Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

YANGA 3-0 AFRICAN LYON 'LIVE' FULL TIME KUTOKA UWANJA WA TAIFA hongereni watani zetu kwa ushindi MNONO TAARIFA ZOTE KWA HISANI YA SALEH JEMBE BLOG FULL TIME! Mwamuzi anapuliza kipenga...
3 Reactions
63 Replies
15K Views
Kuna tetesi kwamba mkutano mkubwa sana wa kukutanisha wawekezaji watakaowekeza katika yanga siku za karibuni. Kuna aliyesikia hiyo?!
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Rais wa Zimbabwe Robert Mugabe amemwagiza mkuu wa Polisi wan chi hiyo Augustine Chihuri kuwakamata wachezaji wote wa timu iliyokwenda inchini Brazil kwenye mashindano ya Olympic mara tu...
3 Reactions
14 Replies
2K Views
Habarini za asubuhi, Ningependa niongelee hawa wanamazoezi wa efm wakiongozwa na na mtangazaji Maulid kitenge. Wamekuwa na kawaida ya kufanya mazoezi ya kukimbia maeneo ya mitaa ya Masaki kama...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
LIVE VIDEO: UPDATES: Mpira umeanza dak ya 2 sasa Kona ya kwanza kwa simba inaokolewa na JKT Ruvu. Mpira umetulia wanacheza kwa kuonana Simba wakionesha kuwa na kasi na pia JKT Ruvu wakiwa...
1 Reactions
46 Replies
9K Views
Cristiano Ronaldo amewashinda wachezaji Antoine Griezman na Gareth Bale na kutwaa tuzo ya mchezaji bora wa Ulaya kwa upande wa wanaume. Ushindi huu umetokana na mafanikio yake msimu uliokwisha...
4 Reactions
68 Replies
8K Views
Binafsi nimekuwa mfuatiliaji mkubwa sana wa ligi ya Ubelgiji na nimebahatika kuiangalia uwanjani mara kadha. Siku zote nikiangalia naangalia timu ya SAMATA hasa anavyoenea katika nafasi yake...
7 Reactions
52 Replies
8K Views
UEFA YAFANYA MABADILIKO CHAMPIONS LEAGUE August 26, 2016 Shirikisho la soka la Ulaya UEFA limetangaza mabadiliko katika michuano ya UEFA Champions League kuanzia msimu ujao 2017-18. Kuanzia...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Huyu jamaa sasa mpaka nataman aje man u... Dakika ya kwanza tu kaweka...[emoji16][emoji16][emoji16] Full Time: KRC Genk 2 - Lokomotiva Zagreb 0 Magoli yamefungwa na Samatta dakika ya 2 na...
1 Reactions
19 Replies
4K Views
Ratiba kamaili ya hatua ya makundi ya Uefa champions League imetoka. Timu za Uingereza zinaonekana kuwa na ahueni kwenye hatua hii kutokana na kutokuwa kwenye makundi ya vifo huku Leicester wakiwa...
3 Reactions
25 Replies
14K Views
Monday, September 24, 2012MANJI KUJENGA UWANJA WA KISASA JANGWANI, UTAKUWA BAAB KUBWA TANZANIA NZIMA HAKUNA Uwanja mpya wa Kaunda utakavyokuwa Na Mahmoud Zubeiry KLABU ya Yanga ipo katika...
2 Reactions
78 Replies
19K Views
Kocha wa Manchester United Jose Mourinho alipokuwa akiongea na waandishi amesema kuwa hafikirii na ni vigumu sana Bastian kupata nafasi ya kucheza msimu huu, sijasema haiwezekani , nimesema ni...
0 Reactions
0 Replies
897 Views
The complete draw: Group A: Manchester United, Fenerbahce, Feyenoord, Zorya Luhansk Group B: Olympiacos, Apoel Nicosia, Young Boys, Astana Group C: Anderlecht, St Etienne, Mainz, Qabala Group...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Katibu Mkuu wa timu bora kwa sasa katika ukanda wa CECAFA, Simba SC, Ndg. Patrick Kahemele amefunguka mipango mbalimbali ya Mnyama katika msimu huu wa 2016/2017. 1. Ukusanyaji wa michango...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Manchester City have signed goalkeeper Claudio Bravo from Barcelona for 18m euros (£15.4m). The fee for the 33-year-old Chile international could rise with £1.7m of add-ons, say the Spanish club...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Manchester United Fan's Tukutane humu Naona ligi Hii yetu #GGMU
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Ile tabia ya serikali kuunga mkono michezo pale tu wanapoona dalili za mafanikio imedhihirika hapo jana baada ya waziri nape kujitokeza na kuahidi kuipeleka kambi nchi za nje. Kumbuka timu hii...
5 Reactions
39 Replies
3K Views
Kwanza natoa pongezi kubwa kwa timu ya yanga kwa kutuwakkilisha katika mashindano hayo na pia wa kufa kishujaa. TP Wazembe walishinda kwa taaaaaabu sana jana vigoli 3 tu dhidi ya Gugoli Gumoja gwa...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Wasalaam wana jamvi! Kama mjuavyo Mzee Akilimali ndiye anaye jua yanga ilipo. Baada ya baraza la wazee wa Yanga kumsimamisha mzee Akilimali uanachama huyu mzee aliona akae kimya bila kusema...
5 Reactions
50 Replies
5K Views
Back
Top Bottom