Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Timu ya soka ya Taifa ya Vijana wenye umri wa chini ya miaka 17 ‘Serengeti Boys’ leo Mei 17, 2016 imechanua vema baada ya kuilaza India mabao 3-1 katika mchezo wake wa pili wa michuano maalumu ya...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
MAKOCHA wawili kutoka klabu ya Deportivo Tenerife ya Hispania wamewasili jioni ya leo kwa ajili ya kuja kufanya mazungumzo ya kusaini Mkataba wa kufundisha Azam FC. Makocha hao Jonas Garcia Luis...
0 Reactions
53 Replies
5K Views
Only three of this season's 20 Premier League clubs now have English bosses. "We train our guys pretty well, we educate them very well, but they just need a chance," Allardyce told BBC Radio 5...
0 Reactions
4 Replies
902 Views
Baada ya mshambuliaji wa PSG, Zlatan Ibrahimovic kuweka wazi kuwa ataondoka klabuni hapo baada ya msimu huu kukamilika na kuhusishwa a baadhi ya vilabu ikiwepo Manchester United, Arsenal na...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Ni baada ya kumaliza vibaya PREMIER LEAGUE kwa kutandikwa mabao 5 - 1 na vibonde Newcastle United , huku mahasimu wao wakiichapa Aston Villa kwa mabao 4 - 0. Spurs ilikuwa inahitaji point moja...
2 Reactions
16 Replies
2K Views
Na Beatrice Lyimo - MAELEZO Dar es Salaam 17/05/2016 Mstahiki Meya wa jiji la Dar es salaam Issaya Mwita ameiomba shirikisho la Michezo wa mpira wa miguu nchini (TFF) kuendelea kusimamia ligi kwa...
0 Reactions
0 Replies
937 Views
Samatta amecheza mechi ya 14 tangu ajiunge na Genk akitoka kushinda taji la Ligi ya Mabingwa Afrika na TP Mazembe pamoja na kutwaa tuzo ya Mwanasoka Bora Anayecheza Afrika. Katike mechi hizo...
0 Reactions
13 Replies
5K Views
nomasana, sam999, NairobiWalker, hbuyosh, msemakweli, simplemind, Kimweri, Bulldog, MK254, Kafrican, Ngongo, Ab_Titchaz, mtanganyika mpya, JokaKuu, Ngongo, Askari Kanzu, Dhuks, Yule-Msee, waltham...
1 Reactions
24 Replies
4K Views
Mashabiki waliondolewa uwanjani baadae ya maelfu kuingia mtaani kwa hofu ya kiusalama. Mchezo ulisubirishwa kwanza, lakini kitu ambacho hakikuthibitishwa kiliwafanya maafisa wa usalama kuhairisha...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
0 Reactions
2 Replies
843 Views
Kocha Mkuu wa timu ya Taifa ya vijana wenye umri chini ya miaka 17 maarufu kama Serengeti Boys, Bakari Shime amesema hana wasiwasi kuwavaa India-wenyeji wa michuano maalumu ya soka ya kimataifa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakati Coastal Union ya Tanga ikiwa imeaga rasmi Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania 2015/16, swali linabaki kwa wadau wa soka nchini kwamba ni timu gani itaungana na Wagosi wa Kaya kushuka daraja...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Kama ilivyokuwa kwenye kuonyesha bunge live, vijana wengi na nguvu kazi nyingi wanakesha kwenye Bar, club na sehemu zingine za starehe kuangalia mechi mbali mbali za mpira. Mara EPL, Bundersliga...
3 Reactions
12 Replies
1K Views
Nachukua nafasi hii kutoa mawazo yangu Kwa wahusika wa Klabu ya Yanga Juu ya matukio makubwa ya Klabu hiyo kubwa hapa nchini.Klabu ya Yanga ndio Mabingwa wa soka.Klabu ya Yanga inamiliki Uwanja wa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Yamkini hali si shwari kwa wafanyakazi wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) makao makuu yaliyopo Karume, kufuatia kudai mishahara yao ya miezi miwili na nusu. Tangu kuingia madarakani kwa Jamal...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Nachukua nafasi kuipongeza Klabu ya Yanga Kwa kutwaa ubingwa Kwa mwaka 2015/2016.Pia naliomba Bunge letu chini ya Spika mahili Mh.Job Ndugai kama ilivyo kawaida awaalike Viongozi Na wachezaji wa...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Wadau Wanakanda ya Ziwa wenzangu leo tujikumbushe timu yetu ya Pamba wana TP Lindanda Wana Kawekamo walivyonyakua Kombe la Jamhuri mwaka 1990 kwa kuwabwaga Small Simba kule Amani Zanzibar kwa...
1 Reactions
6 Replies
5K Views
Waliochuchumaa Hamza Mponda, Juma Amir Maftah, Rashid Abdallah, George Masatu, Hamis Nyembo, Abdallah Bori na Khalfan Ngassa. Waliosimama Madata Lubigisa, Ibrahimu Magongo, Fumo Felician, David...
2 Reactions
3 Replies
4K Views
Wakuu,natafuta mwalimu wa kunifundisha Aikido,awe hapa Dar es salaam
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Back
Top Bottom