Serikali imevipiga marufuku vilabu vya soka vya Yanga SC, Azam FC na Simba SC kuwatumia wachezaji wao wa kigeni mpaka hapo watakapokamilisha taratibu za uhamiaji.
Chanzo: ITV
Wachezaji Wenye Majina Makubwa kipindi cha Karibuni wamekua wakitimkia ligi kuu ya Uchina kwa Usajili wa pesa Nyingi mnoo mfano,Ramires,Demba Ba,Paulinho,Hulk...nk na pia kukiwa na tetesi za...
FULL TIME: JKT RUVU 0 - 3 YANGA
Dakika 90 + 4: Mwamuzi anamaliza mchezo, Yanga inatoka kifua mbele kwa kuwa na mabao 3-0. Licha ya mabao yaliyofungwa na Msuva lakini Niyonzima alikuwa na mchango...
Mshindi wa tuzo ya Mchezaji bora wa mwaka 2016 kujulikana leo huko Paris nchini Ufaransa.
Je, ni nani ataondoka na tuzo kati ya Lionel Messi, Cristiano Ronaldo au Antoine Griezmann.
Tuzo za...
Kama umepata bahati ya kucheki game ya leo dhidi ya JKT ruvu na pengine game ile ya kirafiki dhidi ya JKU utakuwa kwenye nafasi ya kumuelewa mwl Lwandamina.
Nawashauri mkiwa mnatazama game...
Pazia la ligi kuu linafunguliwa Leo katika viwanja mbalimbali. Hizi ndo mechi za Leo, nini maoni yako, utabiri na ujumbe.
Sat Aug 20th
Mtibwa Sugar vs Ruvu Shooting
Azam FC vs African Lyon...
Bandari ya Tanga imeibuka kuwa washindi wa Jumla wa Michezo ya Bandari kwa mwaka 2016 mara baada ya kuibuka washindi wa kwanza katika michezo mbalimbali ya kikapu, mpira wa pete, kuvuta kamba...
Hakuna asiyeujua wimbo wa Darasa unaoitwa Muziki,umekuwa maarufu sana namna ulivyopokelewa kila kona ya nchi yetu.
Sasa basi baada ya Yanga jana kuanza mzunguko wa pili kwa kishindo kwa kuichapa...
Ratiba ya mzunguko wa 2 Wa ligi kuu bara imetoka, haji manara kapigiwa simu na kituo maarufu cha mochezo cha redioni, kasema
"TFF wasipofanya mabadiliko ndani ya mwezi atatembea uchi"
ZIFUATAZO NI HASARA ZA KUBET
1. Unadumaa akili unashindwa kuwaza vitu vya maana vyenye kuleta pesa ya uhakika isiyo na mawazo.
2. Ni rahisi sana kupata magonjwa ya moyo ikiwemo presha, kwa wale...
Sijui aliyesema lakini ni maneno ya busara sana. Kasema nini aliyesema? Kasipo na wivu hapana mapenzi!!!
Mbona nasema haya? kila kukicha naangalia pandashuka za wasanii wa mji wangu wa Malindi...
Pambano la Cheka limeanza muda huu kupitia channel Star Sports 1 limengia kwenye raundi ya tatu. Cheka anajitahidi sana. Watu wamejaa sana mithili ya watazamaji wa Yanga na Simba. Tumpe sapoti.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.