Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Inasemekana kwamba mashabiki wa...... Liverpool FC ni wapambanaji, majasiri sana na wamebarikiwa mno maishani. Manchester United ni wapenda maendeleo, mashujaa na ni Washirikina wazuri tu...
0 Reactions
2 Replies
718 Views
Shirikisho la Soka Afrika(CAF) limemteua Mtanzania, Leodegar Tenga kuwa Makamu Rais wa Kamati ya Ufundi na Maendeleo ya Shirikisho hilo. Tenga aliwahi kuwa Rais wa Shirikisho la Soka...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
IN ENGLISH Simba is the union of Mohammed Dewji, Azam FC and Mtibwa Sugar in the fight against champions' Yanga. ELABORATION After Yanga won three consecutive Premier League Title, Azam decided...
8 Reactions
20 Replies
2K Views
habar za muda huu wana jamii forum kutokana na zanzibar kufuriwa uwakilishi katika caf ni vyema kukawepo na ligi moja Tanzania tofauti na hivi sasa ambapo kunachezwa ligi mbili katika nchi moja...
0 Reactions
5 Replies
982 Views
Wakuu nimekua mfuatiliaji wa mchezo wa mpira wa miguu hapa nchi na mdau wa michezo kwa ujumla wake! Watanzania wengi tumekuwa tukihitaji kuona soka la vilabu vyetu pendwa likikua kufikia level za...
2 Reactions
17 Replies
2K Views
DOGO ALIYEMKUMBATIA ROONEY AFUNGUKA…..SITASAHAU SAA 24 NILIZOKAA MAHABUSU KAMA bado ulikuwa unapata shida kuielewa maana ya neno ‘jasiri’, basi likumbuke tukio la shabiki aliyeingia uwanjani na...
2 Reactions
20 Replies
4K Views
Mechi ya Leo ya Rwanda vs Stars ndio inadhihirisha kwanini huyu striker alikuwa haitwi timu ya taifa
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Mabingwa wa kihistoria Tanzania wametajwa katika orodha ya timu bora 50 kwa mwaka 2017. Yanga wameshika nafasi ya 43. Viongozi wetu mnapoingia mikataba na makapuni msifananishwe na wale wengine...
5 Reactions
15 Replies
20K Views
Timu ya Taifa Stars imeyaaga mashindano ya CHAN jioni hii baada ya kutoka suluhu ya magoli 0-0 na Timu ya Taifa ya Rwanda(Amavubi Stars). Kikosi cha Taifa Stars kilichoanza leo dhidi ya Amavubi...
1 Reactions
25 Replies
3K Views
Shirikisho la soka Afrika (CAF) limeivua uanachama Zanzibar miezi minne tu baada ya kupewa. Rais wa CAF, Ahmad amesema kuwa Zanzibar, ambayo ni sehemu ya Tanzania haikutakiwa kukubaliwa kama...
1 Reactions
12 Replies
3K Views
Katika kuonyesha kuwa hakufurahishwa ' totally ' na ' kufurumushwa ' Kwake katika Cheo chake alichojitungia mwenyewe cha Ukurugenzi wa Habari na Mawasiliano ( ambacho hata katika Katiba ya Yanga...
6 Reactions
49 Replies
6K Views
Mtanzania mbwana samatta anategemea kuongoza mashambulizi katika club yake ya genk dhidi ya everton tutagemea makubwa kutoka kwa samatta kwani kwa sasa ndiye mshambuliaji tegemeo la timu ya...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
======== Zanzibar is new Caf member Zanzibar FA has been admitted as the newest member of Caf, supersport.com can report. The new development will see Zanzibar as the 55th member of Caf after...
0 Reactions
116 Replies
12K Views
Wadau, leo ni hukumu ya kikosi cha Taifa Stars dhidi ya Amavubi a.k.a. Nyigu kutoka Kigali. Ni mchezo wa pili baada ya kukutana wiki iliyopita na kushuhudia timu hizi zikigawana pointi kwa kutoka...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Nipeni ratiba ya mechi wadau maana naangaza angaza sioni Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
848 Views
MPANGO WA KUENDELEZA MICHEZO TANZANIA 1.UTANGULIZI Tangu kupata uhuru nchi ya Tanzania mnamo mwaka 1961,kumekuwa na sintofamu kubwa kwenye maendeleo ya sekta michezo na burudani.Hakukuwahi kuwapo...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Aliyekuwa msemaji wa klabu ya Yanga, Jerry Muro Aliyekuwa msemaji wa klabu ya Yanga, Jerry Muro amesema kuwa ilikufanikiwa katika utendaji ndani ya uongozi wa mabingwa hao wa kihistoria ni lazima...
1 Reactions
15 Replies
3K Views
Baada ya kukwama jijini Dar es Salaam, hatimaye Msuva ameondoka kwenda Rwanda kuungana na kikosi cha Taifa Stars. Stars iko jijini Kigali kuivaa Rwanda keshokutwa katika mechi ya kuwania kucheza...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…