Niliona mapema kuwa Lwandamina si mkaaji sana Yanga kutokana na mambo kadhaa, likiwepo kuwa ambalo halijui ni kuwa kuna siasa za mpira na pia yeye ana kiburi au majidai fulani tofaut ya Pluijm...
Kitendo cha Diamond kuchagulia kutumbuiza AFCON ni cha kupongezwa sana ila hakiachi tusifanye tafakuri jadidi
Kwamba Mtanzania amefuzu kwenda kutumbuiza huku TIMU YA TAIFA IKISHINDWA KUFUZU...
Wakuu habari za leo,
Napenda kuiweka hii hoja mezani ili tuishauri shirika la Michezo Tanzania. Inashangaza sana uwanja wa mpira wa Zanzibar wa Amani ndio huo unaotumiwa kwa gwaride na shughuli...
Kunguru kumyea binadamu sio kujua kulenga shabaha bali ni bahati mbaya tu, Yanga ilifungwa kwa bahati mbaya tu sio ufundi wa Simba na Azam. Hata hivyo Plujin ni bora kuliko Lwandamina, over!!!
Wafalme wa Kandanda Tanzania Bara na wawakilishi wa Tanzania kwenye mashindano ya Club bingwa Africa jana walitolewa katika hatua ya nusu fainali baada ya kufungwa na Mahasimu wao Simba kwa penalt...
Kombe la Mfalme Spain, Atl Biblao Vs Barcelona kipindi cha kwanza ndo kimeisha Barcelona yupo nyuma kwa Magoli mawili ya Biblao.
Japo Biblao anamsubua Barca mechi nyingi wanazokutana ila leo...
KLABU Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati, Azam FC, mchana huu imemtangaza, Aristica Cioaba, kuwa Kocha Mkuu wa kikosi hicho.
Cioaba, 45, anakuja Azam FC kurithi mikoba ya Mhispania Zeben...
A BE CHE hizi ni za kombe la mwaka huu tu.. nazo ni kama ifuatavyo;
A:Timu iliyofanya vibaya katika michuano hii [Iliyoaibisha timu zinazoshiriki VPL]
1. Yanga
Imekua ya pili katika kundi lake...
Sio kwa kipigo hiki 4-0 jamani kwel au ndio mwaka mpya,....Sijui nitaweka wapi uso wangu..... Nahama TIMU jaman sio kwa aibu hii Yanga .....Azam mmetumwa na Simba Mahasimu
Wadau toka amekuja huyu kocha Lwandamina naona kiwango cha klabu yetu ya Yanga kinashuka kwa kasi ya ajabu sana... Yaani tumekua Yanga Mdebwedo yani sisi wakupigwa Goli nne na Azam... Naomba...
James delivered on a promise from two years ago to bring a championship to his native northeast Ohio, and he and the Cavs became the first team to rally from a 3-1 finals deficit by beating the...
Soka ni moja kati ya michezo yenye kutoa matokeo ya kushangaza sana sometimes.
Achana na matokeo yaliyowahi kuishangaza Dunia kama Brazil kula wiki (7) na mengineyo,michuano ya Kombe la Mapinduzi...
Huo ni mtazamo ambao punde si punde utazaa uhalisia
Hii so betting hivyo tunapojadili tuweke mapenz pemben
Huu mtazamo utakuwa halisia kwa kuwa so kweli yanga wamedrop kiwango
Kuelekea 'big match' ya michuano ya kombe la mapinduzi katika hatua ya nusu fainali itakayofanyika kesho Jumanne Januari 10, 2017, uchambuzi huu unaonesha kuwa itakuwa ni ngumu sana Yanga kuepuka...
Ikiwa leo Kombe La Mapinduzi ndiyo linakata utepe.. namleta kwenu mbabe wa kombe hili [bingwa wa kihistoria wa Kombe hili].. Simba SC.
Kombe hili mpaka sasa tangu limeanzishwa lina miaka 10...
Shirikisho la mpira wa miguu duniani(FIFA) limeamua rasmi kuongeza timu shiriki za michuano ya Kombe la Dunia kutoka 32 za sasa mpaka 48.
- Aidha mabadiliko haya yanatarajiwa kuanza kutekelezwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.