Kwa mashabiki wa soka barani Afrika, Ligi Kuu ya England ndio sasa basi, ndio mwisho wa kila kitu, ndio eneo lao la maabadi. Nembo hii ya kimataifa katika soka inafuatiliwa na zaidi ya watu...
nipo uwanja wa Ccm Vwawa wilaya ya Mbozi mkoa mpya wa Songwe kushuhudia mchezo wa kirafiki wa Yanga kulipa deni la mkopo wa mchezaji mwashiuya Godfrey na timu zote zimeshaingia uwanjani...
kinachoongelewa kuwa na 9 kwa yanga na simba inamkosi inaweza kuwa kweli au si kweli lakini inaweza kuwa kweli kwa muona wa watu wengi siku ya simba day no 9 nilimuona kiiza kavaa nawashauri simba...
Kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kimeanza mazoezi katika uwanja wa Karume kujiandaa na mchezo dhidi ya Nigeria kuwania kufuzu kwa Fainali za Mataifa ya Afrika mwaka 2017 nchini...
Hapa niwe clear kabisa ntaongea reality bila upendeleo, !! Arsenal bado haipo fiti!!
Hebu noja tu tuwafanyie analysis mastriker na goalkeeper, Manchester united bado wanae de gea japo
hatujui kama...
kwa mambo mengine ya kimicheza gonga au click hapa TANDIKA MIKEKA . huku utaona vitu kama ubashiri wa mechi kwa kila siku, ratiba za mechi pamoja na tetesi za usajili
Ni siku ya nne sasa huduma zenu zimekua hazieleweki kwa madai ya kua network inasumbua,sijawahi experience uzembe na ubabaishaji wa namna hii!najua uwa yanatokea matatizo ya network si kwa kampuni...
Shock discovery that it's too hot in the Persian Gulf in July–not to play soccer, but to watch it.
The governing body for world soccer may scrap its controversial plans to hold the 2022...
Wanajamvi,
kuna mtangazaji wa ITV huwa anaripoti michezo kwa Dar es salaam kwa kweli nimetokea kupenda anavyoripoti kwa kweli. Amefanikiwa kubuni sauti ya kipekee inayomvutia msikilizaji mpaka mtu...
Nimefurahi kumuona kijana wetu Mrisho Ngasa katika klabu yake mpya ya Free State Stars ya Afrika Kusini mechi ya kwanza ya ligi kuu ya nchi hiyo. Namtakia kila la heri Ngasa.
Yule mnyama mkali mwituni, asiye na masihara anapokutana na kitoweo mbele yake, Simba SC anazidi kunoga kisiwa cha Unguja.
Simba SC iliingia Unguja siku ya tarehe 20 mwezi huu, na mpaka leo...
Nipo ninasikiliza Radio kituo cha E fm lakini nashangazwa na kutokuwapo hewani kile kipindi chao cha habari michezo cha akina Oscar Oscar,Maulid Kitenge,Maestro.
Toka saa 3 asubuhi hadi sasa saa...
Kuna tetesi kuwa Yanga wanakamilsha deal ya kumsign jembe mshambuliaji hatari laudit mavugo alie na magol 34 pale Burundi jamani Yanga kama kweli viongoz wa Simba msiwe mnatutangazia vita...
Ni aibu kubwa kwa timu yetu ya Taifa yenye kupata support ya kila aina kutoka serikalini kuwa ya mwisho kwa ubora katika ukanda huu wa nchi za Afrika Mashariki.
Katika viwango vya ubora katika...
Ni sentehfu beki la timu ya taifa ya togo-VINCENT BOSSOU na kiungo mkabaji wa timu ya taifa ya zimbawe na kepten wa platinum fc THABAN KAMUSOKO.
Wachezaji hao watafanyiwa vipimo asubuhi hii...
Jana jioni, Simba SC iliingia uwanjani kujipima nguvu tena. Ilikua ni zamu ya timu ya Jang'ombe Boys toka Visiwani humo ambapo, walitandikwa goli 3-0.. Ni yule yule mchezaji aliye kwenye kiwango...
Chanzo cha ndani kabisa kinasema baada ya kocha kutoridhika na makipa waliopo na zaidi sana baada ya Ivo kuumia uongozi unahaha kumrudisha kundini mlinda mlango Juma Kaseja
Nilikutana na Juma...
Ni miaka 21 imepita tangu Shabani Nonda kuelekea South Africa na baadae kufanikiwa kuvuma sana Ulaya na Dunia nzima. Baada ya Nonda kufahamika tulitetegemea milango itafunguka kwa soka letu na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.