Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

(CASEMIRO 14) Los Galacticos ni neno la kihispaniola linalotafsiriwa The Galaxes(The Group of stars) kwa lugha ya Kiingereza au Kundi la Nyota kwa Lugha adhimu ya Mama zetu Kiswahili.. Hili ni...
4 Reactions
5 Replies
2K Views
Ongera sana wana wa mkoa wa mara(KIUMENI) kwa hatua hiii, mmekuwa kimya sana atimaye yanaenda kutimia. Tuna waombea Timu ya BIASHA Kufika mbali hata kupata mafanikia makubwa. Matokeo ya mechi...
0 Reactions
0 Replies
864 Views
Mara paaap June hii hapa, again kazi kazi kama kawaida ya timu, watu, hata mashabiki wenyewe huwa hakuna mbwembwe German fans tupo. Ujerumani hawa jamaa nawakubali xana cio watu wa mbwembwe...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Hicho ndicho ninachokiamini,mkhtaryan ana timu spirit na ni mwepesi kuendana na saikolojia ya wenzake,pia ana penetration pas....ni mwepes pia.....sanchez anapambana lakini hana uwezo wa kuendana...
4 Reactions
24 Replies
2K Views
Habari wanaJF, NBA jana ilitoa orodha ya wachezaji watakaoshiriki mchezo wa 2018 NBA All-Star Game, kama walivyochaguliwa na Manahodha wa timu hizo mbili ambapo moja itaongozwa na LeBron James...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
NEYMAR BADO TAA HAZIJA KUMULIKA WEWE. Na Haatim Abdul. Tumezoea mtu akipanda stejini taa ziwe zinammulika yeye kwa maana ya kwamba ndiye kituo kikuu cha umakini kwa hadhira. Neymar Jr alipoona...
7 Reactions
7 Replies
1K Views
Klabu ya soka ya Azam FC imemtangaza Kamanda wa Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani Fortunatus Muslim, kuwa ndiye mgeni rasmi kwenye mchezo wake wa kesho dhidi ya Yanga. Akiongea leo mbele ya...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
ENGLAND: Klabu ya Manchester United imemuongezea mkataba kocha wake wa sasa Jose Mourinho wa kuifundisha klabu hiyo hadi mwaka 2020 Mkataba wa awali wa kocha huyo ulikuwa unamalizika mwaka 2019...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Wale wapenzi wa marathon haswa haswa london marathon je mwakilishi wetu atanyakua dhahabu?
0 Reactions
1 Replies
902 Views
Hello wakuu kwema kwanza nikiri kuwa hawa jamaa Man city kwa sasa wapo vizuri ila kwa uzoefu wangu kama mchambuzi nawaona wakianza kuangusha point very soon hazitapita mechi 3 bila wao kupotea...
6 Reactions
65 Replies
6K Views
Hakuna ubishi kuwa huu usajili unaenda kukamilika within 24-48hrs. Sanchez to Mancherster Utd na Henrick Mkhitaryan to Arsenal, kama mlifatilia press conference ya leo the boss mzee wenger...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Waslaam ! Jana timu ya Simba iliaga mashindano huko Zanzibar, kwa wapenzi wa simba tunaoelewa mpira hatulaumu sana kwani huo ndiyo mpira lakini pia kwa sababu za kiufundi tunajua kocha ni mpya na...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Patashika ya Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara (VPL), kuendelea leo kwa mechi mbili kupigwa. Baada ya kupigwa 4G na Simba SC uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam, Singida United leo watakuwa...
8 Reactions
195 Replies
26K Views
Wiki hii taarifa za kufariki kwa golkipa wa zamani wa timu za simba na yanga Ismail suma kufariki dunia kule Bujumbura Burundi na amelazimika kuzikwa huko na majirani kutokana na kile...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Uwanja wa Stamford Bridge ulijengwa na kuanza kutumika mwaka 1877 (ukitumika zaidi kama uwanja wa riadha na mikutano inayofanana na riadha). Miaka 29 baadae (1904), ulinunuliwa (pamoja na maeneo...
2 Reactions
1 Replies
11K Views
MAREKANI: Aliyekuwa Daktari wa timu ya Olimpiki, Larry Nassar(54) amehukumiwa kwenda jela miaka 175 baada ya kupatikana na hatia ya unyanyasaji wa kijinsia Dokta Larry Nassar amethibitika...
3 Reactions
3 Replies
2K Views
MASHABIKI wa Simba wamemzawadia kiungo wa timu hiyo, Said Ndemla fedha na mikungu ya ndizi, baada ya kazi nzuri akiisaidia timu kushinda 2-0 dhidi ya Kagera Sugar kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya...
3 Reactions
31 Replies
9K Views
[emoji344]…… SMATSKILLS.COM TUPO KWA AJILI YAKO Leo game live kiganjani mwako WAPENZI WA MPIRA LEO MECHI YA [emoji460]️ARSENAL vs CHELSEA[emoji460]️ MOJA KWA MOJA KUTOKA CHANNEL YA...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Mwezi agosti mwaka 2012 Arsene Wenger alimpeleka Van Persie Manchester united.Hii ilikuwa baada ya mwishoni mwa msimu wa 2011-2012 Van Persie kugoma kusaini mkataba mpya na Arsenal..Utakumbuka...
2 Reactions
14 Replies
3K Views
kama kichwa kinavyosema wana jamvi binafsi si mpenzi wa kitu kinachoitwa socca japo nawezachambua ....yaani kujua au ku spot kuwa timu hii imecheza vizuri au mchezaji huyu amecheza vizuri.kuna...
0 Reactions
4 Replies
762 Views
Back
Top Bottom