Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

KOCHA AZAM: MAGOLI YOTE YALIKUWA OFF-SIDE. . “Tunahitaji VAR magoli yote mawili ni offside za wazi , Simba ni timu kubwa hilo hatukatai niwapongeze wachezaji wangu lakini kwanini offside ni kwetu...
3 Reactions
71 Replies
2K Views
[emoji2788] @magunga_tz "Tunasema @yangasc ameshuka kiwango ukimlanginisha na wapinzani wa aina gani? kwasababu mpaka sasa kwa wapinzani aliokukutana nao kwenye ligi yeye amekuwa bora kuliko wao...
5 Reactions
23 Replies
730 Views
Timu za JKU na UHAMIAJI ni timu za Zanzibar kindaki ndaki kuliko Yanga. Hatukuelezwa kwanini JKU na UHAMIAJI hawakutaka mechi zao za mashindano ya CAF wachezee Zanzibar, lakini Yanga wanataka...
6 Reactions
139 Replies
4K Views
Anyway Jana osasuna kaonesha panapovuja japo Kila mtu analia na Torres ila mi nasema wote wamefungwa 4 goals sio joke hapa nangoja Leo atletico azingue tuanze kupumulia unyayo wa mtu
2 Reactions
4 Replies
276 Views
Uongozi wa Yanga umethibitisha Kiungo mshambuliaji raia wa Ghana Augustine Okrah, hatakuwa sehemu ya kikosi chao msimu ujao 2024-2025. Nyota huyo alitua Young Africans Januari 2024 akitokea...
11 Reactions
43 Replies
2K Views
Binafsi napenda Bayern ashinde ila hadi Sasa kapigwa Moja
0 Reactions
2 Replies
249 Views
I'm just wondering. Maana Dumars anavyopiga mahesabu sijui itakuwaje na sijui line up itakuwaje.. na sijui we have a chance to land Thabeet here..
0 Reactions
71 Replies
9K Views
Azam sports wana umakusudi, hawana vertical top view camera, hawana camera nyuma ya goli, wachambuzi wa mchongo Mbwaduke na Kiemba wanalamba Asali kwa kusema uongo. Aibu nyingine tena kwa ligi...
6 Reactions
44 Replies
3K Views
Hongera tumu ya Azam kwa kudhamiria kukomesha bahasha na wale wote wanaodhamiria kuvuruga mpira wa Tanzania. Ni matendo yanayopaswa kukemewa na mtanzania yeyote mzalendo na mpenda soka. Azam...
2 Reactions
38 Replies
2K Views
Kuna hii vita nyingine inaendelea kimya kimya kati ya beki wa kulia wa Simba Kevin Kijili na beki wa kushoto wa Yanga Chadrack Boka. Ni vita ya mchezaji mwenye mbio zaidi. Ebwana hizi mutu...
3 Reactions
21 Replies
1K Views
Klabu ya Zamalek Imefanikiwa kutwaa Ubingwa Wa Super Cup Mara Baada ya Kuwafunga Mahasimu Wao Wa Jadi National Ahaly. Mechi Ilitamatka Kwa Kutoa Suluhu ya Goli Moja Kwa Moja Ndani ya Dakika...
0 Reactions
5 Replies
565 Views
Jamani jamani kweliii kabisaaaa Honorable Live Mh.. Hayabana wacha ninywe bia tuy
1 Reactions
3 Replies
370 Views
Kama kumbukumbu zangu zipo sawa. Mtanirekebisha wadau. Hii ni kabla ya matches ya jana. Otherwise pia draws ni nyingi sana. Ila Yanga imemchapa sana Azam tena kwa magoal lukuki.
2 Reactions
6 Replies
335 Views
𝗧𝗨𝗦𝗜𝗕𝗜𝗥𝗜 Kumbe Makolo wanaumia hivyo kisa Young Africans Sports Club kama tu kesho akitinga makundi CAF CHAMPIONS LEAGUE.Anyway Yanga amefuzu mara moja tu Makundi Ligi ya Mabingwa na amecheza...
11 Reactions
53 Replies
9K Views
Kuna maeneo Dar es salaam ukiishi unajishushia heshima yako tu, Bora ukakae Kibaha au Bagamoyo ijulikane moja. Nani anapenda kukalia Kigogo, hakuna bali hali ngumu ya uchumi inalazimisha watu...
17 Reactions
79 Replies
4K Views
Urafiki wa Azam na Simba unatuharibia ligi Azam wameuza mechi na walipewa maagizo maalum kujilegeza kama wagonjwa Huyo Sillah akicheza dhidi ya Yanga atajituma kama hatacheza tena ila mechi ya...
10 Reactions
56 Replies
1K Views
Leo sitasema sana maana yanayotakiwa kusemwa nimeshayasema kwa siku kadhaa sasa zilizopita. Baada ya hongera nitaongeza neno moja tu kwa Mwekezaji Mo Dewji. Baada ya usajili mzuri ambao kiukweli...
4 Reactions
40 Replies
2K Views
Ili kukidhi viwango vya FIFA inabidi uwe na seat kuanzia 40,000. Tanzania kwa sasa hatuna uwanja wa kuhost ufunguzi wa finally za kombe la Dunia. Walau mkapa unaweza host robo fainali. Kwanini...
4 Reactions
110 Replies
6K Views
Good morning. Naona mnaanza kutengeneza attention ya kushindanisha kati ya Diarra na Camara ila ki uhalisia Jana Camara hakustahili kua Man of the Match. Hivi unampa Man of the Match mtu kapigiwa...
9 Reactions
51 Replies
1K Views
Back
Top Bottom