Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Team ya Simba chini ya miaka 20 imefanikiwa kuchukua kombe baada ya kuifunga team ya Azam Fc kwa mikwaju ya penalty 5-3 kabla ya hapo team hizi zilitoka sare ya 2-2 mchezo uliochwzwa kwa dakika...
5 Reactions
12 Replies
2K Views
Mhe. Mbunge Esther N. Matiko (Tarime Mjini) akipokea Silver Medals kwa Mbio Mita 100, 200, 400, 800 na relay 400, ushindi wa pili Netball, Tug of War na ushindi wa Tatu Volleyball na mbio Relay...
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Nilikua kazini lkn nilikua Namibia kwa mbali tv screen mechi ile ikiendelea kweli Madrid walipata bao lakini depotivo walisawazisha na kuongeza goli ikawa 2-1, kutokea hapo refa ndio akazidi kuwa...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
MAAMUZI YA KAMATI YA TFF KUHUSU HASSAN KESSY Ifuatayo ni taarifa ya Kamati ya Katiba, Sheria na Hadhi za Wachezaji Baada ya kupitia mawasilisho ya pande zote kwa njia ya mahojiano, na vielelezo...
1 Reactions
77 Replies
8K Views
Wadau wa kandanda la Tanzania, naomba tujadili iwapo kitendo cha Yanga kumchezesha mchezaji halali wa Simba Hassan Kessy katika mechi za Ligi Kuu kilikuwa Halali au sio Halali? Na ni nani...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Kikosi cha magalasa waliopita simba ni 1. Angban 2. Derick Walulya 3. Sam Keita 4. Lino musombo 5. Gilbet Kaze 6. Musa Made 7. Papa Niang 8. Kanu Mbiyavanga 9. Dany Sserenkuma 10. Papa Ndaw 11...
1 Reactions
30 Replies
4K Views
Shirikisho la Soka Tanzania TFF limeiamuru klabu ya Yanga kuilipa Simba shilingi milioni 50 kama fidia ya kukiuka utaratibu wa usajili wa mchezaji Hassan Ramadhani Kessy pamoja na kuitoza faini ya...
0 Reactions
45 Replies
7K Views
Habari ndio hiyo, nikiripoti kutoka dodoma, Jogi
0 Reactions
2 Replies
792 Views
Sijui watoto wetu kule Kwamtogole lini watapata nafasi kama hizi, wengi wana vipaji lakini haviendelezwi.
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Muda sio mrefu pambano la kugombea mkanda wa dunia uzito wa Heavyweight kati ya Muingereza Antony Joshua ambaye ni bingwa mtetezi dhidi ya Mmarekani Eric Molina litaanza. Tujumuikeni hapa...
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Haya wandugu, Kwa wale mashabiki wa Messi (au hata wale wa Ronaldo) hizi hapa dakika 45 zilizokusanywa pamoja toka mechi mbalimbali ambapo Messi anaonekana kukabiliana vilivyo na viatu, vikumbo na...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Juventus 2 Dinamo Zagreb 0 Barcelona 4 Monglebach 0 PSG 2 Ludogolets 2 Bayern Munchen 1 Atletico madrid 0 Fc Porto 5 Leicester city 0 Je Matokeo Haya ni Kielelezo tosha cha kujua ligi gani bora...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Jinsi sakata la mchezaji wa zamani wa Simba Hassan Ramadhan Kessy kujiunga na Yanga lilivyoshughulikiwa na inayoitwa Kamati ya Sheria na Haki za wachezaji inaonyesha ni namna gani safari ya...
1 Reactions
19 Replies
1K Views
Mod Haya ni malalamiko ya wananchi usitoe huu uzi. Nimefika hapa uwanja wa Taifa kushuhudia mechi kati ya Yanga na JKU, Cha ajabu watu wamefika kwa wingi tiketi watu wamenunua kupitia Selcom...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Uliingiwa kwa maagizo ya viongozi wa juu serikali iliyopita na kuliingizia taifa deni la zaidi ya sh bilioni tano.source Mwananchi
0 Reactions
0 Replies
762 Views
Waandishi wengi hawatoi taarfa kuhusiana na michezo za vijana hawa,kuongelea ata vipaji,namna ya kuwaendeleza,waandishi wa michezo ni wakwanza kulalamika kuwa timu zetu haziwekezi kwenye soka la...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kama mwana michezo na mtu niliye guswa sana na kifo cha mchezaji chipukizi wa mbao fc nasahuri klabu za simba na yanga zicheze friend match na mapato yake japo asilimia 60 yatumike kama rambi...
0 Reactions
3 Replies
803 Views
Hatimayr yule winga wa zamani wa timu ya Dar es salaam Young africa aliyekuwa akikipiga nchini south Africa amejiunga rasmi na timu ya mbeya city hivyo tegemea kumuona ktk mzunguko wa pili hii ni...
1 Reactions
38 Replies
5K Views
Jana baada ya Game ya Mancity na Chelsea kwisha na Mancity kufungwa goli 3 kwa 1 kocha Pep Guardiola wa Mancity hakumpa mkono Fabregas sijui alikataa Au hakumuona Ila Video inaonyesha Fabregas...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Je upo mbeya na unajiamini wewe ni fifa 16 champion,,,,, Jumamosi ya tarehe 17 december itakua ni siku yako kujidhihirisha kuwa wewe ni mbabe.... KUJIUNGA Kiingilio kitakua 5000 tu na zoezi la...
0 Reactions
2 Replies
772 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…