Kuna tatizo la miamala kati ya MkekaBet na Tigo pesa wahusika tatueni tatizo hili Leo weekend tambueni hilo,tatizo lipo tokea Jana pesa zimekwama hatujui ni nyie au ni Tigo mkipigiwa simu mnatoa...
Baada ya kushuhudia mpambano wa kukata na shoka kati ya undefeated world champion Floyd Joy Maweather na Conor Anthony MacGregor ,hatimaye macho yote kwa wapenda boxing wote duniani tutayaelekeza...
Hii ni mechi ya mzunguko wa tatu baina ya majimaji vs yanga.Yanga ya msimu huu sijui kama tutoboa,mashabiki wa yanga popote mlipo tujiandae kisaikolojia.Timu inacheza utafikiri inashiriki ndondo...
Kiungo mshambuliaji wa timu ya taifa ya Tanzania na klabu ya Difaa Al Jadid, Simon Happygod Msuva ametangazwa kuwa mchezaji bora wa mwezi Agosti ndani ya klabu ya Difaa Al Jadid ya nchini Morocco...
Mshambuliaji wa Timu ya Difaa al Jadida ya Morocco ambaye ni raia wa Tanzania, Saimoni Msuva ameibuka mshindi wa tuzo ya mchezaji bora ya mwezi wa Agosti ndani ya klabu hiyo.
Msuva aliyejiunga na...
Klabu ya soka ya Majimaji ya mkoani Ruvuma imejinasibu kuwafunga mabingwa watetezi wa VPL Yanga kwenye mchezo wao wa kesho.
Majimaji kupitia kwa mjumbe wake wa kamati ya utendaji Salum Masamaki...
Kufuatia Rais John Magufuli kuvunja Wakala wa Uendelezaji Mji wa Kigamboni (KDA) na kuelekeza shughuli zote za KDA zifanywe na Manispaa ya Kigamboni. Na kufuta umiliki wa mashamba mawili makubwa...
Mchambuzi maarufu wa soka nchini, Ally Mayay, amewatoa hofu mashabiki na wanachama wa Simba baada ya kusema anaamini kocha wao, Joseph Omog, atawapa mafanikio.
Simba ilizindua kampeni zake za...
Jengo la Makao Makuu ya Klabu ya Yanga lililoko makutano ya mtaa wa Jangwani na Twiga Kariakoo jijini Dar es salaam, liko hatarini kupigwa mnada kutokana na deni la Sh. milioni 300 ambazo klabu...
Mshambuliaji wa Simba ya Dar es Salaam, Emmanuel Okwi amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa Agosti wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara msimu wa 2017/2018.
Okwi alitwaa tuzo hiyo baada ya kuwashinda...
Inasemekana mchezaji emanuel okwi,jana alimpiga kichwa kwa maksudi kocha wa timu hiyo omog,baada ya kocha huyo kutaka maelezo ya kiundani kutoka kwa mchezaji huyo,baada ya kuchelewa kujiunga na...
Msimu wa Klabu Bingwa ulaya, ligi pendwa duniani unaanza leo kwa baadhi ya timu kumenyana uwanjani.
Kupitia uzi huu tutakuwa tukipeana habari kwa msimu mzima.
Timu inayotetea ubingwa - Real...
Natizama mechi ya maveterani hapa Azam tv, huyu Lunyamila yupo ubavu wa kushoto kwa namna anavyocheza inaonyesha ana akili sana na Fundi.
Sijui enzi zake alikuaje huyu veterani.
Natabiri msimu huu ndio utakao kuwa msimu mbovu zaidi kwa timu yetu ya Yanga na pia droo za mara kwa mara zitatuandama na mbaya zaidi tutamaliza tukiwa nafasi ya nne na hatutoweza kupata tiketi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.