FC Barcelona imeamua kumbakiza kundini mshambuliaji wake nyota, Lionel Messi.
Ili kumbakiza, FC Barcelona imeamua kutoa kitita cha pauni milioni 80 (zaidi ya Sh bilioni 234.6) kumlipa Messi kama...
Ni mchezaji gani TZ ambae tunaweza kumpa hadhi ya u legend yaani gwiji
Unaweza mtaja hata kama amefariki
Ukimtaja unataja na mambo aliyolifanyia soka letu
Nawasilisha
Yanga inatarajiwa kuondoka kesho kwa ndege kwenda mkoani Kagera wakipitia Mwanza kwa ajili ya mechi yao ya Ligi Kuu Bara dhidi ya Kagera.
Yanga inaondoka ikiwa inawaacha jijini Dar es Salaam...
The celebrations of World Cup qualification will last long into Wednesday in Panama after the president declared a national holiday
Panama's president has declared Wednesday a national holiday...
Msingi wa mfumo wake ni nini?
Mfumo wa 'UEFA Nations League' utahusisha kupanda na kushuka kwa timu hizo. Timu 55 za taifa za Ulaya zimegawanywa kwenye ligi nne kulingana na msimamo wa timu bora...
Ni siku muhimu katika maisha yao ya kisoka. Siku ya kuzipambania timu zao za taifa ziweze kufuzu Kombe la Dunia la mwakani huko Urusi. Ni siku za wao kuudhihirishia ulimwengu wa soka kuwa wanaweza...
NIGERIA
Ikicheza mbele ya mashabiki wake wengi Nigeria imewachapa Zambia Chipolopolo goli 1 kwa 0 likifungwa na Alex Iwobi dakika za lala salama kipindi cha pili.
La kufurahisha kwamba Nigeria...
Kama mnavyofahamu katika mechi tatu za hivi karibuni Simba imeifunga Yanga mara zote tatu, mara mbili Yanga ikifungwa goli 5 na mara moja ikifungwa 2 kwa 1.
Kwa hiyo Simba SC mmeshapigia Yanga...
Mwandishi wa kituo cha ITV mkoa wa Lindi,Fatuma Maumba, amekabidhi jezi yenye jina la mchezaji wa Timu ya Yanga Donald Ngoma kwa mtoto Juma Bakari,mwanafunzi wa darasa la pili katika shule ya...
Imepita misimu mitano tangu Simba itwae taji la VPL kwa mara ya mwisho. Klabu hiyo ilitangaza ubingwa wake wa ligi kwa mara ya mwisho mwanzoni mwa mwezi May 2012 msimu wa 2011/2012 baada ya...
Saa 8:30 usiku wa kuamkia leo,Mjini Quito Ecuador,wenyeji Ecuador waliingia dimbani kumenyana na makamu bingwa wa dunia Argentina. Pambano la mwisho kufuzu au la kombe la dunia. Argentina ya Messi...
Nahodha Lionel Messi ana kazi ngumu kuivusha Argentina katika fainali hizo katika mchezo wa mwisho dhidi ya Ecuador itakapokuwa ugenini mjini Quito.
Endapo Argentina itashindwa kukata tiketi...
Yanga inaondoka kesho asubuhi kwenda Bukoba tayari kwa mchezo dhidi ya Kagera Sugar utakaofanyika Jumamosi.
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano cha Yanga, Dismas Ten alisema wachezaji wote wako...
Ikiwa imebaki mechi moja tu kabla ya kosi hatari la Mnyama Simba kukutana na Yanga,napenda kumkumbusha yule muuza mitumba shabiki wa Yanga anayeitwa Kanjunju kuwa asijaribu tena kubet dhidi ya...
Taarifa njema kwa wapenzi Wa yanga, mshambuliaji wao wa kutegemewa Amisi Tambwe yupo fiti katika kuikabili kagera hapo juma mosi baada ya kuwa nje kwa muda mrefu akisumbuliwa na goti. Ngoma bado...
Katika kuonyesha kwamba hawajawaachia tu Wadau wakuu wa Elimu nchini Tanzania ambao ni Waziri husika wa Elimu, Walimu wote wa Somo la Kiingereza nchini Tanzania pamoja na Mwalimu anayekuja kwa...
Polisi nchini Zambia wamewakamata mashabiki watano kwa madai kuwa walivamia nyumba ya mwanasoka wa timu ya taifa ya kandanda Alex N'gonga.
Mashabiki hao walishikwa na hasira kuwa Ng'onga. alikosa...
Mshambuliaji wa klabu ya Stoke ya Uingereza Peter Crouch, ameingizwa kwenye kitabu cha rekodi za dunia cha Guinness World Records cha mwaka 2018 kwa kufunga mabao mengi zaidi kwa kichwa Ligi ya...
Jaman masaa machache yaliyobakia
Huenda dunia ikabak Na mshangao
Mkubwa kama co kuduwaa
Wakat huu wasyria wakiwa wamefunga
Na kuiombea tim yao ushind or draw
Dhid ya Australia mchezo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.