Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Tuwe hapa pamoja kupeana updates. ========================= KIKOSI CHA STARS LEO : 1. Deogratius Munish 'Dida' 2.Juma Abdul 3. Mwinyi Haji 4. Aggrey Morris 5. Erasto Nyoni 6. Himid Mao 7. Thomas...
3 Reactions
214 Replies
20K Views
Iko wazi sasa kwamba nchi hii haina uwezo wala mikakati yoyote ya kuboresha timu yake ya Taifa , wala hakuna kiongozi yeyote ( wa soka wala wa kisiasa ) mwenye uchungu na anayeweza kuona aibu...
2 Reactions
13 Replies
1K Views
Chama cha soka nchini Argentina (AFA) kimetishia kuitoa timu yake ya taifa nje ya mashindano ya Copa America kutokana na serikali ya nchi hiyo kuingilia masuala ya soka. Argentina ni miongoni mwa...
0 Reactions
6 Replies
997 Views
MWENYEKITI wa Yanga, Yussuf Manji amechukua fomu za kutetea nafasi yake makao makuu ya klabu, Jangwani, Dar es Salaam leo na kudai kwamba kuna njama zinafanywa na baadhi ya watu ndani ya Baraza la...
1 Reactions
46 Replies
8K Views
Kocha mbishi kaweka Uyanga na Usimba .Shabalala yupo vizuri kuliko Haji.Matokeo yake kayapata leo. Ila tumefungwa wote japo ushauri uzingatiwe
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kuna taarifa za uhakika kuwa Taifa Stars itaonyeshwa duniani kote hapo kesho katika mechi yake dhidi ya Misri. Kwa walio nje ya Tanzania, Stars wataonyeshwa kupitia channel ya BeIn Sports both...
2 Reactions
45 Replies
4K Views
UNASHANGAA SAMATTA KUKOSA PENATI?? HAUJIULIZI PELE, MARADONA, SOCRATES, RONALDO, MESSI WAMEKOSA MARA NGAPI?? Na : Gasto Di Genaro Kuna jamaa yangu, Nilikuwa nimekaa nae karibu, wakati mechi...
1 Reactions
4 Replies
4K Views
WanaJF, Serikali kupitia wizara ya ardhi, nyumba na maendeleo ya makazi imemzawadia Mbwama Samatta kiwanja chenye ukubwa wa mita za mraba 1200 (Lowa Density) chenye thamani ya pesa za kitanzania...
5 Reactions
57 Replies
9K Views
Hawachangii chochote but ni vihelehele balaa.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wadau naomba kujua mechi kati ya Tanzania na Egypt ni chanel na decoder gani watakayorusha LIVE?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Embu muangalieni vizuri huyu jamaa.
0 Reactions
0 Replies
920 Views
Mwekiti wa kamati ya uchaguzi ya TFF Wakili Aloyce Komba ameamua kujitoa katika kuratibu na kusimamia mchakato wa uchaguzi wa klabu ya Yanga uliopangwa kufanyika tarehe 25 June 2016. Komba...
1 Reactions
12 Replies
3K Views
Yusuph Manji ambae ni mwenyekiti wa klabu ya Yanga, Leo amejitokeza kuwania nafasi hiyo baada ya muda wa kuongoza kuelekea tamati. Manji amechukua fomu pamoja na makamu mwenyekiti wa sasa, Clement...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Mwenyekiti wa kamati ya uchaguzi ya TFF Wakili Aloyce Komba ameamua kujitoa katika kuratibu na kusimamia mchakato wa uchaguzi wa klabu ya Yanga uliopangwa kufanyika tarehe 25 June 2016 na zaidi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mabingwa wa soka wa Tanzania Yanga wamepangiwa kundi A litakalokuwa na timu za TP Mazembe ya Congo, Medeama ya Ghana na Mo Bejaia ya Algeria. Kundi b litakuwa na timu za Etoile du sahel ya...
6 Reactions
101 Replies
16K Views
Bado sijaelewa vigezo vilivyotumika , kama kuna anayejua zaidi anifahamishe . Au ni majeruhi ? Maana kama ni kuhusiana na kiwango basi bila shaka huyu kocha atakuwa anaumwa uzee .
3 Reactions
45 Replies
4K Views
Fifa imesema aliyekua raisi wa fifa Sepp blatter pamoja na manaibu wake wawili walijipatia kiasi cha dollar million 80 isivyo halali.Huyu mzee alikua mwizi na ndio maana kila alipotaka kutolewa...
0 Reactions
0 Replies
484 Views
Ligi maarufu ila timu ya Taifa haieleweki shida ni wachezaji au ni kubweteka kwao kuwa na ligi inayoangaliwa sana duniani?
2 Reactions
12 Replies
1K Views
Nimekuona si mara moja ukipata lunch kwenye kihoteli cha wasomali mtaa wa kongo , kariakoo . Hiki kihoteli kisichokuwa hata na feni achilia mbali a/c si sawa kwa hadhi yako , hakuna haja ya wewe...
6 Reactions
58 Replies
5K Views
Back
Top Bottom