Jana mkuu wa wilaya ya Shinyanga mjini amevunja kile alichokiita ni uongozi wa club ya stand united, mkuu huyo wa wilaya alichukua uamuzi huo mara baada ya kuitisha kile yeye alichokiita mkutano...
Rais wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa), Gianni Infantino, ameipongeza timu ya soka Young Africans ya Dar es Salaam, kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara 2015/16.
Young...
Mabingwa mara 26 wa Ligi Kuu ya soka ya Vodacom Tanzania Bara, klabu ya soka ya Yanga ambayo Jumatano iliyopita walifanikiwa kuingia hatua ya Makundi ya Ligi ya Kombe la Shirikisho la CAF ( 8...
Klabu ya Yanga kupitia kwa mkuu wa kitengo cha habari na mawasiliano Jerry Muro, wamesema wako tayari kuisaidia Simba kulipa deni la Musoti ili klabu hiyo ya Msimbazi isishushwe daraja.
Muro...
Hayo yamesemwa na Mstahiki Meya wa Manispaa ya Kinondoni Mhe. Boniface Jacob wakati kufungwa kwa mashindano ya Umoja wa Michezo Sekondari Tanzania (UMISETA) kwa Wilaya ya Kinondoni yaliyofanyika...
Fus -rabat hawa ni waarabu wa morocco ni hatari sana kwa kugawa dozi.
Hatua ya 32 bora
Fus rabat 7 Sc villa(uganda) 0 goli zote zilifungwa nchini morroco
Hatua ya 16
Fus rabat 4 stade...
VIDEOS Video 10 kali kwa East Africa zilizotajwa na kituo cha TV cha Sound City cha Nigeria, watanzania 6 kwenye list By Rama Mwelondo TZA
onMay 21, 2016 COMMENTS
Jumamosi ya May 21 2016 stori...
Kama Zanzibar ni mwanachama wa shirikisho la mpira Afrika CAF, na inatambulika kwa vilabu vyake toka Zanzibar kushiriki mashindano yanayoandaliwa na CAF.
Kwa nini wachezaji toka Zanzinar ambao...
Changes in language aside, here are the other things that will be different about football from 1 June:
Law 1 - the field of play
Logos permitted on corner flags (previously banned).
Mix of...
Wakuu, bahati mbaya sikuirekodi ila wanautaratibu wa kurejea siku ya jumapili katika kipindi cha michezo mchana, na huku kila j2 TANESCO wanatukatia umeme mchana kutwa. Katika kipindi cha michezo...
Milan is one of the most successful clubs in the
world with 7 UEFA Champions league titles, making
it the second most successful in Europe in terms of
UEFA Champions trophies and 19 Serie A...
Back in the days hapa Tanzania, Nameless,Wahu,nNecessry noise,Prezzo ilkuwa shida,walibang na wengineo,
Siku hizi ukiongelea Kenyan music hapa Tanzania ni Sauti sol( damn i love these...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.