Nimeona wachezaji wetu wakiwa wapweke wimbo wa taifa unapigwa hakuna washabiki kuwasapoti.TFF ingewapeleka hata washabiki hamsini wafikie ubalozini na mikeka yao
Uongozi wa Simba SC umetoa taarifa kuhusu mwenendo ya klabu hiyo kwa sasa kufuatia kutokea mgawanyiko kwa mashabiki na wanachama wa klabu hiyo wengine wakisapoti uongozi wa klabu hiyo kuingia...
Meridianbet ni kampuni ambayo ilijipatia umaarufu mkubwa sana na kuwa na followers wengi wanaobet kwao,wakabweteka huduma zao mbovu ukienda kwenye maduka yao,ukiwin kuwithdraw tabu ukienda dukani...
Siku moja baada ya Simba kutiliana saini mkataba wa udhamini na kampuni ya SportPesa, mdau wa klabu hiyo Mohammed Dewji ‘MO’ anataka kulipwa kiasi cha shilingi bilioni 1.4 za Tanzania kutokana na...
Uteuzi wa Dr Mwakyembe kwenye wizara ya michezo , hii wizara inayohitaji sana ushirikiano wa wadau mbali mbali ili kuchangia na kusukuma gurudumu la michezo mbele haukuwa sahihi.
Uchunguzi wangu...
Ingawa mimi si mwanachama wa Yanga,ni mshabiki wa Yanga. Natoa ushauri kwa Klabu hiyo. Ni ushauri wa tahadhali.
Yanga ipambane ishinde mechi zote mbili zilizosalia. Alama tatu zinazobishaniwa na...
MASHABIKI wa Yanga jana waliendeleza vituko na mbwembwe za kuutafuta ubingwa, baada ya kwenda Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam, wakati Yanga wakicheza dhidi ya Mbeya City, wakiwa na bakuli la...
Ametutoka akiwa na miaka 79. Pole Paul
Fassou Antoine Pogba passed away on Friday aged 79 after battling illness
In March, Paul Pogba posted Instagram photo of his father with a birthday cake...
Ni maajabu sana Mo Dewji alikuwa na nia ya kudhamini Simba sc ila serikali ikaingilia kati na kuleta zengwe,sasa sport pesa imekuja na udhamini wa mil 888 kwa mwaka mumewaachia bila kutuambia...
Ni vema huyu Kocha akapata maono ya kufundisha kwenye ligi za maana ili kukuza uwezo wake , kuendelea kufundisha soka kwenye ligi inayofanana na picha ya kihindi ni kujimaliza .
Picha ya kihindi...
Match loaalding
Yanga fc vs Mbeya City
Uwanja:Mkapa Stadium
Time:10:00pm
Joto:25c
Humidity:normal
Rainfall:no,70%
Nakuletea updates LiVe
Kiingilio:
Mabanda umiza: 500Tsh
Bar:Soda au any drinks...
Simba sc imekubari kuthaminiwa kwa mil 888 kwa mwaka pesa hizi ni ndogo sana ni tamaa tu ya viongozi wa Simba sc,naipongeza Yanga isikubari uzamini mdogo kama huu wa mil 888 kwa mwaka pesa ambayo...
Jana wakati Simba wanasaini mkataba wa Udhamini na SportPesa nimemuona Haji Manara akifanya kazi ya U-AfisaHabari na Mawasiliano.
Je ile adhabu aliyopewa ya kufungiwa kutokujihusisha na masuala ya...
Ni mpambano wa Ligi kuu Vodacom... mpambano ndio umeanza dak ya 6....
======
UPDATES
======
Dk 1, Yanga imeanza kwa kasi ikiwa imepania kufunga bao la mapema
Dk 4, krosi nzuri ya Niyonzima...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.