Moja ya mechi muhimu na iliyokuwa na maajabu mengi katika historia ya dunia basi ni World Cup 1950 kati ya Brazil vs Uruguay
Finali hii ilipigwa katika dimba maracana huko brazili
Ni fainali...
Yanga ni klabu kongwe katika Tanzania.Imefanikiwa kutwaa Ubingwa wa Tanzania Kwa mara 25. Pamoja Na kuwa klabu kongwe lakini haina Rekodi ya kujivunia kimataifa zaidi ta kushuriki tu Ni aibu Kwa...
Wekendu wa msimbazi leo wameingia mkataba na kampuni ya kubetisha ya SPORTPESA kwa
ajili ya udhamini katika ligi kuu bara kuanzia msimu ujao.
Simba imeingia mkataba wa miaka mitano wenye thamani...
Hata mimi ningetafuta maneno mazuri kujitetea sababu ya kummwaga.
Tatizo lake ni la kitabia kwahiyo atachemka popote pale.
Tabia yako wakati tunapambana unatajataja kuhama ni kosa kwa De Gea...
Mpira ni Dakika Dakika ya 17, Simba 0-1 Stend United.
Dak ya 24 Simba 1-1 Stend United
Simba 2-1 Stend United Juma Luizio tena .
********************
Mpira Mapumziko
******************
Kipindi...
Mwisho alikuwa ni mchezaji wa yanga hatimae Pan African ya Dar. Alitokea Tumbaku ya Morogoro akiwa pamoja na akina Shillingi na Hussein Ngulungu.
Nilikuwa ninamsikia redioni Enzi hizo wakati...
RIPOTI MAALUM Ufisadi wa kutisha TFF-4
www.ippmedia.com/sw/habari/ripoti-maalum-ufisadi-wa-kutisha-tff-4
Pia ilielezwa changamoto ya ukosefu wa mwongozo wa utendaji na utoaji ajira uliosababisha...
Hizi taarifa zimetoka Club ya Randers Fc alipoenda kufanya majaribio kijana wetu Mkata Umeme anayekipiga Club ya Azam Fc.
Chanzo cha habari kinazidi kudadavua zaidi kuwa Randers wamesema Himid...
Baada ya mechi ya Juventus vs Barcelona katika dimba la Camp Nou kuisha ,kocha wa Juve alihojiwa na waandishi wa habari akasema alipoingia Andrea Barzagli alijua mechi ndio ishaisha hapo maana...
Arsenal imeimarisha matumaini yao ya kutaka kuwa katika timu nne bora katika jedwali la Uingereza kufuatia ushindi wao wa mabao 2-0 dhidi ya Southampton.
Mabao hayo yalifungwa na Alexi Sanchez na...
Asilimia kubwa ya michezo ya ligi inachezwa saa Kumi adhuhuri isipokuwa kidogo ile ya timu ya Azam inayochezwa saa moja jioni.
Sioni Sababu ya michezo yote kuchezwa muda mmoja wa saa kumi ni...
Mechi za fainali za Vijana Africa chini ya miaka 19 zitaonyeshwa mubashara na DSTV.
Mechi hizo zitaonyeshwa kupitia Channel 209, channel 233 hii ina maana kuwa sasa tutaona Mechi za Serengeti...
1.said muhando carter anacheza chiasso ligi daraja la Kwanza
2.orgenes mollel anacheza ureno ligi daraja la kwanza
3.daud aboud yupo ligi daraja la kwanza marekani
4.donald makaramba yupo...
Habari zisizo rasmi inasemekana kua sportpesa watakua wadhamini wa klabu kongwe hapa nchini zinaenda mbali zaidi kua yanga wamepata mkataba mnono kuliko simba . Je yule aliesema tatizo ni...
Hivi kwa mfano yuke jamaaa wa Kenya alie shida dola 221m ambazo ni tsh 4.8 bilioni za kitanzania yeye alibeti kupitia mtandao upiii maana m-bet na meridian hawana hizo betting za hela nying
Tumeona Asilimia kubwa ya vilabu vyetu vya soka vikiajiri makocha kutoka nchi nyingine tumewaona akina Micho,Omog,Kelly,Papic,Kondic,Van Plujim,Timbe,Jack Chamangwana,Marehemu Siangaa na wengine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.