Morocco imetwaa Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN2018) baada ya kuibuka na ushindi wa goli 4-0 dhidi ya Nigeria katika mchezo wa fainali uliopigwa katika dimba la Stade...
Vumbi la Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara VPL, kuendelea tena leo ambapo Ruvu Shooting wakiwa wenyeji kwenye uwanja wa Uhuru Dar es salaam, wanawaalika vinara wa ligi hiyo Mnyama, Simba SC.
Ruvu...
Ukiyasikia majina ya Timu za Taifa kama mko kundi moja mfano
1. Paraguay
2. Uruguay
3. Brazil
4. Argentina
5. Chile
6. Bolivia
Lazima ujiulize mara mbili mbili juu ya kunusurika kwako kwenye...
Yuel kocha machachari wa Inter amesaini mkataba wa miaka mitatu kukiongoza kilabu bingwa nchini Itali-Inter Milan. Atatambulishwa mbele ya vyombo vya habari na mashabiki kesho. Kwa wapenzi wa...
Timu ya JKT Ruvu ikiongozwa na Kocha Bakari Shime almaarufu Mchawi mweusi leo imerejea kwa kishindo Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania ( VPL) baada ya kuichapa kwa bao 5 -0 timu ya Afrikan Lyon.
Kwa...
Niko uwanja wa Kambarage Shinyanga naangalia mechi kati ya Stand United na Mtibwa. Kuna tukio limetokea kwenye mechi hii dakika ya 7 labda niliweke hapa wajuzi Wa sheria za mpira mlijadili...
Unafupofukuziwa nyuma na timu yenye majeruhi wengi ambayo inapata matokeo mazuri mfululizo kwa timu makini kama Azam na Lipuli lazima psycholojia yako itayumba hata kama hutaki iyumbe.
Itakulazimu...
Patashika ya mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara (VPL), kuanza kutimua vumbi leo kwa viwanja tofauti.
Mabingwa watetezi ya Yanga SC kuanza ugenini katika dimba la Samora mkoani...
Kwa msimu wa 10 mfululizo - Mfalme wa soka ulimwenguni Leonel Messi anatimiza magoli 20 au zaidi katika La liga pekee.
:
23 ⚽ 2008-2009
34 ⚽ 2009-2010
31 ⚽ 2010-2011
50 ⚽ 2011-2012
46 ⚽ 2012-2013...
Kuelekea mtanange kati ya yanga na lipuli ,hali ya sintofahamu ilitokea baada ya mashabiki wa yanga wanaojiita makomando au ninja kuingia uwanja wa samora usiku wa manane ili waulinde uwanja...
Huku mashindano ya kandanda ya taifa bingwa barani Afrika yakiendelea kunoga, Samwel Eto'o wa Cameroon amevunja rekodi ya kufunga mabao mengi zaidi katika historia ya mashindano hayo.
Rekodi...
habari nilizozipata mdahuu nikuwa Carlos ALberto Pereira kaachia ngazi kuifunza timu ya taifa la Sauzi
Sababu ya kuachia anasema mke wake ni mgonjwa hivyo angependa kuwa nae karibu...
Balozi wa Uturuki nchini Mhe. Ali Davotuglu amewakabidhi tuzo na medani, wachezaji ambao wamepata mafanikio katika mechi mbalimbali za timu hiyo ikiwemo tuzo ya mchezaji bora wa mwezi Disemba...
Kwa miaka kadhaa iliyopita, Watanzania wengi wamekuwa wakizungumza kuhusu muelekeo wa vilabu vya soka hapa nchini. Na kwa sasa, mabadiliko katika mfumo wa uendeshaji wa vilabu hivyo, limekuwa...
"AC Milan and FC Barcelona have reached an agreement for the transfer of Ronaldinho.
"Tomorrow, the player will be in Milan for the medical, and to sign the contract which will tie him to...
TIMU ya ngumi ya Tanzania iliyokwenda kushiriki michuano ya ngumi ya Ubingwa wa Afrika, wamekamatwa na dawa za kulevya aina ya heroin.
Waliokamatwa ni kocha wa timu ya taifa, Nassor Michael...
Huu ni mfano wa ubabaishaji katika mpira wa Bongo!
Simaba wanatarajia kucheza na Enyimba huko Aba keshokutwa katika mechi ya klabu bingwa barani Afrika.
Kuna taarifa kwamba wachezaji wawili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.