Salaam wanajamvi, nina haja sana na mawasiliano na ndugu Jamali Malinzi. Nikiipata nitashukuru sana, ikishindikana hata e mail itanifaa. Si kwania mbaya wapendwa mwenye kunisaidia nitashukuru.
Ujue tunawavumilia sana lakini amtaki kutuonea huruma hata kidogo,kwanza tuna uchungu sana kukosa ubingwa msimu huu na bado munatudanganya
1. Maamuzi ya kamati ya hadhi na Sheria yalipotoka...
Jamani, hawa watu ndo walienda mahakamani kupinga kampuni ya Yanga Yetu iliyokuwa chini ya Manji! Inawezekana kuna baadhi ya vipengele vya katiba vilikiukwa ila lilikuwa suala la kuufuata uongozi...
Kumekua na tabia ya kukumbilia kufuta taarifa haraka bila kufanya uchunguzi humu
Sasa mumefuta na ni kweli manji kujiuzulu tunaomba mrejeshe taarifa hiyo humu
Habari zenu wadau wa jukwaa pendwa la Sports, naomba kujuzwa sheria za kubeti, nikimaanisha (namba moja inamaanisha nini, mbili na kuendelea.. na huwa zinatumika kwa aina gan ya Betting.
au soma hiii
Reporter: Coach, what do you think about Augusto Lima going away in the midst of a series to attend the birth of his child?
Jasikevicius: What do I think about it? I allowed him to...
Maswali yenyewe ni
1. Kwanini mlitangulia mbelw kwa pointi 8 kisha mkapitwa tena?
2. Kwanini mlifungwa na Kagera sugar? Maana mchezaji kuwa na kadi 3 haiwezi kuwa sababu ya kupoteza mechi.
3...
Bila shaka mmethibitisha nyie ni timu bora kusini mwa jangwa la sahara. Ni makosa madogo tu, yametugharimu.
Tumekuwa na wadosi njaa wanaojifanya wanapenda mochezo kumbe wachumia tumbo tu.
Mmoja...
Kwanza poleni kwa kutolewa japo sijaumia. Tunaomba TFF mtupe mapato na matumizi ya michango mbalimbali ya wadau
1. Jumla tulikusanya kiasi gani?
2. Tumetumia kiasi gani?
3. Kimebaki kiasi gani...
Ndugu wanabodi. I salute
Niende moja kwa moja kwenye hoja kubwa hapo juu...mimi ni mshabiki wa timu flan flan si yanga wala simba. Ninamapenzi na timu yetu ya TAIFA hata jana niliumia ana...
Karibuni tu ' mtiririke ' na ' mserereke ' kwani kuna Mtu mmoja hapo juu ( kwa hao Watajwa ) tokea jana baada ya ' Ushindi ' ule wa Serengeti Boys kule Gabon namsikia sasa ' anatamba ' na '...
Serengeti Boys timu iliobebwa kwa mpondo kufikia mashindano ya U17 kama Yanga bado inawafurahisha wa Tanganyika kiasi cha kujisahau kuwa hao wanaowashangilia ni kichwa cha mwendawazimu...
Kitendo cha kumpiga kumbo refa hadi anaanguka chini ni kitendo kisichovumilika kabisa.Na mkiendekeza ujinga kama huu kwa vile ninyi ni wapenzi wa Yanga mtafanya soka lizidi kudidimia hapa...
Leo Mei 19, 2017 kocha wa Taifa Stars Salum Mayanga ametanga kikosi cha wachezaji watakaoingia kambini kwa ajaili ya mechi ya Juni 10, 2017 dhidi ya Lethoto kuwania kufuzu kucheza fainali za...
Baada ya kuunguruma kwa takribani miezi tisa (August -May),hatimaye leo tunaelekea kwenye mwisho wa msimu wa Ligi kuu ya soka Tanzania Bara (VPL)
Leo hii viwanja 8 vitawaka moto,lakini macho na...