Decision Making
Decision making is an area where goalkeepers must excel. Unlike playing in any other position where mistakes can be rectified, being a goalkeeper comes with the knowledge that a...
Mpira wa miguu ni mchezo wenye mashabiki wengi mno ktk dunia hii.
Football hugusa hisia za mashabiki kwa kiwango cha juu mno.
Utani baina ya mashabiki ndiyo chachu ya utamu wa mpira wa miguu...
Mshambuliaji wa zamani wa klabu ya Yanga na timu ya Taifa 'Taifa Stars', Mohamed Hussein 'Mmachinga', ameiponda Taifa Stars kutokana na mfumo na mbinu zinazotumiwa na kocha Salum Mayanga...
Kiungo wa timu ya daraja la kwanza nchini Scotland ya Inverness, Liam Polworth ametoa kali ya mwaka baada ya kumshindilia kocha wake ngumi wakati wakiwa katika mechi.
Kocha Scott Kellacher...
Mchezaji wa kimataifa mwangalia Simon Msuva leo hii ameinusuru TZ kupata aibu mbele ya Mgeni rasmi muheshimiwa Mwakyembe. Hongera sana Msuva kaza uzi but wanayanga tunakukumbuka sana hasa cross...
Ndugu wapenda michezo imekua shida kubwa kupata updates za matokea na kila kinachoendelea ligi daraja la kwanza.
Najua wengi wanapenda kujua vitimbwi vya ligi hii ambayo huwa imejawa vituko na...
Nachukua nafasi hii kuwapongeza Man U kwa muendelezo wa matokea mazuri hiyo inachagizwa na kocha bora na mwenye mafanikio makubwa katika tasnia ya soka.Sikuwahi fikiria kama kuna siku ningeweza...
Leo Taifa Stars wapo uwanjani mechi ya kirafiki na Malawi.
Wamevaa jezi nyeupe na strip ya blue lakini sehemu kubwa ni nyeupe. Japo sio lazima sana, nchi nyingi huchukua rangi kwenye bendera ya...
Nyota wa Soka wa Real Madrid na timu ya taifa ya Ureno Cristiano Ronaldo ameamua kuuza tuzo yake ya mchezaji bora wa dunia maarufu kama Ballon d’Or aliyoshinda mwaka 2013 ili kutoa msaada...
Kwa ufupi
Simba ipo katika harakati za kubadilisha ummiliki wa timu hiyo na kuendeshwa kwa mtindo wa kampuni
By Eliya Solomon,Oliver Albert
Dar es Salaam. Kamati ya kusimamia mchakato wa zabuni...
Wale wahenga wa mpira wa miguu lazima watakua wanamjua huyu fundi wa mpira wa miguu mzaliwa wa Brazil mwenye Uraia na Hispania na pia Akichezea timu ya taifa ya Hispania ila michezo michache...
Leo nimefuatilia mchezo baina ya Taifa Stars na Malawi. Kwa kweli uwezo wakipa wetu ni chini ya kiwango. Goli alilofungwa halikufaa afungwe hata kidogo. Siyo maakini anapokaa golini na changamoto...
Katika usajili walioufanya Simba pasi na shaka usajili wa Niyonzima walikurupuka. Simba haikuwa na tatizo na kiungo na idara ambayo Simba ilikuwa vizuri mno basi ni idara ya kiungo ndio maana...
Mchezo wa jana kati ya wanaume na wanaolijua soka DEPORTIVO LA CORUNA na timu kubwa ya Brazil CORINTHIANS, imenyukwa mabao saba kwa sifuri.
Kama mnakumbuka 2014 wababe wa dunia GERMANY MASHINE...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.