Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Nimeamini ukiona unachukiwa sana jua wewe ni tishio kwao maana hawapendi kabisa wewe unavyowatesa na kuwakonga myoyo yao!!! Messi kastaafu baada ya kukosa penalty muhimu kwa timu ya taifa lake...
13 Reactions
116 Replies
12K Views
Walidai tutaona AFCOM kupitia ZBC2. Jana wameonyesha mechi ya ufunguzi kwa muda wakatoweka hewani mpaka sasa. Biashara hizi zinahitaji kukidhi mahitaji ya wateja na kutoa taarifa sahihi. Binafsi...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Naam! ni nusu fainali, haijalishi unacheza na nani. ilikuwa ni lazima mkutane na Yanga SC. Njia pekee ya kumkwepa Yanga SC ni kujihakikishia mnatoka hatua ya makundi mkiwaacha waganda na aidha...
4 Reactions
44 Replies
5K Views
Ndani ya saa 24 yatatoka Majibu ya Rufaa iliyokatwa na Mabingwa wa kihistoria wa LigiKuu Tanzania bara yaani Dar es Salaam Young Africans SC. Kamati hiyo ndiyo yenyejukumu la kuamua kama Yanga...
7 Reactions
262 Replies
21K Views
Alianza kwa kasi ya mbwembwe ndani ya klabu ya Simba,hakujua kuwa kuna wale waliomtangulia walianza na mbwembwe na kushindwa.... Akitokea timu ya Mtibwa Sugar, katika mechi 13 za awali Ligi Kuu...
0 Reactions
42 Replies
9K Views
Tunasajili hili kufurahisha wanachama sau tunasijili ili kukidhi mahitaji ya timu? ======== MSHAMBULIAJI wa Simba, Frederick Blagnon ameondoka Dar es Salaam leo kwenda Oman kupitia kwao Ivory...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Habari zenu wadau wa michezo haswa wana mtwara mashabiki wa ndanda fc niwapongeze kwa ubora wa timu yenu iliyouonyesha jana tarehe 15. 01 huku ushirombo na kuibuka na ushindi wa bao 1-0 , Kupitia...
1 Reactions
0 Replies
896 Views
adui mwombee njaa... jumapili ya leo naziombea man united na man city zifungwe na zilegee... #team arsenal...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Mtangazaji:kocha cheche hongera sn cheche: asante nashukuru Mtangazaji:unajisikiaje kuiongoza azam ktk mafanikio aya? cheche: kwakwel ni fahari kubwa kwangu na kwa timu yangu ya azam...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Pogba mchezaji aliyenunuliwa kwa bei Kali paund million 100 ni sawa na billion 200 Tsh na zaidi,Mimi kwa mtazamo naona kichefuchefu hata kimbia yake utafikiri hakunyonya maziwa,sasa Leo kaamua...
0 Reactions
2 Replies
911 Views
Wadau hvi wapi naweza pata fitness centre jirani na sayansi kijitonyama ukitoa ile ya oilcom
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nimekuwa nikiangalia mahojiano ya manahodha wa timu zetu za mpira wa miguu wakihojiwa baada mechi, karibia wote walioshindwa au kutoka sare utawasikia wakisema "Kwanza namshukuru Mungu, mpira wa...
0 Reactions
0 Replies
542 Views
Wakuu kama mnavyokumbuka jana kwa taaaabu sana Azam FC waliishinda Simba SC na kuchukua kombe la Mapinduzi Sasa tujadili yaliyojiri wakati wa mashindano.Mimi ningependa kujua kama kuna timu...
3 Reactions
55 Replies
6K Views
Hakuna shabiki au wapenzi wa National Football League? Nasoma Yahoo kuwa playoffs zinaendelea na humu kimyaaa! Au ni macho yangu tu?
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Jamani nimekuwa nikifuatilia mashindano ya Afcon mara nyingi hufanyikia Gaboni.sababu hasa ni nini mbona miundombinu yao kama viwanja ni ya kawaida?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Naomba kujua kama kuna tv itaonesha mashindano haya.ITV Nawakumbuka zama zile mlipokuwa ITV KWELIKWELI KWENYE MICHEZO
0 Reactions
29 Replies
4K Views
Naangalia hii mechi ya Gabon vs Guinea bissau. Siamini kama Taifa stars ni mbovu zaidi ya hii Guinea bisau. Sijui hawa jamaa waliqualify vipi?
1 Reactions
10 Replies
2K Views
kumekuwa na threads za kuelemea upande mmoja na magroup ya whatsapp. lakini nimewaza zaidi ni bora kama kutakuwa na group lenye kuwakutanisha wapenzi na mashabiki wa Simba na Yanga. hapa tutapata...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
1 Reactions
47 Replies
11K Views
Back
Top Bottom