Timu ya Taifa ya Tanzania Beach Soccer imeichapa timu ya Taifa Kenya mabao 7-6 katika mchezo uliofanyika jioni ya leo Klabu ya Escape One Msasani Dar Es salaam.
Kwa kuitoa Kenya sasa Tanzania...
​
Timu za African Sports ya Tanga na Mwadui FC ya Shinyanga zinatrajiwa kucheza mchezo wa fainali ya kusaka Bingwa wa Ligi Daraja la Kwanza (FDL) siku ya jumapili katika Uwanja wa Taifa...
Ligi Kuu ya Vodacom inaendelea leo (Jumamosi) katika viwanja vitatu tofauti, Mgambo Shooting watakua wenyeji wa Mtibwa Sugar kwenye Uwanja wa Mkwakwani jijini Tanga.
Ndanda FC ya Mtwara...
mechi ya hiyo leo ni fujo tupu namtahadharisha mwamuzi wa leo achezeshe haki.fununu toka mbeya ni kampeni mkoa mzima eti lazima yanga afungwe na kuna habari juzi ktk mazoezi tambwe alizimia mwa...
Jana clouds fm kwenye kipindi cha sports xtra nilisikia kama wanamwongelea mchezaji wa zamani christopher alex anaumwa na anahitaji msaada. Ni huyu alex aliyecheza simba wakati flani? Anaumwa nini...
Wakiwa kwenye Treni washabiki lukuki wa Chelsea wamemsukuma nje mtu weusi mara kadhaa na kumzuia asiingie ndani.
Hayo yamefanyika Uingereza huku washabiki hao wakiimba kwa nguvu nyimbo za kukiri...
José Mourinho believes Chelsea must do everything they can to punish the supporters who racially abused a French man on the Paris Métro this week, saying he does not know if a cloud still hangs...
Wakati mwingine unalazimika kuweka kando unazi, huyu kijana ambaye alikua majeruhi kwa muda mrefu ameiimarisha sana safu ya kiungo ya Yanga
Anatumia AKILI NYINGI SANA
Hakai na mipira
Hana...
Siku ya mechi ya Polisi Moro na Simba zilikutwa tunguli za kishirikina uwanjani, je zilikuwa za timu ipi kati ya Simba na Polisi?
Wengine wanasema za polisi wengine wanasema za Simba walipoona...
Zamani ilikua kazi rahisi sana kutizama game za UEFA live kupitia ITV au Chanel Ten ,imekuaje sikuiz hawarushi tena?
Kila siku kwenye bar na vibandani inakera kweli.
Habari wakuu,
Kama kawaida leo tutaendelea na ligi kuu Tanzania bara kwa mechi mbili, ni vita ya kugombania kukaa kileleni mwa ligi kuu ya Tanzania bara, yoyote atakaeachia pointi yoyote na...
Bakhresa adhamini na ligi ya zanzibar, ni aibu sana kuiacha ligi hiyo wakati sehem nyingine anamwaga fedha nyingi... Hata kama anatanua soko la bidhaa zake lakini kuiacha zanzbar ambayo ni asili...
National Sevens team maintained its 12th position in the IRB World Series after bagging eight points in USA over the weekend. Playing in Las Vegas, the fifth stop in the nine leg series, Kenya won...
Naelekea Uwanja wa Azam Complex Chamazi Kiuzalendo zaidi baada ya jana kumshuhudia Amis Tambwe akiwatoa kimasomaso wanajangwani
Naomba muendelee kutujuza matokeo ya hapa nyumbani pale Polisi...
Katika pitapita zangu YOUTUBE nikakutana na hii clip ya Bondia maarufu nchini Marekani miaka 1970-1980. Jina lake ni Sugar Ray Leonard, Bondia huyu alishawahi mchapa(K.O)Floyd Mayweather Sr...
Nimefurahishwa sana na matokeo ya Aazam FC waliyoyapata jana dhidi ya timu ngumu barani Afrika ya El Merreikh ya Sudan hasa kutokana na kiwango walichokionyesha.
Watanzania tumejionea wenyewe...
Mechi ya Azam na Simba SC msimu uliopita, mechi yamarudiano.
Mashabiki wa Simba walikuwa wAkishangilia Azam FC na mashabiki wa Yanga walikuwa wakishangilia Simba, kwa mara ya kwanza niliona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.