Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Habari wana JF Hivi naomba kuuliza ile kauli ya Mh.Rais Ally Hassani Mwinyi Ilitenguli au bado? Nakumbuka aliposema "Tstarz ni Kichwa cha Mwendawazimu"
3 Reactions
17 Replies
3K Views
Wadau nadhani mnakumbuka kipigo ilichokipata klabu yenye Makazi yake kwenye Swimming pool pale Jangwani cha bao 5-4 ,YANGA.Kipigo hicho kilitokana na Usajili Wa 1.3Bilioni. Sent using Jamii...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limefanya mabadiliko kidogo ya muda wa kuanza mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, kati ya Azam FC na Simba SC. Mchezo huo utafanyika leo...
1 Reactions
14 Replies
7K Views
Jamani tuache unazi tuwe wakweli. Yale magoli aliyopiga Said Ndemla na Mwinyi Kazimoto sio ya nchi hii. Hebu tazama Mwinyi na Ndemla walivyonyumbulika,wakapangua mabeki,waka-drebo,wakamtazama...
4 Reactions
26 Replies
6K Views
Yule mshambuliaji machachari sana toka nchini Ghana, Nicholaus Gyan, ambaye nchini kwake wanamfahamu kama King Goal ametamka kuwa yu tayari kutoa huduma kwa Taifa liltakalo muhitaji. Namnukuu...
3 Reactions
22 Replies
3K Views
Mechi ya kufuzu kombe la dunia kati ya Afrika Kusini na Senegal itarudiwa tena baada ya refa aliyesimamiwa mechi hiyo kupigwa marufuku na Fifa. Refa huyo raia wa Ghana Joseph Lamptey, alipiwa...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Nasikia Riadha mkoa wa mwanza wanaandaa kozi ya awali ya ukocha wa riadha, Sept 2017. Mwenye taarifa zaidi ya namna ya kujiandikisha na gharama za kushiriki, tafadhali.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Leo katika kukaa kwangu nika jaribu kuvuta picha kwa matukio madogo madogo yanayo tokea ndani ya soka letu la Tanzania kiujumla Nasio kwa Ngazi ya ligi kuu tu bali hata mitaani huku ambako soka...
0 Reactions
2 Replies
996 Views
Klabu za Ligi ya Premia zimepiga kura na kuidhinisha soko la kuhama wachezaji lifungwe kabla ya msimu kuanza mwaka ujao. Mameneja walikuwa wamelalamika kwamba nafasi ya wachezaji kuhama ligi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Pamoja na Jitihada za dhati na ZISIZO za dhati za kubadilisha mpira wetu ila ni ukweli usiopingika kuwa Mpira wa tanzania utabadilika ikiwa mambo mawili yatatokea 1. Timu za Simba na yanga...
7 Reactions
12 Replies
3K Views
Sio vizuri kumfananisha gaucho na hawa viumbe wa sasa kisa wanamagori mengi na vikombe vingi Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Kamati ya Sheria, Katiba na Hadhi za wachezaji imesema haioni haja ya kuendelea kumfungia kiungo aliyesaini kandarasi katika vilabu viwili tofauti ambaye ni Pius Buswita baada ya yeye kukubali...
2 Reactions
40 Replies
4K Views
Kamati ya nidhamu ya TFF leo August 31, 2017 imetangaza kumuandikia barua ya onyo kali Simon Msuva winger wa Taifa Stars na klabu ya Difaa El Jadid ya Morocco kufuatia kukutwa na hatia ya...
0 Reactions
17 Replies
5K Views
Kwenda uwanjani kutizama mpira ni adhabu na mateso kutokana na: 1. Foleni ndefu za magari 2. Fujo za uwanjani na watu kung'oa viti 3. Kandanda bovu linaloonyeshwa na timu zetu, 4. Waamuzi wabovu...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Mabadiliko ya ratiba mpya ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) yaliyotolewa muda mchache uliopita(leo Jumatatu 4/9/2017) na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) yanaonyesha kuwa mechi zote za...
0 Reactions
20 Replies
16K Views
Naam, Ni uzi maalumu kwa ajili ya English Premier League (EPL) ambayo kwa sasa ni inajulikana kama Premier League (PL) Fixtures, Results na kila kitu kuhusu Ligi kuu ya uingereza, tukitupe...
1 Reactions
22 Replies
3K Views
Hivi huwa ni utamaduni wa wakongo eti Mana mi sielewi Huyu mchezaji mpya wa yanga mpaka kwenye gazeti nikaona hii habari sasa sijui kuna nini hapa Hebu wakuu wa mambo nielezeni Sent using Jamii...
0 Reactions
81 Replies
18K Views
https://salehjembe.blogspot.com/2017/08/baada-ya-karia-atangaza-kamati-awateua.html Kamati ya Nidhamu: Mwenyekiti Tarimba Abbas, Makamu Mwenyekiti, Peter Hella wakati wajumbe ni Boniface...
2 Reactions
21 Replies
5K Views
Katika mechi ya England na Slovakia ambapo England ilishinda kwa magoli mawili kwa moja. Mchezaji wa klabu ya Tottenham Hotspurs Dele Alli ameonekana akionyesha kidole cha kati. Wakati ikidhaniwa...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Cairo, Misri. Baada ya kutua Misri, kocha wa timu ya taifa ya Uganda, Moses Basena amesema hawataweka akili zao zote kwa Mohamed Salah au Mohamed Elneny. Kocha huyo wa Cranes anaamini kikosi...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Back
Top Bottom