MMILIKI wa duka la vifaa vya michezo la Urhul lililopo jijini Dar es Salaam, Kassim Dewji, amethibitisha kuwa kwenye michezo ya Ligi Kuu Baramsimu ujao, Bodi ya Ligi itatumia mipira aina ya Adidas...
Ni kama fainali ya kombe la dunia ilijirudia leo katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa kati ya Ujerumani na Argentina. Katika fainali ya Brazil,Ujerumani ilishinda kwa bao 1-0. Leo, Argentina...
Nimefuatilia kwa muda sasa mjadala wa sakata la Okwi, aka. mr vituko, mpenda fedha, lkn naona wengi hatujajaribu kujadili hoja za msingi. Kwa faida yetu wote hebu tupanuane mawazo kwa pamoja;
1...
Fans at the Nakuru Prinsloo 2014 rugby tournament
Fans at the Prinsloo Sevens - 2014 rugby tournament at the Nakuru Athletics Club that ran from August 29 to 31. PHOTO | SULEIMAN MBATIAH |...
Hili swali nimekuwa nikijiuliza tangu msimu uliopita, Man united inaishia kutaja majina ya wachezaji tu kwa mfano msimu uliopita Sesc Frabregas ailikataa katakata kujiunga na man u lakini...
Kama linki inavyoonyesha hapo chini rapa maarufu wa Marekani Jay Z ambaye aliwahi kuja Tanzania kipindi fulani pamoja na kiongozi wa Al Qaeda Osama bin Laden ni mashabiki wa Arsenal FC
Kumbe...
Danny Welbeck in action for England
The 23-year-old England international forward joins Arsenal from Manchester United, where he made a total of 90 appearances, scoring 20 goals. Since making...
Jana katika uwanja wa Aaman uliopo hapa Zanzibar, timu ya Simba Sc iliweza kuwafundisha soka maafande wa KMKM kwa kuwafunga goli 5 kwa bila. Magoli ya Simba Sc yalifungwa na Amis Tambe (2)...
Wanasema OKC wanam trade to Philadephia 76SIXERS....Lakini watam waive....sijaelewa hapo but ni kama mkataba unasubiriwa tu uishe wam drop...
The Oklahoma City Thunder have traded Hasheem...
Evodius Mtawala ameachia ngazi ya ukurugenzi wa sheria na wanachama wa shirikisho la mpira wa miguu nchini -TFF, Taarifa kutoka ndani ya shirikisho hilo zinasema katibu mkuu huyo wa zamani wa...
Serikali inatakiwa kuboresha MIUNDOMBINU YA MICHEZO na KUBORESHA maslahi kwa wanamichezo ili kupunguza tatizo la AJIRA.
Bunge la bajeti linaanza kesho huku Serikali ikiwa imetoa mwelekeo wa...
Ratiba ya Ligi Kuu Soka Tanzania Bara msimu wa 2014-15, imetoka mchana wa leo. Ratiba hiyo imezingatia michuano ya Chalenji itakayochezwa Novemba, usajili wa dirisha dogo Nov 15- Des 15, ushiriki...
nimekuwa nikijiuliza, faida ya kagame cup ni nini?ni kumtukuza rais kagame au ni kwasababu africa mashariki na kati hakuna watu wengine wenye uwezo wa kuweka kombe kama alivyofanya kagame...
Mchana huu anataraji kuwasili katika uwanja wa ndege wenye hadhi na wakisasa wa Linate...
Kisha hatua itayofuata ni msafara wa magari ya kifahari sambamba na maelfu ya washabiki watakao...
Dar es Salaam.
Mwanariadha wa Tanzania, Sabas Daniel ameibuka kinara kwenye fainali ya kurusha mkuki na kutwaa medali ya dhahabu kwenye mashindano ya Shule za Sekondari za Jumuiya ya Afrika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.