Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Kesho wanandugu wawili wanakutana Cefaca nani kumfunga mwenzake?Jana Zanzibar Kamlamba Rwanda 3-1 na huku Kilimanjaro Akienda Sare na Libya. AZAM TV MUBASHARA.
1 Reactions
47 Replies
9K Views
Manara atamchafulia MO kutokana na mahaba yake kwa Simba yaliyopitiliza kiasi cha kusahau kanuni na taratibu za mchezo huo na sheria za nchi. Manara anapaswa kujua kuwa kila lalamiko lina...
1 Reactions
29 Replies
3K Views
Kwa wapenzi wa miereka huyu jamaa hafananishwi Refer Hell in the cell alivyo garagaza vigogo wa WWE mpaka kina KO Kumbe jamaa wanatamani sana title yake kina shemus na kundi la New day...
8 Reactions
443 Replies
45K Views
Nawaz hapa, huyu mzee ni bure kabisa.. Arsenal inazidi kupotea kwenye raman ya soka, hakuna jitihada zozote za kununua wachezaji wenye akili, timu haina matumain ya kufanya vizuri katika...
0 Reactions
6 Replies
706 Views
Nimejaribu kufuatilia kombe la Mapinduzi linaloendelea nimegundua kwamba timu za Zanzibar ni bora sana hata kuliko za bara na ukiangalia ligi yao wala timu zenyewe hazina udhamini mkubwa kama ligi...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Wito umetolewa kwa wakazi wa jiji la Dar es salaam na kwa wapenzi wa Golf nchini kujitokeza kwa wingi kushiriki katika mashindano maalumu ya Golf yatakayo fanyika katika viwanja vya Lugalo Jijini...
0 Reactions
0 Replies
840 Views
Biashara gani ipo Simba yenye mashabiki kidogo sana Tanzania kuliko Yanga itakayoweza kurudisha fedha za muwekezaji zaidi ya kupanga matokeo ya mechi za Simba ndani na nje ya nchi? Kamali...
2 Reactions
56 Replies
7K Views
Mchezaji wa kimataifa wa Tanzania Simon Msuva Jana aliendelea kung'ara katika klabu yake ya Difaa El Jadidi wakati ilipoifunga Olympique Khouribga magoli 4-1 katika mchezo wa ligi kuu ya nchi hiyo...
5 Reactions
27 Replies
5K Views
Hatupo mbali sana na kombe la dunia kule kwa mzee Putin Russia Tumeona makundi ndo hayo tiyari yametoka huyu akipangwa na yule ili mradi burudani. Zaidi ya burudani ya soka kiwanjani pia...
1 Reactions
40 Replies
5K Views
Wote najua manajua kinachoendelea huko Libya,sasa hao wapuuzi ni mojawapo ya teams mwalikwakwenye michezo ya cecafa cup inayoanza kenya next week Wdhamini wakuu ni Azam tv, Nawaomba ndugu zangu...
7 Reactions
157 Replies
12K Views
Bilionea Mohammed Dewji, amepita katika mchakato wa uwekezaji wa klabu ya Simba na ofa yake ya Sh bilioni 20. Dewji amejitokeza na kuwa muwekezaji pekee ambaye aliweka dau la Sh bilioni 20 kupata...
17 Reactions
122 Replies
32K Views
Bado pale Epl sijaona zile fujo za Viungo wa kati kama zile za Viera wa Arsenal na Keane wa Man utd hawa majamaa kila wakutano ulikua n mpira wa shoka haswa eneo la kati. Kati ya mmoja wao kula...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
kama kawaida wapingaji,watetea waarabu watakuja na kusema labda Salehe jembe alinyimwa kazi Azam au anamuonea wivu bakhressa au watamuambia hao blacks walifata nini libya? Tusisahau Morocco...
3 Reactions
19 Replies
3K Views
Bingwa wa zamani wa mashindano ya langalanga ya Fomula 1 Michael Schumacher, amekuwa akionyesha dalili nzuri baada ya madaktari kuanza kumtoa katika hali yake mahututi. Familia yake imesema kuwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwanza niweke kumbukumbu sawa mimi ni shabiki wa Yanga... Pili kwa Simba ya msimu uliopita ilikuwa ya kuongeza wachezaji wachache tu kiungo wa juu mmoja wa chini mmoja kipa na striker wawili wa...
2 Reactions
37 Replies
8K Views
Jamaa anajua kufunga sana. Anafunga kadri anavyojisikia, hana makuu hapo ndani ya Inter Milan. Hivi wadau wa soka mnamfatilia huyu jamaa kweli?
8 Reactions
52 Replies
5K Views
Polen na kaz wadau,naomba msaada kwa yeyote anayeijua application inayoweza kuninya niangalie mpira kupitia cm ya mkonononi tafadhar msaada sitaki niikose mechi ya arsenal dhidi ya man u
0 Reactions
11 Replies
12K Views
1 / 12 Luzhniki Stadium - Moscow 2 / 12 Spartak Stadium - Moscow 3 / 12 Krestovsky Stadium - St. Petersburg 4 / 12 Fisht Olympic Stadium - Sochi 5 / 12 Kazan Arena - Kazan 6 /...
12 Reactions
61 Replies
17K Views
dakika 90 zimekwisha refa kaongeza dakika 5 ila kasubiri mpaka wamepata goli ndio kamaliza mpira poor epl,inamaana kama wasingepata goli mechi isingeisha......dah
3 Reactions
31 Replies
3K Views
Back
Top Bottom