Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Yani Ineos hawa wasipo mrusha kipara basi itakuwa ana picha zao za utupu
6 Reactions
10 Replies
499 Views
Kocha wa Timu ya Taifa ya Ufaransa, Didier Deschamps amesema ameshangazwa na uamuzi wa Kylian Mbappe kuomba kupumzishwa katika Timu ya Taifa ili awe fiti baada ya kupona majeraha lakini mchezaji...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Salaam wakuu Leo tulejee sakata tarehe 9/8/2022 la Simba kutumia Jeneza kwenye maadhimisho ya Simba day Nini maana ya Jeneza Kiroho maana yake ni kifo/ uangamizo/ umauti So kitendo cha uongozi...
3 Reactions
19 Replies
508 Views
Kwa hili vibe na shangwe kubwa analopewa hapa muwekezaji wa Simba ndugu Mo basi wanasimba naamini wako tayari kumpa hii team mazima Sasa Mangungu anamtambulisha mkuu wa wilaya ya ilala...
3 Reactions
11 Replies
424 Views
Tusithubutu tena kuwafananisha Diara na Camara tena Diara ni mlinda lango yaani goal keeper ni anajua muda Gani atoke na muda wa kuwa langoni Foot work yake Iko juu Ni vigimu kumwona Diara...
4 Reactions
10 Replies
672 Views
Umeanza kwa kususua sana na timu haina stability, fanya hivi. Guler, endryk, rodrygo waanzie bench
3 Reactions
11 Replies
495 Views
Hawa ni changamoto sana. Timu ikishinda goli chache inatupiwa lawama kuwa kiwango kimeshuka. Timu ikishinda goli nyingi wale wa upinzani wanasema timu iliyoshinda imenunua mechi na wachezaji...
3 Reactions
7 Replies
418 Views
Napata sana mashaka na hili jambo. Iko hivi siku zote inajulikana uwanja wa mazoezi wa Yanga ni Avic town huko ndo kuna kambi yao na mazoezi yao. Lakini baada ya msimu kuanza na simba kua na...
0 Reactions
28 Replies
1K Views
Huyu kocha ni mtu wa hatari sana, katika vitu nafurahishwa navyo ni pale ninapoona 5imba hawana mpango naye, Ila katika makocha wajuzi na hatari hususan kwa Ligi yetu ni Juma Mgunda a.k.a Mzee wa...
2 Reactions
7 Replies
650 Views
Naona uongozi wa kolopwinyo hautaki kabisa tufurahi kwa kuangalia upendo wa Precious Christopher Wamempa skin ndefu avae 🚮🚮🚮🚮🚮🚮
3 Reactions
59 Replies
2K Views
1. Ulikuwa upande wetu mwanzo mwisho 2. Ukazui tusifungwe la tatu 3. Maelekezo uliyopewa uliyatekeleza ipasavyo.
1 Reactions
2 Replies
342 Views
Sielewi Hawa viongozi wa Simba wanakuwa wanafikiria nini vichwani mwao lakini nahisi pale Simba bado Kuna viongozi wapigaji sana! Uyu jamaa anayetaka kusajiliwa Kama mshambuliaji ni mzigo...
7 Reactions
27 Replies
2K Views
1.Mussa Camara Siku mbaya kazini ngumu kumtenga na lawama za goli la 2 la coastal union pengine itampa funzo flani 4/10 2.Shomari Kapombe Perfomance nzuri kwake hakuwa na baya kubwa ingawa goli...
3 Reactions
9 Replies
570 Views
weKUNDU wa msimbazi walianza 4-0 3-0 2-0 1-0 2-2(droo) Inayofuata ni tarehe 19 sijui nini kitatokea sasa[emoji23] Je derby itakuaje[emoji23][emoji23][emoji24][emoji24] Sent from my TECNO KG5j...
6 Reactions
20 Replies
733 Views
FADLU:MLIKUWA MMEZIDISHA SIFA. . "Sare hii ni motisha sahihi sana kwa Wachezaji wangu kuelekea Derby!tumeku tukisifiwa na mapambio mengi kwenye vyombo vya habari na huwa nasema sisi bado hatupo...
2 Reactions
13 Replies
669 Views
Hakuna jambo gumu kama kuendesha timu ya mpira na kuifanya ikupe mafanikio ya haraka, Unaweza kuwa na pesa yakutosha ila ukajikuta unaambulia patupu. Pesa peke yake hazitoshi bali akili nyingi...
12 Reactions
42 Replies
3K Views
KITENDAWILI: Mechi ya kwanza 4️⃣ Mechi ya pili. 3️⃣ Mechi ya tatu. 2️⃣ Mechi ya nne. 1️⃣ Mechi ya tano sare Mechi ya sita itakuwaje?
2 Reactions
3 Replies
241 Views
Hii haitozihusu zile penati zinazopatikana kwa beki kuunawa mpira ndani ya 18.Iwapo Mchezaji kapambana na kusababisha penati alafu hapewi fursa ya kupiga yeye basi walau ahesabiwe kama ame...
2 Reactions
3 Replies
325 Views
Back
Top Bottom