Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Ni yule aliyetangaza mechi ya Yanga na mbao ambapo yanga alipigwa 2 - 0, yaani kama ni mshabiki wa Yanga na ulisikiliza namna alivyotangaza yale magoli ni lazima upate maumivu mara mbili...
4 Reactions
29 Replies
4K Views
Timu inaitwa big team results oriented Inawasaidia nini km inafungwa na timu zinazoshika mkia!!!!?? Kama timu inazifunga au kusumbuana na Simba, Azam au Yanga leo hii inafungwa na Mwadui fc si...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
ENGLAND: Mchezo umemalizika kwa Liverpool FC kuinyuka Manchester City kwa mabao 4 kwa 3 na kuvunja mwiko wa kutofungwa uliowekwa na Manchester City tangu ligi ya msimu huu 2017/18 ianze. > Magoli...
2 Reactions
34 Replies
7K Views
Football Events7910:_______Makala NO-81:_______Jan 2018:____{1/1}: USAJILI WA COUTINHO NI TAA YA KIJANI KWA NYOTA WENGINE WA EPL Ni vigumu sana kushindana na moyo hasa unapopenda kitu. Muda...
2 Reactions
7 Replies
3K Views
Ligi Kuu Tanzania Bara (VPL) iliendelea tena leo ambapo timu ya Yanga SC, imebanwa mbavu na Mwadui FC kutoka mkoani Shinyanga, kwa kutoka sare ya bila kufungana kila timu ikiondoka na pointi moja...
4 Reactions
32 Replies
6K Views
Habari wakuu nahitaji kujua sehemu wanapouza NUNCHAKU (CHENI ZA KUNG FU) maana nilizo nazo ni local sana huwa zinachomoka niwapo mazoezini, hivyo anayejua ni wapi naweza kuzipata zinazouzwa...
0 Reactions
0 Replies
557 Views
Madai ya mashabiki wengi Wa Mpira walimwita Mhenga wakati anasajiliwa, hivi bado hawa Watu wanaweza kumwita mpaka sasa? Kacheza michezo mitano tu lakini ana magori kumi sawa na magori yote...
0 Reactions
12 Replies
7K Views
Kila la Heri Team langu la nyumbani, Coastal Union, Wagosi wa Kaya ktk Mchezo wenu wa leo na Polisi Tanzania! Nitoe hamasa kwa wapenzi wa Coastal na wadau wa Mkoa wa Tanga mliopo Moshi kujitokeza...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Ligi inakwenda kuanza hivi karibuni... Unampa nani nafasi kubwa ya kuchukua ubingwa na kwanini?
0 Reactions
38 Replies
13K Views
KLABU ya Yanga leo hii imeingia mkataba wa miaka mitatu na kampuni ya Macron wenye thamani ya Sh. Bilioni 2 kwa ajili ya utengenezaji na uuzaji wa jezi za klabu hiyo. Akizungumza katika hafla ya...
2 Reactions
12 Replies
3K Views
BAADA YA KUITENDA SINGIDA VIBAYA, HANS POPPE AMPA GARI SAID NDEMLA Mwenyekiti wa Kamtai ya Usajili ya Simba, Zacharia Hans Poppe ametoa zawadi ya gari kwa mchezaji wa Simba, Said Hamis Ndemla...
5 Reactions
28 Replies
9K Views
Tanzania kuna wachambuzi wengi wa michezo kupitia vipindi vya michezo Redio Tanzania. Je ni mtangazaji gani ni bora sana katika uchambuzi wa soka la tanzania na dunia Je ni kipindi gani cha...
0 Reactions
96 Replies
21K Views
Nimeamini neno kwaheri ni gumu sana,ni gumu kupitiliza pale unapolazimika kulitumia baada ya Kufika tamati ya jambo,kitu au mtu uliyempenda.Maisha ya mwanadamu yana milima na mabonde ,mengi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kikosi matata cha Simba kilichotikisa katika michuano ya Klabu Binhwa Afrika mwaka 2003, unamkumbuka nani hapo?
5 Reactions
22 Replies
7K Views
Mengineyo namuachia Mwenyezi Mungu kwani Yeye ndiye kila kitu hivyo kama akiamua Simba SC tutashinda sawa itakuwa hivyo lakini kutokana na ' nujum ' zangu ( namaanisha tabiri zangu ) za hadi muda...
4 Reactions
25 Replies
4K Views
Salamu wakuu! Kwa wale mnaofuatilia michezo mtakubaliana na mimi kuhusu mambo haya: 1. Wachezaji muhimu wote wamechoka hali inayosababishwa na umri wao kuwatupa mkono ama kutojitambua. Hapa kuna...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Katika pitapita yangu kweye Magazeti nimekutana na na habari inayosema kuwa Yanga wamewahi kupigwa magori 13 huko Brazil nikaona ngoje nije hapa jf kwa kuwa watu wanatunza kumbukumbu na kuna...
0 Reactions
24 Replies
7K Views
Taarifa nilizonyapianyapia na za motomoto ni kwamba mshambuliaji wa kimataifa Mganda Emmanuel Arnold Okwi ameomba radhi kwa kocha na viongozi wa simba pamoja na mashabiki huku akidhamiria kumaliza...
1 Reactions
23 Replies
3K Views
Klabu ya Simba imemtangaza Pierre Lechantre, kutoka Ufaransa kuwa kocha wake mkuu. Pierre aliwahi kuiongoza Timu ya Taifa ya Cameroon kutwaa taji la Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) mwaka 2000...
0 Reactions
14 Replies
7K Views
Back
Top Bottom