Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Wenye taarifa sahihi wakubwa... Maana hii barua sioni aliyesaini kuthibitisha ni ya Yanga hakuna katibu wala nini....
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kuna taarifa kuwa hata kama manchester watashinda europa cup hawatashiriki ligi ya mabingwa kwakuwa kanuni haziruhusu.Je kuna ukweli wowote?!
2 Reactions
87 Replies
10K Views
Kumekuwa na juhudi au hatua zinazochukuliwa na serikali ya awamu ya tano katika kuhakikisha wanaongeza mapato yake na moja ya njia hizo ni kuhakikisha kuwa wanadhibiti mianya midogo midogo ya...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Pamoja na ukweli kwamba timu ya simba ina kikosi bora sana tangu akiwepo okwi na wenzake lakini wameshindwa kigundua sababu zinazofanya washindwe kinyakua ubingwa 1.Waache malumbano yasio na maana...
2 Reactions
10 Replies
1K Views
Kupitia ITV Jana kwenye habari za michezo, nimemsikia ndg, Hans Pope ikiwalaghai wanachama wa Simba kwamba, malalamiko yao ya kudai point 3 za kagera sugar wapewe wao... Huu ni umbumbumbu kwa wale...
5 Reactions
12 Replies
1K Views
Simba kukosa tena ubingwa mwaka huu ni jambo ambalo sisi wanasimba hatutakubali , Hii nakujulisha mapema usije kusema tumekuvizia . Tutakutimua bila huruma , viongozi gani mnaokosa mbinu kiasi...
5 Reactions
49 Replies
5K Views
Klabu ya Chelsea ya uingereza imefanikiwa kuibuka na ushidi zidi ya Club ya WBA wa Goli 1 kwa 0, Goli lililofugwa na Mshambuliaji Batshuayi dakika ya 82. Hivyo sasa Chelsea ndio bigwa wa EPL...
12 Reactions
73 Replies
13K Views
0 Reactions
1 Replies
923 Views
Tukutane mwakani watani zetu ila Yanga ndo kidume.
0 Reactions
0 Replies
644 Views
Nimesikiti sana na club ya simba kwa kurudia makosa yale yale kwa mwaka wa nne sasa Simba wamekua na timu nzuri sana lakini inapofika mechi za mwisho ili wachukua kombe wanakumbwa na mdudu gani...
3 Reactions
34 Replies
6K Views
Wakati YANGA WANASHANGILIA UBINGWA simba wao wanashangilia zacharia hanspope kutengua kauli yake ya kujiuzulu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kweli maisha hayako fair...!
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Mpaka sasa naweza sema Yanga ni bingwa wa Tanzania 99% iyo moja tunasubiria game ya Mwisho Simba vs Mwadui,sio masihara iyo game Simba atatakiwa ampe mtu kipigo cha mbwa mwizi magoli si chini ya...
3 Reactions
10 Replies
2K Views
Kwa taarifa za uhakika kabisa na zilizonifikia hivi punde kutoka kwa Mtu wa karibu wa aliyekuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili wa Klabu ya Simba SC na Mjumbe wa Kamati ya Utendaji wa Simba SC '...
2 Reactions
94 Replies
10K Views
Kwanza kabisa kama wewe ni mkia soma na upite kimyakimya bila kuacha omo.. Pili,kwa nionavyo upepo kombe linabaki nyumbani kwao lilipopazoea so tupange mikakati ya kumpokea mwali sisi kama members...
6 Reactions
35 Replies
3K Views
Sikubahatika kuangalia mechi ya Serengeti dhidi ya Mali lakini nilikuwa nasikiliza matangazo ya Radio One na TBC taifa. Mtangazaji Radio One, Amri Masare kwenye matangazo yake kasema Serengeti...
2 Reactions
7 Replies
4K Views
Simba walikuwa wanapitia kipindi kigumu sana sababu ya ukata wa pesa mpaka baadhi ya wachezaji walikuwa kwenye mgomo wakidai mishahara ,kila mtu ni shahidi wa hili. Tukishuhudia namna mashabiki...
8 Reactions
146 Replies
18K Views
Mkuu wa idara ya habari na mawasiliano wa Simba SC, Haji Manara amedai anaonewa kwa kupewa lawama zisizomuhusu baada ya kile kinachoaminiwa kuwa naye ni miongoni mwa viongozi walioshiriki katika...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Mzuka wanaJF?! Kama ni Kweli ni miaka yake ni 28 basi mpira unazeesha dah! Inawezekana ni Kweli ni wa mwaka 88 na je huyu hapa chini ni wa 80. Ana miaka 37? Sasa cheki kwa huyu...
2 Reactions
22 Replies
5K Views
Wakali wa soka nchini ARGENTINA na bara la AMERIKA YA KUSINI kati ya BOCA JUNIORS NICKNAME-LA BOMBONERA _____________na________________ CLUB ATLETICO RIVER PLATE NICKNAME- Los Millonarios (The...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Back
Top Bottom