Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Taarifa kutoka TFF zinasema kuwa Charles Boniface Mkwassa, ambae kwa sasa ni kocha msaidizi wa Klabu ya Yanga Afrika ameteuliwa rasmi kuwa kocha mkuu wa Taifa Stars na atakuwa akisaidiwa na kocha...
2 Reactions
36 Replies
7K Views
KOCHA mpya wa Taifa Stars, Charles Boniface Mkwasa ametaja kikosi cha timu hiyo pia akimteua gwiji Alhaj Abdallah Athumani Seif ‘King Kibaden’ kuwa Mshauri wake wa Ufundi. Mkwasa ameteuliwa jana...
0 Reactions
25 Replies
6K Views
Jana akabidhiwa nyumba safi na usafiri mpyaaaaa!!!! Picha moja wapo mrs Ngassa akiwa jikoni akiandaa maakuli huku mr Ngassa akiwa kajipumzisha sofani.
0 Reactions
16 Replies
5K Views
Swali hili ningemuuliza Jamali Malinzi ila ni muda mrefu maswali hajajibu labda wadau wanaweza kunijibu. hivi kila kikao cha tff kutoa tamko hata makocha wa stars lazima G. Nyange kaburu lazima...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Viongozi wa Yanga mbona mnashindwa kuupdate tovuti ya klabu. Vijana wengi wanaweza kufanya hiyo kazi kwa weledi wa hali ya juu, muajirini kijana afanye kazi hiyo!
0 Reactions
20 Replies
2K Views
KOCHA mpya wa Taifa Stars, Charles Boniface Mkwasa ametaja kikosi cha timu hiyo pia akimteua gwiji Alhaj Abdallah Athumani Seif ‘King Kibaden' kuwa Mshauri wake wa Ufundi. Mkwasa ameteuliwa...
1 Reactions
20 Replies
4K Views
Mbali na kuwa sehemu ya kuleta umoja,Amani katika jamii, kwasasa tasinia ya mchezo wa mpira wa miguu umekuwa sehemu ya kitega uchumi kwa watu wengi, hata serikali nyingi zinapata baadhi ya pato...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Arsenal have agreed a £10.9m fee for Chelsea goalkeeper Petr Cech according to Sky sources. The fee was one of the key elements outstanding as Arsenal edge closer to finalising the transfer of...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
AfisaMtendajiMkuuwa EAG Group Imani Kajula Akimwelezea Jambo Rais wa Simba Sport Club Evans Aveva (Aliyekaa) Wakati wa Uzinduzi wa Tovuti ya Club Hiyo Anayeshuhudia ni Makamu wa Rais wa Club ya...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Tembelea ukurasa huu kujua kwa kina zaidi juu ya wagombea hawa wawili https://www.facebook.com/pages/Chagua-Jamal-malinzi-Uraisi-TFF-Chagua-Wallace-Karia/537340943014812
2 Reactions
30 Replies
4K Views
kwa muono wangu mvurugaji timu ya taifa yupo na ndio aliokuwa anamuyumbisha kocha.kwa akili ya haraka naamini ndio aliokuwa anamshinikiza kuteuwa wachezaji na kwakweli mtu yeyote timu haifanyi...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
-Ni mzaliwa wa uingereza,ana umri wa 48. -Katika kipindi anasakata kabumbu amepitia timu kadhaa kama Leeds, Reading, Kilmanock, Hamilton.. alikuwa ni miongoni mwa beki "katili" wa kipindi hicho...
2 Reactions
71 Replies
11K Views
Sports Extra ya Clouds FM wachambuzi ni wababaishaji. Wakati timu ya taifa inafanya vibaya walisema kocha ni kimeo baada ya kocha kutimuliwa wanadai kufukuza kocha na benchi ni kufurahisha...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
KWA HESHIMA.NA TAADHIMA.SAMAHANI UNCLE.JM.KAMA.NIM EKOSEA.KUANDIKA LAKINI.MSAMAHAA.HUU UENDANE NA.KUBADILIKA.KWA.TFF E.NAONA.KWENYE.MTANDAO WACHEZAJI.WA.KIGEN.KUILIPA TFF DOLA 2000 Kila...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania - TFF, Jamal Malinzi, kesho siku ya Jumanne tarehe 23 Juni, 2015 ataongea na waandishi wa habari katika ukumbi wa Hoteli ya Tansoma eneo la Gerezani -...
0 Reactions
32 Replies
3K Views
Timu zetu zote hazifanyi vizuri na hazijawahi kufanya vizuri miaka ya usoni. Kumtimua kocha huyu ni sawa na kuficha nyuso za watendaji wa mpira nchini ndani ya track-suit ya kocha. Kocha hachezi...
0 Reactions
3 Replies
932 Views
Habar! naandika hivi kwasababu zifatazo. 1. Mkwasa ni kocha mzuri sanaa, anajua kufundisha mpira wa kibongo na wakimataifa (yanga) anaufahamu sanaa. 2. Julio ni kocha msomi, ana beji za...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Wasalaam wana jamvi! Kocha mkuu waTaifa stars afungishwa virago baada ya kufungwa goli tatu na uganda! Ni wazi Timu ya taifa nayo ni ya kuvunja kufukuza kocha haliwezi kuwa suluhu. Pia kamati ya...
0 Reactions
160 Replies
18K Views
Najua wewe ni msomi tena mwelewa nakuomba utuachie TFF, nitafurahi ukilifanya jambo hilo kabla hakujapambazuka.
0 Reactions
192 Replies
16K Views
Nachukua nafasi hii kumpongeza Suleiman Nyambui kwa kuchaguliwa kuwa Kocha wa Team ya Riadha ya Taifa ya Brunei. Nimefuatilia Maelezo yako AZAM Tv na nitafuatilia Jpili hii utapokuwa Live na...
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Back
Top Bottom