Kikosi Changu Cha Timu Ya Wachezaji Wangu Bora Wa Ligi Kuu au Vodacom Ni Hiki Kifuatacho :
Ivo Mapunda
Ramazan Kessy
Mohamed Hussein
Hassan Isihaka
Juurko Murshid
Jonas Mkude
Awadh Juma
Said...
baada ya kusikia cosafa hayamo kwenye ratiba ya fifa nikajaribu kupitia mtandao wa fifa kuona je cecafa imo kwenye ratiba ya fifa? nimekuta hakuna.
kwa hiyo inavyosemwa cecafa mashindano ya...
Kazi yao siyo ku(ji)piga chenga na kufanya madoido yasiyo na tija kama ya Ronaldinho Gaucho. Wala kazi yao siyo kutoka nduki kama Thiery Henry Mabio. Hawa kazi yao ni moja tu - kupiga mabao. Ndiyo...
Mchezaji butu wa Simba sc aliye sajiliwa katika dirisha la usajili lililopita ametamatisha mkataba wake na club hiyo baada ya mambo kuwa magumu mno.
Katika account yake ya twitter ameandika ...
Ndanda VS Yanga-Nangwanda Mtwara
Azam fc VS Mgambo JKT-Chamanzi Comprex
Simba VS JKT Ruvu-Uwanja wa Taifa
Standa United VS Ruvu shooting-Kambarage Shinyanga
Kagera suger vs Prisons
Game zote...
Hakika jana yaliyojiri ktk kufunga pazia ya ligi yanauzunisha sana kwa soka letu, bila kupindisha maneno ktk mechi ya JKT Ruvu na Stand United kuna mambo ya rushwa yatakuwa yanausika kuibeba...
Here is forbes list of most valuable football clubs
10. AC Milan
9. Juventus
8. Liverpool
7. Arsenal
6. Chelsea
5. Manchester City
4. Bayern Munich
3. Manchester United
2. Barcelona
1...
Timu ya Stand Utd ya mkoani Shinyanga iko katika hatari ya kushuka daraja ikiwa na point 28. Na hii ni baada ya kupoteza mechi zke Tatu za ugenini za hivi karibuni.
Stand Utd kama timu zingine...
Nitoe pongezi kwa team ya Yanga, Azam na hata Simba kwa kushika nafasi walizoshika katika ligi na pia team nyingne zilizofanikiwa kuendelea na ligi mwakani. Kwa tema zilizoshuka nizipe pole ila...
Najua mtakuja na mapovu midomoni enyi wana simba wenzangu lakini hesabu kamwe haiongopei.
Kamahesabu simba imeshashuka daraja na mwakani itakuwa ligi daraja la kwanza. Hii ni fomula tu.
Mwenye...
"Tanzania ni kichwa cha mwehu". Ndivyo tunavyotafsirika katika medani ya mpira wa miguu. Sibezi jitihada zinazofanywa na TFF kunusuru hali hiyo ya soka nchini. Lakini yote hayo ni sawa na kupigana...
Kamati ya Nidhamu ya Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini TFF iliyoketi jumanne tarehe 5 Mei, 2015 imempiga faini ya sh. 5,000,00 (milioni tano), Afisa Habari wa klabu ya Yanga SC Jerry Muro kwa...
KLABU ya Simba imeanza kupukutishwa fedha zake za mapato baada ya kukatwa Sh3 milioni katika pambano lao na Azam kwa ajili ya kukusanya fedha za kumlipa winga wake, Haruna Chanongo, anayecheza kwa...
Si vilabu wala timu ya taifa,kila viongozi wanaokuja hamna mabadiliko,tunatamani tufike mbali kimataifa ila tunaishia hatua za awali.
Viongozi wana visingizo kila siku bila bla bla.
to hell...
Lina ukweli wowote hili?
Wakati tunaelekea katika game za mwisho-mwisho za kumaliza msimu wa ligi kuu Tanzania Bara (Vodacom premier league).
Leo tena katika uwanja wa taifa kutakuwa na mpambano...
Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Jamal Malinzi ametuma salaam za pole kwa wakazi wa Dar es salaam na hasa wale walioathirika na mvua zinazoendelea kunyesha jijini Dar es salaam...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.