Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Jana mechi kati ya ManU na Real Madrid ilikuwa ni kuonesha ligi gani bora. Kwa kweli La Liga imedhihirisha kuwa ni zaidi ya EPL kwani Real Madrid ya tatu na ManU wanaongoza katika ligi zao hivi sasa.
1 Reactions
147 Replies
15K Views
01': Mechi ya Yanga vs Kagera Sugar imeanza hivi punde 04': Haji Mwinyi anarusha mpira kuelekea lango la Kagera baada ya kutolewa, anauchukua Ajib, Ajib anapasia langoni mwa wapinzani, wanaokoa...
4 Reactions
176 Replies
17K Views
Kwa wale mashabiki wenzangu wa man utd ,mwaka huu tuhesabu maumivu tu,kwani kwa mpira niliouona jana! na huu ushindi wa kibao kimoja kimoja basi! Kwani timu wazee wamekuwa wengi ukianzia rio...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wakuu!PAULO DYBALA NA NEIMAR JR MKALI NANI? Paulo Bruno Exequiel Dybala (Spanish pronunciation: [ˈpaulo ðiˈβala];[a] born 15 November 1993) is an Argentine professional footballer who plays as a...
1 Reactions
19 Replies
5K Views
Hili la uboya linawahusu sana wale wa rika langu... ambao huenda hawakuijua Arsenal hadi wapo wavulana wakubwa! Hivi unaweza kueleza watu hapa ilikuwaje kuwaje na lini ulianza kuwa na mahaba na...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Kuna wanasoka hodari wa zamani ambao majina yao yalileta burudani hasa yalipotamkwa na watangazaji mahiri wa mpira wa enzi hizo kama Charles Hilary, Ahmed Jongo, Salim Mbonde, Iddie Rashid Mchatta...
7 Reactions
158 Replies
34K Views
Hivi ni kweli Michael Carrick katika ubora wake ule katika nafasi ya Holding Midfielder kwanini hakupata nafasi ya kuchezea timu ya taifa ya England? Carrick anajua kukaba, anajua kuziba nafasi...
2 Reactions
27 Replies
3K Views
Shirikisho la soka nchini TFF kupitia kwa Kamati ya Tuzo imemtangaza kiungo wa kimataifa wa Yanga Papy Kabamba Tshishimbi kuwa mchezaji bora wa Ligi kuu kwa mwezi Februari. Tshishimbi amefanikiwa...
3 Reactions
10 Replies
12K Views
  • Closed
Klabu ya Simba SC ya jijini Dar es salaam imetajwa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF), kuwa klabu namba 5 kwa utajiri Barani Afrika. Simba SC imetajwa kuwa na utajiri wa karibu Paund milioni...
3 Reactions
125 Replies
81K Views
Kwa mwenendo wa ligi unavyoenda na nikilinganisha na uwezo wa Pep Guardiola katika kukinoa kwake Kikosi cha Man city nashawishika kabisa kuwa Mkufunzi huyu mahiri wa soka pasipo na shaka wala...
9 Reactions
114 Replies
10K Views
UGIRIKI: Goli lililokataliwa katika mchezo uliohusisha PAOK dhidi AEK Athens lasababisha Mmiliki wa klabu ya PAOK kuingia Uwanjani mara mbili huku akitoa bastola akitaka kumkabili Mwamuzi wa...
2 Reactions
24 Replies
4K Views
Roma win over shakhter Man utd win over sevila Sochaux win over auxerre AIK Stockholm win over Orebro Wolves double chance over Reading Aston villa double chance over QPR Plackpool vs...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habar wakuu,bila shaka hakuna atakayebisha kuwa Kigoma imejariwa kuwa na wachezaji wazuri na tegemeo.Lakini wachezaji wengi wameponzwa na uongoz wa michezo mkoa.Kuna mtendaji mkuu ambaye ni Karibu...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Huwa nawazaga saaana nakosa majibu. Hivi ni nani aliykuja na wazo la kujenga uwanja wa taifa pembezoni mwa uwanja wa karume(shamba la bibi) Hivi ni kwanini wasingeuboresha ule uliokuwepo mwanzo...
1 Reactions
13 Replies
4K Views
Kwa mara ya kwa toka ligi ianze msimu wa 2017-2018 timu yanga leo itapata nafasi ya kuchukua uongozi wa ligi kwa kuifunga timu ya Stend United ya Shinyanga . Yanga inahitaji ushindi magili 14-0...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Pamoja na kusoma masomo ya Sayansi na Sanaa (Arts) katika maisha ya sekondary lakini nilipenda kweli masomo ya Sanaa kama History na Geography tangu primary mpaka sasa sijawahi kuachwa nyuma...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kiungo wa Manchester United Michael Carrick amethibitisha kustaafu kucheza soka mwisho wa msimu huu 2017/2018 Mchezaji huyo wa zamani wa timu ya taifa ya Uingereza ametangaza hivyo leo wakati wa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wanajangwani mpoo? Leo tunaua tena , ili mikia wakija wacheze kwa presha ya juu, maana kwa kawaida ngoma ya watoto haikeshi..... Tukutane taifaa, emmmmyyytaaaa watani hawalali siku hizi...
5 Reactions
105 Replies
16K Views
Hizi timu zina kawaida ya kuanza ligi kwa ushindi mfululizo ,lakini ligi ikifika kalibu mwisho pumzi zinakata tatizo sijui linakuwa nini!!?? Hasa hawapa
2 Reactions
23 Replies
3K Views
Back
Top Bottom