbe katoka Galaxy nyingine! Si mwingine bali ni Mo salah Madevu.
3 Reactions
16 Replies
3K Views
Waingereza wanazidisha mapenzi kwa wachezaji wazawa. leo wamempa goli la bure kane ilimradi aweze kushindana na Salah. Goli hilo awali lilihesabiwa kwa Eriksen ila leo wamempatia kane. Harry...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Jana kuna goli walifunga man city, kwa benardo silva kupiga shuti na na kumaliziwa na sane. Man city wakidhani ni goli refa alilikataa goli hali iliyoleta tafrani mpaka Pep guardiola akatolewa...
2 Reactions
42 Replies
8K Views
Naiona fainali ya Bayern Fc na Roma Fc, ambapo Matokeo ni Bayern Munich 3 - 1 Roma. HATIMAYE BAYERN BINGWA Unde Jupp h.
1 Reactions
21 Replies
4K Views
Kikosi cha Young Africans kitakachoanza dhidi ya Singida United katika mechi ya Ligi Kuu Bara Youthe Rostand, Hassan Kessy, Haji Mwinyi, Abdallah Shaibu, Kelvin Yondani , Papy Tshishimbi, Yusuph...
2 Reactions
107 Replies
13K Views
Timu ya Tanzania katika juma imecheza.michezo ya kirafiki na Timu kubwa za Soka Afrika;Timu ya Alijeria na Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo.Mchezo wa kwanza Stars ikafungwa 4-1 nchini Aljeria na...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Wakuu FIFA wametoa orodha ya waamuzi watakaochezesha kombe la dunia, cha ajabu ligi kubwa na pendwa kama Epl hakuna hata mmoja. Hii ina maana gani? Ni kwamba FIFA wameona hamna anayefaa hata...
2 Reactions
60 Replies
7K Views
Arsenal haswa Ni watam Sana
1 Reactions
25 Replies
2K Views
Huyu jamaa amekuwa maarufu sana kwa misemo mbalimbali na namna ya kipekee ya uchambuzi wa mpira hasa magoli na vionjo ndani ya uwanja, napenda sana maneno yake na naamini kila mmoja anapenda...
3 Reactions
43 Replies
13K Views
Rais wa klabu ya Barcelona Josep Maria Bartomeu amewaomba wachezaji wa Barcelona, mashabiki na makocha kushikamana pamoja baada ya kufungwa na AS Roma na kutupwa nje ya Ligi ya Mabingwa jana...
1 Reactions
23 Replies
3K Views
Mshambuliaji wa Barcelona, Lionel Messi ameteuliwa na Shirika Umoja wa Mataifa la Utalii (UNWTO) kuwa balozi wa utalii duaniani. ========= Madrid, Spain, 9 April 2018 - Considered by many the...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wasalam Nianze kwa kusema mjadala wa nani zaidi kati Lionel Messi na Ronaldo CR7 haujawahi kupata mshindi. Pia sijawahi kuona upande gani ukiibuka washindi, pale walipopambanishwa kati ya...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari wana'Sport Leo tarehe 11.4.2018 Klabu ya Singida utd kutoka Singida watakuwa Wageni wa YANGA pale Dar. Wakiwa na rekodi ya kuwatoa Yanga kwenye kombe la FA .. Singida utd mchezo wa...
2 Reactions
29 Replies
5K Views
Hahahaha Muda wa kuchana mikeka huu [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
5 Reactions
54 Replies
5K Views
Back
Top Bottom