Mheshimiwa Kassim Majaliwa hongera sana kwa kuteuliwa kuwa Waziri Mkuu wa Tanganyika.
Wewe ni mwanamichezo mzuri kwanza ni kocha wa timu ya bunge, pili ni mwanachama hai na mzuri wa Simba...
Nilibett majuzi siku taifa stars aliposhindwa bao saba nikabahatika kupata shsh 240.000/=.
Mapaka leo ninazungushwa tu na wakala kunilipa, niko Dodoma NIFANYEJE?
Kocha wa Kilimanjaros stars amedai tatizo kubwa la timu yake kupoteza ni hujuma walizofanyiwa na Algeria moja wapo ni kuwepo kwa koki za maji uwanjani (pitch).
Walifanya michezo hii kwenye...
Should Amani National Congress (ANC) leader Musalia Mudavadi clinch the presidency in 2007, filmmakers will have a reason to rejoice, if his recent pronouncements are anything to go by.
Speaking...
Nimekuta MTU kapost kwenye wazo LA Leo kitaaa.... Unasema
"Ni bora kuamini Mungu yupo usimkute kuliko kuamini hayupo ukamkuta".... Ni kijiwe cha michezo sana draft ..karata..bao... Na kuna...
Hii ni African derby LIGI KUU || TZ BARA || 2015/2016. Yanga Afrika Vs Toto Afrika.
Mechi itakayopigwa uwanja wa taifa inatarajiwa kuanza majira ya 16:30
KIKOSI CHA YANGA LEO.
1. Ali Mustafa...
Ndugu wana JF ambao ni wapenzi wa timu ya Yanga mnaombwa kujitokeza katika kusaidia kutoa maoni na ushauri kwa ajili ya mchakato mzima wa kuanzisha tovuti ya klabu yetu ya Yanga..Wazo la kuanzisha...
Niliweka Algeria win sportpesa and BOY am u waiting for that win God willing
Tanzania imepata 6 yellow cards
1 red card
And 5 goals to nil
Waaaah!!! Aiseeeey
Cape Verde v kenya 0-0 37'
Mimi siku zote huwa nasema makocha wazalendo wa kitanzania uwezo wao huwa mdogo lakini huwa wanataka kulazimishia mambo makubwa matokeo yake ndo 7-0
Tanzania kama tungekuwa tumepiga hatua kisoka...
Wakuu,itakumbukwa kuwa TFF iliunda kamati kwa ajili ya ushindi wa TFF
Mechi ya marudiano dhidi ya Algeria ikaahidi 500M kwa timu ikiwa ingeitoa Algeria.
Yaani mechi moja 500M. Ikumbukwe kuwa...
Meneja chapa (vileo kali) wa Serengeti Breweries Limited, Shomari Shija, akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari (hawapo pichani) jijini Dar es Salaam kuhusiana na mashindano ya siku...
Timu ya Taifa ya Tanzania ?Taifa Stars? leo usiku saa 1:15 kwa saa za Algeria, (sawa na saa 3:15 kwa saa za Afrika Mashariki) itashuka dimbani kuwakabili wenyeji Algeria katika mchezo wa...
Kwa kawaida wachezaji wakiwa hawampendi kocha,hamasa ya uchezaji hupungua.
Anapokuja kocha mpya,hata akiwa mchovu au wa kawaida,wachezaji hucheza kwa kujituma ili ku-mprove wrong aliyepita...
Jana usiku timu yetu ya taifa kwa kitendo cha kuchapwa bao 7 kwa bila, bila shaka hii ni record mpya ambayo tumeiandika kwani toka miaka ya nyuma nimejua habari za soccer mpaka leo hii sijawahi...
Ni kosa kubwa kuifunga Algeria na kuwakosesha nafasi ya kushiriki kombe la dunia 2018, Wamekuwa wakiiwakilisha vizuri Afrika katika mashindano hayo kwa kuwa wana timu nzuri.
Nimeamua kuwaunga...
Isiwe shida Taifa stars kufungwa idadi hiyo huo ndio mpira,Algeria ni timu kubwa sana yenye wachezaji wote ma pro wanaocheza ligi mbalimbali za ulaya na america la msingi kwetu ni kutafuta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.