kwa kule spain utakuta formation ya Barcelona kwenye ushambuliaji ni MSN na ukienda Real Madrid utakuta ni BBC.
sasa nauliza kwa hii timu yetu ya Tanzania ni formation ipi kwenye upande wa...
Anaitwa Kassim
Manara...fundi wa mpira aliyecheza Borussia Dortumund miaka ya
1970...Olympiakos wakamtaka wakashindwana naye maslahi. source Edo kumwembe facebook page
March 21 mwaka 1980 Mzee Joao Moreirra na Mkewe Bi Miguelina de Assis walifanikiwa kumzaa mtoto ambaye baada ya miaka kadhaa kupita alifanikiwa kuja kuwa Nabii wa mwisho wa kizazi cha Soka...
Gwiji wa soka raia wa Uholanzi Johan Cruyff amefariki dunia leo hii jijini Barcelona akiwa na umri wa miaka 68, Mshambuliaji huyo wa zamani wa vilabu vya Ajax na FC Barcelona alikuwa akisumbuliwa...
Maana unapost vitu vya ajabu ajabu tu, jana tumempiga chad bao moja, alafu unapost eti full time Chad0-0Stars...
Siamini kama ni account yako.
Ebu toa ufafanuzi, otherwise wewe ni jipu na TFF si...
Eti wakuu , kuna haja gani kuendelea kuwa mshabiki tuu Wa Simba au Yanga wakati kuna option ya kuwa mwanachama hata kama uko mikoani ???
Kwanini usichukue hatua ya kuwa mwanachama kamili upate...
wakuu nina swali ambalo kila muda linaniumiza kwenye maswala ya mpira
hivi ni kwanini katika klabu bingwa Africa team za kiarabu zinamaliziaga mechi zao nyumbani unless zikutane zenyewe kwa...
Tuliwaamini sana Supper Sports ya South Africa kwenye soka wakitumia mwanya wa sheria zetu kudhibiti vituo vya television. Sasa hawa jamaa wa Bidvest Wits wanatuambia eti mashindano ya CAF...
CHAD VS TAIFA STARS
Date:23.3.2016
Time:15hours EAT
Timu ya Taifa Stars leo itakuwa uwanjani kupambana na timu ya Taifa ya Chad kwenye kombe la mataifa Afrika
Nahodha mpya wa Taifa Stars ya...
Huo ndo ukweli, Barcelona Fc haina mashabiki wa kweli kutoka Afrika. Wengi ni VIHEREHERE TU, wasio jitambua na waliokuwa HEART BROKEN kwa timu zao za EPL kufanya vibaya.
PNC anajua hili, yaani ni...
Katika Hali Isiyokuwa Ya Kawaida Msemaji Wa Klabu Ya Simba Haji Manara Leo Ameamua Kumpiga Vibaya Sana Kwa Knock Out Msemaji Wa Klabu Ya Yanga Jerry Muro Baada Ya Ubishani Mkubwa Wa Ni Timu Gani...
Wale waliongalia na kufuatilia jana Bayern Munich walichoifanya
Juventus......je tunaweza kusema Pep ni kweli the best coach in the world?
jana nilifuatilia mitandao wakati Juve ana lead 2-0...
WHAT A HUSBAND NEEDS FROM A WIFE IS NEVER SEX.
Sex is an important element in marriage and until there is sexual intercourse between a husband and a wife, the marriage is not yet spiritually...
p { margin-bottom: 0.1in; line-height: 120%; }
Nimewahi kusema tunaitaji viongozi wenye uchungu na timu wasio na njaa za dunia
Janaa nikiwa na timu yanguu nilishuhudia jerry muro akisimama...
Inaonekana kwa sasa ni kuwa ubingwa was EPL ni mbio za farasi Wawili; Leicester city na Tottenham!
Nani kati ya hawa unadhani ataanza kudondosha pointi? Mechi mbili zijazo kwa Tottenham atacheza...
Kwa sisi watoto wa zamani tulikuwa na kumuona mchezaji 'acrobatic' wa Brasil enzi hizo Galincha. Nimekuwa navutiwa na staili ya mchezaji kama huyo hapa nchini kama Ibrahim Ajib Migomba...