Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Mwanamuziki Nasibu Abdul maarufu Diamond Platnumz amekuwa ni msanii pekee kutoka ukanda wa Afrika Mashariki kutajwa katika orodha ya wasanii watakaowania tuzo za BET 2016. Tuzo za BET mwaka huu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mkoa wa Kagera umefanikiwa kuwa na uwanja mzuri wa mpira wa miguu,lakini unakabiliwa na matatizo ya viwanja vya michezo mingine.Hii inapelekea kufanya vibaya kwenye michezo na wanafunzi kukosa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Leo ndio leo Mtoto hatumwi sokoni katika jiji la BASEL mida ya saa 3:45 Usiku Liverpool vs Sevilla Europa League Final Niko nawe kukuletea Update KIUFUP: Liverpool ni ya 8 katika EPL na...
5 Reactions
159 Replies
11K Views
Kama kawaida kesho magazeti ya kufungia maandazi,yatakoleza rangi za mashuka ya theatre,yanga imekufa kiume badala ya kujikita kwenye tathimini ya mchezo,kwani wandishi na wahariri wanalipwa bei...
2 Reactions
47 Replies
5K Views
Naipenda YANGA 'SINGO' TAMU YA MAREHEMU MWALUVANDA KATIKA ALBUM BORA YA PLUIJM. Sishangazwi na mafanikio ya Yanga wanayopata kwa kutawala soka la ndani, Sijaona ajabu kwa kikosi hiki kubeba...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Mtandao wa soka25east wa kenya umesema timu ya yanga iliongia makundi africa inatoka ghana
1 Reactions
33 Replies
3K Views
Mimi ni mpenzi wa mpira wa miguu nikiungana na mamilioni ya watu wengine duniani. Mchezo huu kama mnavyojua unavutia wengi sana na kwa sasa ni industry inyoajiri na kulipa vizuri sana. Wengi sasa...
8 Reactions
16 Replies
3K Views
Wamebakia kufunua makabrasha kushindania yaliyopita. Wa kimataifa aka Young African wanazidi kufyanza mambo. Mimi kwamtoro Mwanachama na mpenzi wa coast union ya Tanga
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Alikaa golini mechi na Al Ahly klabu bingwa Afrika akishuhudia goli la jioni na lililobaki kama alama ya uchungu kwake , wanayanga na watanzania kwa ujumla . Goli lililoiondoa Yanga katika...
3 Reactions
17 Replies
8K Views
Wakati nikitegemea kabisa kuwa leo katika Mkutano wako na Waandishi wa Habari utaonyesha ni jinsi gani ulivyokomaa katika medani ya Kandanda / Soka / Mpira wa Miguu kwa kutoa sababu za kiukweli na...
7 Reactions
25 Replies
5K Views
Migogoro inayoendelea katika klabu ya simba inakatisha tamaa, hali hii imesababisha wachezaji wa timu hiyo kukosa morali wa kuitumikia klabu hiyo, moja vunjeni bodi ya usajiri, pili wakati sahihi...
2 Reactions
26 Replies
3K Views
Hiki kipindi kinakera kiko kishabiki sana. Mimi mtu wa simba siwezi kukisikiliza pia Radio ya Times Fm nayo vile vile. Wachambuzi wetu wa soka wako kishabiki sana hawatupi upembuzi wa kimsingi...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Imetokea Uturuki...! ONYO: Mashabiki ,tusithubutu kuijaribu hii hapa nyumbani.
1 Reactions
1 Replies
815 Views
Dah Tumejipanga na lazima tuifunge AFC Bournemouth Goli zaidi ya Ishirini na tutaishusha Man City nafasi ya Nne tunahitaji kucheza Champion League 2016-2017 maana UEFA ndogo sio level Yetu...ni ya...
0 Reactions
43 Replies
3K Views
Je umeshamuelewa huyu jamaa?? Kama bado em tazama sumu zake hapa akiwa uko majuu.... Huyu jamaa anastaili kuipeperusha bendera.
5 Reactions
17 Replies
2K Views
Kocha mkuu wa timu ya taifa ya Tanzania, Boniface Mkwasa ametaja kikosi chenye majina ya wachezaji 26 kitakachoingia kambini kujiandaa na mechi dhidi ya Kenya pamoja na ile ya kufuzu kwa ajili ya...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
MABINGWA wa soka Tanzania, Yanga, leo wanajitupa kwenye Uwanja wa Estádio Sagrada Esperança mjini Dundo mbele ya watazamaji 8,000 kupambana na wenyeji GD Sagrada, katika mechi ambayo inaweza...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Naikumbuka sana simba hii kiukweli .NINI LA TANOOOOO
1 Reactions
2 Replies
1K Views
MABINGWA wa soka Tanzania Bara, Yanga, leo wamewapa raha Watanzania baada ya kushinda kwa mabao 2-0 dhidi ya Sagrada Esparanca ya Angola katika mchezo wa kwanza wa raundi ya tatu ya Kombe la...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Chelsea Football Club is delighted to announce John Terry has signed a new one-year contract. The decision has been taken following the appointment of Antonio Conte as the club’s new manager last...
1 Reactions
0 Replies
806 Views
Back
Top Bottom