Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Uongozi wa Yanga SC umemtambulisha rasmi kocha mpya wa timu hiyo kutoka nchini Zambia George Lwandamina ambaye anajiunga kwenye timu hiyo akichukua nafasi ya kocha Hans Van Pluijim ambaye atakuwa...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Kwa taarifa yako Manara ni kua kutaka mechi ya Yanga na Simba ichezeshwe na huyo refa wa nje umechemka kwani makomandoo wakitaka wanapanda nae ndege na kukaa pembeni yake kwenye ndege na kumaliza...
0 Reactions
1 Replies
915 Views
Kwa taarifa yako Manara ni kua kutaka mechi ya Yanga na Simba ichezeshwe na huyo refa wa nje umechemka kwani makomandoo wakitaka wanapanda nae ndege na kukaa pembeni yake kwenye ndege na kumaliza...
0 Reactions
0 Replies
829 Views
Habari wana JF na wapenda michezo!! Hivi umewahi kujaribu kukinga maji kwenye tenga?? Au labda kutwanga maji kwenye kinu?? Haya ni matendo ya kishujaa sana yanayohitaji moyo wa ujasiri...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kwa mujibu wa taarifa kutoka Azam ni kwamba Hernandez amewaambia mabosi wa timu hiyo kuwa anataka kuwa na kikosi ambacho kitatisha KOCHA Mhispanyola wa Azam, Zeben Hernandez amechoshwa na...
3 Reactions
23 Replies
3K Views
Huyuu katibu wa BTM bomu kabisa jana kashangaza watu Kwanza anadai watu waachane na Simba na Yanga ati ni nembo za Taifa. Mbona amkuingilia kati Stand United ni nembo ya TBL? Mnashangaza...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
UINGEREZA: Aliyewahi kuwa nahodha wa timu ya soka ya Liverpool na timu ya Taifa ya Uingereza, Steven Gerrard atangaza ramsi kustaafu soka. Baada ya kucheza kwa miaka 14 mfululizo. Aidha nyota...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Sina shaka kwamba kwa mwendo huu wa wababe BAYERN huyu kocha hana maisha , hii ni timu iliyozoea ushindi na kusomwa kwenye namba za juu sana . Kipigo cha mwishoni mwa wiki kutoka kwa Borrusia...
2 Reactions
13 Replies
1K Views
Kati ya Wachezaji hawa Watatu ( 3 ) nitakaowaorodhesha hapa nitajie mmoja ( 1 )tu ambaye unajua ni mahiri, fundi na mtaalam wa ukweli kwa kucheza ' Soka ' : Deco De Souza kutoka nchini Portugal...
2 Reactions
109 Replies
7K Views
Wachezaji Waliochaguliwa kuunda timu Ya Wiki Kombe la Mabingwa Ulaya baada ya Michezo ya J4 na J5 na Vilabu wanavyotoka... 1.Kipa Hugo Lloris(totenham) 2.Mabeki Nelson Semedo(Benfica) Raphael...
0 Reactions
0 Replies
834 Views
Muendesha Mashtaka huko Hispania ametaka Mwanasoma mahiri wa Klabu ya Barcelona afungwe miaka miwili Jela na alipe faini ya Shilingi Bilioni 21.8 baada ya uhamisho wake kutoka Klabu ya soka ya...
0 Reactions
3 Replies
782 Views
Navyojua Azam mna mitambo mizuri, mikubwa na ya kisasa sana ila mnavyorusha mpira kule kaitaba mnaboa sana. Kamera haitembezwi kiwanja kizima, mda wote kamera iko na mpira masaa yote, hakuna kuona...
0 Reactions
2 Replies
687 Views
nimebeti mechi za wiki nzima hizo ha po ushauri kwa yeye ajuae mpira vizuri jamani nikishinda tuna gawana hata kidogo tu. 1: Borussia Dortmund - Legia Warszawa 1.09 Borussia Dortmund Win...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Naomba kujuzwa nisijepata dhambi kwa kumfikiria mtu vibaya ni bora kuuliza,huyu bwana ni msemaji wa timu ya simba nimekua nikifuatilia sana mahojiano yake na vyombo vya habari katika vipindi vya...
2 Reactions
31 Replies
3K Views
Kuna mtu jana aliapa kuwa endapo Ronaldo atafunga hat-trick kwenye Derby ya Madrid ataacha kushabikia Barcelona na ataunfollow wachezaji wote wa Barcelona Instagram sasa ivi ameumbuka ukimuuliza...
2 Reactions
2 Replies
644 Views
Hatimae wakaanga sumu roho lazima iwaume saana kwa habari hii njema kwa fans WA the Gunners
1 Reactions
3 Replies
890 Views
Kwa kifupi nimeanza kuangalia soka la majuu kwenye kuanzia mwaka 1994, na kwa kipindi hicho nimefanikiwa kuwaona nyota kadhaa wakichipukia hadi kustaafu mpira, kifuatacho ni kikosi changu bora...
3 Reactions
41 Replies
4K Views
Club ya Ruvu Shooting imeitaka TFF kwa kushirikiana na Mamlaka husika kuchunguza uraia wa kiungo mchezeshaji wa Mabingwa watetezi Dar Young Africans Haruna Hakizimana Fadhili Niyonzima wakidai...
5 Reactions
19 Replies
5K Views
ALIYEWAHI kuwa Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Muda ya Yanga, Isaac Shekiondo ‘Clinton’ amefariki dunia usiku wa kuamkia leo. Taarifa ya familia imesema kwamba, marehemu amefariki baada ya kuugua...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…