[03/12 6:31 am] Theo Walcott: 🍁 Capital One Cup 🍁
♢ S'Ampton 1 ✘ 5 Liverpool ♢
💥 Southampton first goal.
🎥 http://bit.ly/1QUGWza
💥...
Wadau na wanamichezo kama kichwa kinavyojieleza, nilikuwa nina haya machache ya kujuzwa kuhusu Fifpro!
1. Ni nini maana ya Fifpro na maudhui yake hasa katika mchango wa soka ?
2. je, ni...
My son made me listen to the two songs(kigoma and Nyumbani) by Kigoma all stars from Tanzania over the weekend. From then, I think I have listened to the song for over 20-30 times without getting...
Full back mkongwe wa Manchester United na England ambaye alikua anafanya kazi kama mchambuzi (Pundit) na akina Jimmie Caragher, Thiery Henry na Jemie Rednap pale Skysports sasa Uchambuzi wake...
UEFA imetangaza orodha ya wachezaji 18 walio bora zaidi kuwahi kucheza katika ligi ya mabingwa wa Ulaya.
Kwa mujibu wa orodha ya wachezaji 18 bora kucheza katika Champions League inajumuisha...
The International Association of Athletics Federations (IAAF) Ethics Commission has suspended three Athletics Kenya officials for their alleged involvement in graft and subversion of the...
Wakati tunaulizana wenyewe kwa wenyewe ilikuwaje Kamati ya Ushindi inayoongozwa na wanasiasa wa soka ikaahidi Wachezaji wa Stars fedha ambayo hawakuwa nayo, ningependa tujadili nafasi yetu katika...
Baada ya Figisu Figisu za mda mrefu hatimae jana, yule kiungo machachari kabisa kutoka nchini Uganda, Brian Majwega.. Katua Simba S.C.
Hii haijatokea kama ajali bali ni kutokana na Undugu wa mda...
Yanga kuna Yusuf Manji
AZAM kuna Said Salum Bhakresa
Simba kuna Zakaria Hans Pope
Hawa jamaa walipe kodi za Magufuli halafu waendeshe timu, sijui tutaona, kwanza nasikia Yusuf Manji amekimbia
Harambee Stars beaten by Zanzibar in Cecafa tournament
Coming as a big surprise, Kenya national football team Harambee Stars were beaten hands down with a shocking score line of 3-1 by a lowly...
🍁 Live Stream today🍁
◆◆◆◆◆◆◆◆◆◆
🇮🇹 Coppa Italia Cup:
♢ Milan ✘ Croton ♢
⌚11...
Leo ni marudio mechi ya makundi kati ya Walias na Kilimanjaro stars tofauti kwa sasa itafanyika kwenye hatua ya robo fainali badala ya makundi. Kilimanjaro stars inaingia robo fainali baada ya...
Hivi taifa stars waache kujitetea, waseme tu wanapaswa kuwekeza zaidi.
Kule kwa waarabu waliona wamefanyiwa tricks nyingi, mara Mpira unadunda sasa hii ya kuchapwa na Ethiopia, baridi...
Inashangaza waandishi wengi wa habari za michezo hapa Tanzania wanaendelea kushangaa ni kwa nini kili stars imepangwa tena na Ethiopia kucheza robo fainali. Baadhi ya waandishi na watangazaji wetu...
Timu ambayo aliwahi kupita "Nguli" toka nchini Uganda.. Emanuel Anord Okwi katika safari yake ya kuelekea Europe.. Etoile Du Sahel.. siku ya leo imefanikiwa kutwaa ubingwa wa CAF Confederations...
Bondia Tyson Fury Kutoka Uingereza usiku huu wa leo 28/11/2015 amefanikiwa kutwaa mataji ya WBA, WBO na IBF katika uzito wa Heavyweight baada ya kumdunda kwa points bondia Wladmir Klitschko wa...
Mchawi wa soka atakua nje kwa 2 months kwa maumivu,lkn huenda ikatokea kama msimu ulopita alivyorejea mwezi november 2014 toka majeruhi ya muda akakuta cr7 ana magoli 20 zaidi yake lakini hadi...
Shule ya Kichina ya karate imeanzisha mafunzo ya soka ambayo kuchanganya Shoalin kung fu na mpira wa miguu katika jitihada za kuzalisha wachezaji wenye ujuzi zaidi nchini China.
Maelfu ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.