Taifa Stars imesukumwa nje ya mashindano ya awali ya kombe la dunia kwa aibu ya kipigo cha mabao 7-0 toka kwa Algeria. Kilimanjaro Stars (ya Tanzania Bara) imetupwa nje ya michuano ya Challenge...
Aliyekuwa meneja wa timu ya taifa ya Uholanzi Guus Hiddink ameteuliwa kuwa kaimu meneja wa Chelsea hadi mwisho wa msimu. Ameteuliwa baada ya Jose Mourinho kufutwa Alhamisi.
"Nimefurahia kurejea...
Hello Swahili rendition is so nicely done by dela on youtube that it is earning international recognition by USA entertainment media like TMZ.
Hicho kibao kilifaa kuimbwa kwa kiswahili Mara ya...
Aliyekuwa meneja wa timu ya taifa ya Uholanzi Guus Hiddink ameteuliwa kuwa kaimu meneja wa Chelsea hadi mwisho wa msimu.
Ameteuliwa baada ya Jose Mourinho kufutwa Alhamisi.
Hiddink, aliwahi...
Ligi ya soka ya Tanzania inadhaminiwa na kampuni ya simu ya Vodacom na ya Uganda mdhamini wake ni kampuni ya Azam. Nimeona pana tofauti kubwa katika mambo kadhaa hasa ukizingatia Uganda wapo juu...
Meneja wa klabu ya Chelsea ya Uingereza amefutwa kazi baada ya klabu hiyo kuandikisha msururu wa matokeo mabaya.
Bodi ya klabu hiyo ilikutana jana kujadili hatima ya Mourinho chini ya mmiliki wa...
Nimepitia ukurasa wa instragram wa mtangazaji wa michezo wa clouds FM ya jijin Dar esSalaam sikupendezwa na video za mipasho alizoweka kuhusu wasemaji wa Yanga na Simba.
Hicho anachofanya...
Hili ni group la mashabiki wa Yanga tunawakaribisha wana yanga wote
Kupitia yanga tumeamuwa kwa moyo wetu wa zati kabisa kukikusanya na kusaidiana mambo mbali mbali kupitia Yanga na kuwasamini...
Na atalipwa nusu mshahara kipindi chote cha kifungo chake...binafsi naipongeza yanga kwa hatua hiyo,yanga hatujawahi kuringiwa na mchezaji,tuliwahi kumfungia emanuel okwi kuelekea mechi na...
Mmiliki wa klabu ya Chelsea Roman Abramovich amekutana na bodi ya klabu hiyo kujadili hatima ya meneja wa klabu hiyo Jose Mourinho.
Hii ni baada ya klabu hiyo kuandikisha matokeo mabaya sana...
Angekuwa hai mafisango ningewambia alivyoteseka..nasikitika wachezaji.wengi wetu awataki kufanya juhudi wanadili kupiga watu misumari yupo mmoja simba mpaka akutane na kigingi akakimbilia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.