Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...
Mahakama Kuu ya michezo nchini Brazil, imechukua uamuzi wa kufuta moja ya klabu nchini humo baada ya kundi moja la mashabiki wake kutoa matamshi machafu yenye lengo la kueneza chuki za kibaguzi...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hii timu imepanda Daraja msimu huu maskani yake yapo Mbeya Region na inawachezaji wazawa kibao hadi kocha mzawa yaani hii timu ni ya kikwetu kwetu zaidi. Jezi: Dhambarau tisheti na kaptura nyeupe...
1 Reactions
113 Replies
24K Views
Wana JF, Pembeni ya uwanja wa uhuru kwa upande wa barabara ya Mandela kama unaelekea junction ya kilwa rd/Mandela rd kuna majengo chakavu ambayo hayakumalizwa kujengwa. Maeneo haya ndio kundi la...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
mechi ya ngao kati ya azam na yanga namtahadharisha mwamuzi awe makini na mkweli katika uamuzi wake asipendelee yanga wala azam na hatutaki mateke kwa timu hizo
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mbeya city fc. ni Kati ya timu ambazo zimekuja kubadili kabisa soka la USIMBA na UYANGA. Najua hakuna asiyejua ubishi wa Mbeye city fc. kwanza mimi naipenda sana, watu ninapowaona wamevaa jezi za...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Nimeikuta kuleee..Nikasema ngoja niitupie wadau waione na huku!!! KAMA LIGI KUU YA UINGEREZA INGEKUWA DARASA LA SHULE YA SEKONDARI.... 1.Liverpool ni mwanafunzi ane jisifia na kuona ana akili...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
FC Lupopo yadai Yanga imewadhulumu fedha kwa usajili wa Twite.Yanga walitakiwa kulipa dola 15, 000 kama wamemuongezea mkataba Twite lakini hawakufanya hivyo! "Tutasonga mbele hadi FIFA". Dawa ya...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Hii kaulimbiu ya Yanga nimeipenda sana... DAIMA MBELE.......NYUMA MWIKO. Inafaa itumike sehem nyingi sana hasa zile za starehe kupunguza matumizi ya mtandao. Cc.TeamBataBatani..
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nimeona kikosi cha timu ya taifa ya uganda inayotarajia kucheza na guinea simuoni mchezaji Okwi kwa nini? Au yupo njiani hata walipocheza na ghana sijamuona
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kuna Systems nyingi watu huwa wanakuja nazo ila mwisho wa siku kutokana na probability na odds zina-favor mtoa odds ni kwamba Bookmaker huwa anashinda tu mwisho wa mwaka, hata ukimpiga leo baada...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Emmanuel Okwi leo ameruhusiwa kuchezea Simba bila ya kulipa chochote baada ya kikao cha kamati ya sheria na haki za wachezaji kubaini kwamba hakua na mkataba na Yanga tokea January 2014. Kamati...
1 Reactions
63 Replies
9K Views
Vodacom ikikabidhi vifaa vya michezo kwa timu zitakazoshiriki ligi kuu ya Vodacom msimu ujao, Tanzania bara. WADHAMINI wa Ligi Kuu Bara (VPL) Kampuni ya Vodacom, jana Jumatano ilitoa vifaa kwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
kiufundi...!! Nani anahitajika zaidi SIMBA SC kati ya OKWI na MUSOTI..?! 1. Mapato. Usajili wake utaongeza mkwanja katka club, mana sisi tutajazana viwanjani kuangali soka la kitabuni, mtaa wa...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
YANGA SC imevunja Mkataba wa kupitishia malipo ya ada za wanachama wake Benki ya Posta na kuingia Mkataba mpya wa aina hiyo na beki ya CRDB. Viongozi wa Yanga SC na CRDB wanakutana na Waandshi wa...
0 Reactions
34 Replies
6K Views
Hivi karibuni kulikuwa na mgogoro kati ya Emmanuel Okwi na klabu ya yanga, kuhusu maswala mbalimbali ya kimkataba, hapo jana kamati ya TFF imeamua kuwa mkataba kati ya yanga na Okwi haupo tangu...
0 Reactions
36 Replies
5K Views
niliona hii habari kutoka katika gazeti la citzen nilishangaa sana na nikawa najiuliza hivi kama tff imetuma maombi katika clab ya barselona kuitaka waje tanzania hizo pesa za matuzo wakiwa hapa...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Mtangazaji wa zamani wa Tbc1 ndugu Jerry Muro ametangazwa kuchukua nafasi ya Baraka Kizuguto aliyekuwa ni msemaji wa klabu ya Yanga! uteuzi huo unaanza mara moja Jerry Muro mtangazaji wa zamani...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Baada ya ujio wa Patrick Phili na vuguvugu la usajiri, SIMBA SC leo wanajitupa uwanja wa Taifa. Kwa updates pitia hapa
0 Reactions
47 Replies
11K Views
Back
Top Bottom