Wakuu habari zenu.
Kuelekea fainali ya UEFA Champions League tarehe 26 may 2018 nchini Ukraine, mjini Kyiv kumekuwa na kila mtu na mtazamo wake juu ya nani atacheza fainali na nani ataibuka kuwa...
Aman iwe nanyi
Yule kocha mbabe George Lwandamina wa Yanga SC ameikacha team hiyo na kutimukia club yake ya zaman ya Zesco fc
Taarifa inayozagaa mitandaon inadai kuwa kocha huyu tayari ashasain...
Huu utani wa mashabiki wa Liverpool baada ya mechi yao na Man City ulitaka kunivunja mbavu. Kwamba baada ya Mechi Alexander Trent-Arnold akatoa vitu vyake alivyokuwa navyo mfukoni kama...
"Nakili najua watu mtanipinga sana lakini huu ndo ukweli, na ukweli humuweka mtu wazi na msema ukweli in mpenzi wa Mungu"
Najua watu wengi hawakuuona Mpira wa Pele, lakini kiukweli kwa...
Kocha aiseishuwa maneno akiwa kwenye interview na waandishi wa habari kwa mara nyingine tena ametoa mawazo yake kuhusu ligi
mbili maarufu EPL na La Liga.
Jose akiwa kwenye interview na talksport...
Wakuu leo nilikia naangalia baadhi ya takwimu ya soccer la bongo kama vile
Timu yenye mataji mengi
Mfungaji bora wa muda wote
Magoli mengi ya kujifunga
Mchezaji mwenye assist nyingi...
Simba ilipata bahati ya mtende kwa kumsajili staa aliyeachwa na Yanga, namzungumzia Hamis Kiiza. Licha ya mafanikio makubwa aliyoipatia mikia ndani ya muda mfupi, majungu na lack of...
Leo ni kivumbi cha ligi kuu soka Tanzania bara ambapo mnyama simba atashuka dimbani kuumana na Mtibwa Sugar.
Ni mechi inayotarajiwa kuwa na ushindani wa kipekee kwani Mtibwa wamekuwa wanazikazia...
Habari wadau!!
Hakuna asiyejua kuwa Klabu ya Simba inahitaji ubingwa kwa nguvu zote na ili kufanikisha hili ni lazima Simba wampige Mtibwa sugar ugenini Leo ili kutengeneza njia …Tunajua ni mechi...
Wakuu, nadhani mtakumbuka miaka ya hivi karibuni tulitembelewa na wachezaji wakongwe wa klabu ya Real Madrid na nadhani FC Barcelona. Nilidhani vilabu vyetu vingeanzisha utaratibu huu wa...
Alfredo Di Stefano ni mmoja kati ya watu wanaoheshimika sana katika club ya Real Madrid. Kwa miaka yote 11 aliyodumu akiwa mchezaji wa Real Madrid, Di Stefano alicheza kwa mafanikio makubwa sana...
Nimekuwa nikifuatilia mwenendo wa klabu ya Simba hasa baada ya kuwapata John Bocco, Erasto Nyoni, Aishi Manula na Shomari Kapombe na kuanza kulinganisha na tangazo la 3 Mzuka ukilinganisha na...
Haya ni mashindano ya 11 ya mbio za kubebana nchini Uingereza.
Chris Hepworth, akiwa amembeba Tanisha Prince kutoka West Drayton, London, alikimbia na kuibuka mshindi wa mbio za umbali wa mita...
Ni dhahiri ratiba ya kombe la ligi ilikuwa ikipangwa kutegemea matokeo ya mechi ya timu za Azam, Simba na Yanga. Sasa timu hizo zimeotolewa katika michuano hiyo. Kwa utaratibu wa TFF mshindi ndo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.