Mnyama leo kawatandika virungu 6-0 timu ya Polisi Morogoro, inayoshiriki Ligi Daraja la Kwanza.. Na hii ni katika mechi yake ya kwanza ya kirafiki mkoani hapa Morogoro, kwa ajili ya maandalizi ya...
Habari wanajf, nimekuwa nikifuatilia sakata la kushindwa kwa Yanga kuendeleza uwanja unaodaiwa kuwa wao maeneo ya Jangwani unaopakana na jengo lao.
Katika siku za hivi karibuni, mwenyekiti wa...
1. "Nitatenga bajeti ya Shilingi Bilioni 5 kwa mwaka kwa ajili ya kuendesha timu iwapo mfumo wa uwekezaji ndani ya klabu hiyo tutaukubali siku ya Jumapili." - Mo Dewji
2. "Nitakuwa tayari...
ARGENTINA SEND DIEGO SIMEONE OFFICIAL OFFER
SIMEONE OFFICIAL OFFER
June 30, 2016 12:03 AM
Atletico Madrid President has confirmed the club has received an offer from the AFA for Diego Simeone El...
Taarifa kutoka ndani ya timu bora kabisa katika ukanda wa CECAFA Simba, zinadai Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), imeamua kutosaini mkataba wa kuendelea kuidhamini Simba.. Ikumbukwe mkataba huo...
Bilionea Mohamed Dewji maarufu kwa jina la Mo Enterprise alikuwa anaimiliki club ya mpira ya African Lyon ndiye alikuwa anaifadhiri ikashuka daraja akaisusa, wanajua wenyewe walivyo pigana...
Kauzu FC VS Temeke Market
Leo ndio kilele cha mashindano ya Sports Extra Ndondo Cup ambapo utapigwa mchezo wa fainali kati ya Kauzu FC dhidi ya Temeke Market ‘Temeke Derby’ kwenye uwanja wa...
Mpira umejawa na rekodi zake kuanzia ndani ya uwanja mpaka nje ya uwanja
TUBADIRISHANE PIA NA TUPEANE UELEWA KWENYE HISTORIA NA REKODI ZA MPIRA[emoji460] WA MIGUU UNAYOIJUA. Mimi naanza na hii...
Itakuwa ni kituko cha karne kuamini timu yenye wanachama hai zaidi ya 5000 na mashabiki wa kutosha zaidi ya milioni 10 ,yenye mali nyingi za kutosha (pamoja na kwamba hazithaminiki) yenye historia...
TIMU ya soka ya vijana chini ya miaka 17, Serengeti Boys, leo ina kibarua kigumu dhidi ya vijana wenzao wa Madagascar katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa yakiwa ni maandalizi yao kabla ya...
Picha ya kwanza Moody kabwe
Picha ya pili Yusuphu Manji
Timu ni yetu sote tushikamane kuipa sapotr kwa pamoja kwani furaha ni yetu sote
A) Moody kabwe
B) Manji
Nani unae mkubali zaidi humo??
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kesho Jumamosi Julai 30, 2016 anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye uzinduzi wa mashindano ya kuibua na kukuza vipaji vya mpira wa miguu kwenye Uwanja wa...
Iv simba viongozi ilionao ndo mambumbumbu au? Walimuacha Tambwe akiwa ametoka kuwa mfungaji bora sasa hivi wanajutia
Sasa wanamuacha Kiza kwa kejeli kibaa o kuwa walimuokota vijiweni!!! Jaman iv...
Hivi karibuni club ya Simba inatarajia kufanya mkutano wa club, moja ya ajenda ya kikao hicho ni kufanya maamuzi ya namna ya uendeshaji wa club ya Simba. Kuna baadhi ya wanachama wa club...
Timu ya Yanga inatarajia kurejea kwa mafungu ili kuepuka aibu ya kupoteza macho huko ugenini. Yanga ilifungwa bao 3 - 1 na timu ya vijana wa Ghana iitwayo Medeama.