Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Jana usiku ulikuwa mchungu kwa jamaa mmoja aliyekuwa katika chumba cha kuchezeshea kamari "Betting"eneo la Magomeni kagera. Akiwa anafuatilia mpambano kati ya Sevilla vs Real Madrid aliweka...
2 Reactions
13 Replies
4K Views
Kiungo mshambuliaji wa zamani wa klabu ya Al Ahly na Misri, Mohamed Aboutrika ameongezwa kwenye orodha ya magaidi nchini Misri kufuatia kutuhumiwa kuwa na uhusiano na kikundi cha Muslim...
1 Reactions
13 Replies
3K Views
Wadau wa Msimbazi vipi tena..... mbona kimya?? ==== Mpira ni mapumziko; Mtibwa 0, Simba 0 Kipindi cha pili mpira bado ni bila kwa bila Mpira umekwisha; Mtibwa 0, Simba 0
0 Reactions
77 Replies
7K Views
Naombeni tutajiane wachezaji wa kibongo wanao ongoza kwa pesa ndevu
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari wadau?Kwa siku kadhaa sasa nimekuwa nikifatilia Kwa ukaribu mechi za mashindano ya soka ya kombe la afrika maarufu Kwa jina la Afcon yanayoendelea huko Gabon,nilichokigundua mpaka sasa na...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Wadau wenzangu wapenda michezo wenzangu ukweli nimemiss sana maneno hayo. Hebu nipeni vionjo vyenu na kumbukumbu zenu juu ya hizo sentesi.
0 Reactions
2 Replies
693 Views
TFF nadhani mnajua kuwa Mungu wa Watanzania anawaona. Tumefika hapa baada ya Mpira kutushinda kabisa. Sasa tunatoa Bendera kwa wanaokwenda Kuburudisha na sio wanamichezo tena........ Ngashindwa...
7 Reactions
154 Replies
18K Views
Wakuu kama kichwa kinavyojieleza hapo juu Tukio lililoniuma na kuona soccer ni ushenz ni kitendo cha asamoah gyan wa ghana kukosa penalty dhidi ya uruguay Ardhi yetu wa Afrika Mpira umebaki dk...
1 Reactions
21 Replies
3K Views
Shirikisho la Kimataifa la mpira wa Miguu (FIFA) limemteua Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi kuwa Mjumbe wa Kamati ya Maendeleo ya soka ya FIFA kwa miaka minne ijayo. Uteuzi...
0 Reactions
1 Replies
885 Views
Kuna kamchezo kaibeba simba ili wabebe ligi kuu maana ukifuatilalia toka huu mzunguko uanze kila mechi lazima aanze yanga alafu ndiyo simba afuatie kuna agenda gani inaendelea hapo?
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Kocha mkongwe, Luis Van Gaal amestaafu rasmi kazi hiyo kwa sababu za kifamilia. Kocha huyu mwenye historia na rekodi kadha wa kadha. - Katika maisha yake ya soka amewahi kuzinoa Klabu za Ajax...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Amekuwa ndiye mchezaji mkongwe zaidi kucheza katika michuano hiyo ( miaka 44 ) , mara baada ya kuchukua nafasi ya kipa no 1 aliyeumia . Mungu mpe maisha marefu ili aendelee kufundisha vijana .
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Rais wa zamani wa Shirikisho la Soka la Tanzania(TFF) Leodger Tenga ni miongoni mwa watu watatu wanaowania uongozi kwenye Shirikisho la Soka la Kimataifa(Fifa). Tenga ambaye amewahi kuwa...
3 Reactions
7 Replies
1K Views
Mechi ya Yanga na majimaji ndo inaanza hapa.. Tuwe pamoja kwa updates Dakika ya kwanza: Mchezo umeanza. Dakika ya 2: Yanga wanafanya shambulizi kali langoni mwa Majimaji, Amiss Tambwe anaingia...
1 Reactions
25 Replies
4K Views
Jamani tunaofuatilia michuano ya AFCON inayokufanyika kule nchini gabon tuwe tukijadili mienendo ya mechi katika uzi huu.... Mimi binafsi nimejikuta navaa uzalendo kwa zile nchi za kusini mwa...
1 Reactions
1 Replies
489 Views
Moja ya mechi ya Afcon iliyochezwa leo ilikuwa ni Algeria iiyosheheni ma pro wengi dhidi ya Zimbambwe na matokeo yalikuwa sare ya mabao 2-2. Zimbambwe ni moja ya nchi yenye uchumi mbovu...
2 Reactions
14 Replies
2K Views
Habari zenu wadau wa sports! Uwanja wa taifa ni moja ya kiwanja cha kisasa na chenye hadhi ya kimataifa na katika viwanja bora barani Africa na kipo katika chati nzuri na za juu. Uwanja huu...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Nimetizama news France 24 wakimuonesha Mtanzania akivishwa medal baada ya kushinda mbio huko India but sikufanikiwa kufahamu jina lake na mbio za umbali gani nimejaribu kugoogle sijapata mafanikio...
3 Reactions
91 Replies
11K Views
Back
Top Bottom