Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Ni nani kati ya hao mabwana hapo juu aliye mkali uwanjani anayeweza kuleta chachu ya ushindi ambaye siku akikosekana katika timu yake pengo lake linaonekana wazi, najua wanacheza position tofauti...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Former Brazil striker Romario has announced his retirement from football at the age of 42. "Officially I'm not playing any more. I've stopped," he said. "My time is up. Everything has been a...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Jamaa kaamua kuoa baharia wake....safi sana Michael Jackson marries September 28 2007 - by BANG Showbiz Michael Jackson has allegedly married his children's nanny. The 'Thriller'...
0 Reactions
12 Replies
7K Views
Wakati MIlan wana struggle...... AC Milan's Brazilian star Kaka has been named Europe's footballer of the year after winning France Football magazine's Golden Ball award. The 25-year-old was the...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kikwete kuileta Real Madrid 03 Oct 2006 By Mwandishi Wetu Timu maarufu ya Real Madrid ya Hispania inayoshiriki Ligi Kuu ya nchi hiyo (Primera Liga), itatembelea Tanzania Julai mwakani, Rais...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Dirisha dogo limefungwa 2018 City wamemuongeza Aymeric Laporte…Niliwahi kusema City hawapo vizuri katika idara ya ulinzi..Huwa wanajilinda kwa kuishambuulia timu pinzani na kumiliki mpira muda...
0 Reactions
0 Replies
825 Views
LINK HII
0 Reactions
0 Replies
509 Views
Sina Mengi hako ka video kanatoa picha halisi.Yanga jamani mpira si uchawi , semeni na hali zenu tuu..wekeni grease mtamaliza waganga.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Source: http://issamichuzi.blogspot.com/2010/02/kcb-wamwaga-heri-bomani.html#comments Baadhi ya wafanyakazi wa Benki ya KCB wakisakata muziki wakati wa hafla ya kumpongeza Mwenyekiti wa...
0 Reactions
102 Replies
28K Views
Patashika ya Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara (VPL), kuendelea leo kwa mechi mbili kupigwa katika viwanja tofauti. Katika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam Simba SC, watawakaribisha Majimaji FC...
4 Reactions
158 Replies
22K Views
Kuna neno fulani la kizungu linaitwa "Enlightment Period" Ila sitawezeza kulifanyia tafsiri sisi kabisa kwenye mjadara huu. Ila kwa kifupi ni kipindi ambacho yaliyo mema na mazuri ambayo...
1 Reactions
58 Replies
10K Views
Huyu MTU siji kumuona kama yeye katika historia
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Meya wa Kinondoni mh Sitta amesema uongozi wake ulikuwa bega kwa bega na kocha wao Fred Felic Minziro " majeshi" na ulimpa kila aina ya msaada kuhakikisha timu yao inapanda daraja na kushiriki...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kiungo James McCarthy wa Everton sasa atakaa nje na kuukosa msimu wote huh baada ya kuvunjika mifupa miwili ya mguu wake. McCarthy amevunjika wakati timu yake ikiivaa Wes Brom na Solomon Rondon...
1 Reactions
18 Replies
5K Views
Màradona ameshasema hayo alipoulizwa swali na Pele , Kwamba màradona unamjua messi? Màradona akajibu" Simjui Messi kiundani Ila namjua Kwa juu juu sababu ni mchezaji, ni nzuri Kwa sasa lakin...
1 Reactions
56 Replies
6K Views
Wakuu habari zenu? Wakuu kwa muda mrefu sasa nimeona watu wakiwa wanabishana sana ipi ni ligi bora bira kufikia muafaka na mimi nimeona sio mbaya nikaongelea hilo labda tunaweza kufukia muafaka...
1 Reactions
2 Replies
4K Views
Katika kuonesha kuwa Guardiola amedhamiria kuchukua ndoo zote pale uingereza msimu huu, hapo jana amewakung'uta wababe wa chelsea, westbromwich albion kwa mabao 3-0 huku goli la 3 likifungwa na...
3 Reactions
14 Replies
2K Views
Hebu andika hawa watu unawakumbuka kwa lipi, Na mechi zipi unazikumbuka 2002 kumbe la dunia, Ronaldo orijino alitisha, 2006 Ronaldinho Gaucho alitisha uefa 2007 kaka ulichowafanya United na...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Kwa muda sasa nimekuwa nafatilia .maendeleo ya kijana wetu farid musa aliyeko timu ya tenerife ya spain. Nimejaribu kufuatilia perfomance ya timu hyo hasa kwa nafasi anazocheza farid nimegundua...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Back
Top Bottom