Yanga 'yalambwa 4G' Kombe la Mapinduzi
Sunday , 8th Jan , 2017
Timu ya Yanga leo imeangukia pua baada ya kulambwa mara nne na wana lambalamba Azam FC katika michuano ya Kombe la Mapinduzi...
Kuendelea kucheza kwa kiwango cha chini kwenye mashindano ya Kombe la Mapinduzi yanayoendela Zanzibar kwa mabingwa zamani wa mashindano hayo kumeibua mambo mengi kutoka kwa baadhi ya wadau wa...
Salaam wakuu,
Karibu tena katika chambuzi za mchezo huu adhimu wa Soka. Na leo, Tutaizungumzia Timu ya soka ya taifa ya Tanzania inayoenda kwa jina la Taifa Stars.
Kama umekua ni mfuatiliaji...
Wakuu inasemekana kwenye haya mambo ya simba na yanga kuna kupigana misumari.
Sasa nimeangalia kiwango cha hivi karibuni cha huyu mchezaji wetu kiukweli nimestaajabu ! Si yule Kichuya wa kona -...
Mwanasoka kutoka Nigeria, Mikel John Obi(29) amejiunga rasmi na klabu ya Tianjin TEDA ya nchini China akitokea klabu ya Chelsea ya Uingereza ambapo katika klabu hiyo mpya atalipwa kiasi cha Pauni...
Yule aliyekuwa msemaji wa club ile yenye makazi yake katika eneo maarufu mitaa ya jangwani inayosifika kuwa na boti za mwendo kasi wa hali ya juu hasa wakati wa mafuriko, amejitokeza hadharani...
Mwaka huu Man of the Match anapewa Juice na mwaka jana alipewa kisimbuzi kwenye michuano Ya Mapinduzi inayoendelea.
Hili Limekeaje Ndo michuano Imekua au inarudi Nyuma?
Manji amewekeza hela zake nyingi Yanga, kama tunavyojua hakuna mfanyabiashara (Manji akiwa mmoja wapo) wanatengeneza hasara; hawezi kufanya kitu kisicho na faida.
Tumeshuhudia Manji akitoa hela...
A Premiership footballer was sent £5 by a soldier as thanks for helping him fix his car.
Alex Bruce, 32, a defender at Hull City, stopped to help Jay Twining open his bonnet after he was having...
Leo,katika jiji la Abuja nchini Nigeria atatangazwa mchezaji bora wa soka wa Afrika. Atatangazwa mchezaji bora kwa wachezaji wa nje ya Afrika na yule anayechezea ligi za ndani za Afrika
Katika...
Alipokuja huyo golikipa wa Ghana tuliambiwa anachezea timu ya taifa na aliwazuia Brazil kombe la dunia sasa nawauliza mbona hajaenda kwenye Afcon? Au tulipigwa changa la macho hao ndio viongozi...
Tottenham imefutilia mbali ndoto ya Chelsea kutaka kuweka historia katika ligi kuu ya England kwa kushinda michezo 14 baada ya vinara hao kuchakazwa 2-0 White Hart Lane.
Spurs wamekwaa mpaka...
Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein amesema endapo mwaka huu timu za Zanzibar zisipochukua ubingwa wa Kombe la Mapinduzi, basi itakuwa mwisho wake kuhudhuria fainali za mashindano hayo
Rais...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.